Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Ngoja nikupe simulizi refu la mfano labda utaelewa kupitia hilo kuona kile mnacho maanisha......

Ni sawa na watu ambao wapo safarini lakini kwa bahati Mbaya

Basi walilotumia kusafiria likapata hitilafu katikati ya Mbuga na ni Usiku

Hofu ikatanda kati yao_na wenye hekima kati yao wakatoa ushauri kwa watu wote kutojaribu kutoka nje maana ni usiku

Kwa kuhofia ugumu wa kutoa msaada kwa mtu anayeweza kudhurika na hayawani mwitu hata na watu wabaya kama majangiri.

Halafu wakiwa katikati ya usiku wanaona kama kuna ishara ya taa za gari zikimulika karibu yao.

Wanajawa na shauku.........!!??

Kukawa na mpasuko kati yao wengine wakidhani yawezekana ikawa ni gari inayoweza wapatia msaada..!

Na wengine wakihofu kuwa yawezekana ikawa ni Gari ya watu wabaya..! wenye nia mbaya nao

Lakini wakiwa katikati ya maulizo hayo.! Wanaona kuna baadhi ya watu wakiwakabili wakitokea upande ule ambao walihisi uwepo wa Gari.

Baadhi wakapatwa na hofu kulingana na shuku yao kuhusu watu wabaya na kuanza kijihami

Na wengine wakawa wakiwatuliza wenzao kulingana na muelekeo wao wa kuhisi kuwa yawezekana ni watu wa msaada..

wakasemezana;
"Ngoja na watukaribie na tutajua kama kweli ni watu wenye nia njema nasi ama La"

Lakini wakiwa katikati ya hali hiyo baadhi wakahoji kwamba

"Tuliona kama ishara ya gari..! Lakini mbona hawa wanakuja kwa miguu.!? Kweli wanaweza wakawa ni watu wa msaada".!?

Wakaendelea wakisema "hakikisheni milango ya gari imefungwa barabara na madirisha ya gari pia, na Taa na zizimwe wasije wakatuhesabu na wakatukabili kirahisi..Na kama wakihitaji kuwasiliana nasi tutatumia Upenyo wa dirishani na watakao semezana nao ni wanaume Tu".

Wale watu_kweli wakakaribia lile Gari na kutoa salamu kwa uchangamfu Tu 'za saa izi ndugu wajameni'....watu kimya.

"Hivi ni kweli hamuitaji Msaada.!? Mbona twawasalimu lakini Hamjibu Mna tatizo Gani.!?

Wakaendelea
"Kama manahitaji msaada basi na shukeni Garini Mwenu na Tuongozane Twende Tukapande gari yetu ya Uhakika na imara na Tunawahakikishia mtafika kwa wakati.. kuliko kukaa hapa usiku kucha bila msaada na hatari hizi".

Hapo Mmoja wa kwenye gari akashindwa kujizuia_akahoji. "ikiwa kweli mnataka kutupatia msaada kwanini msingeileta gari yenu karibu nasi ili tuwe na uhakika wa mnayoyasema"..!?

Ngoja niishie hapa usije ukachoka kuisoma na kuimalizia..ila ukitaka niendelee nitaendelea










Endelea mkuu, mana niko kwenye basi pia
 
Ushahidi kwamba virusi vya ukimwi, vilitengenezwa mahsusi? Be specific, tumesema mambo mengi,ushahidi wa ni ni hasa?
Proof maana yake nn kwa kiswahili, mfano kabla ya Copernicus wengi waliamini kuwa dunia ndio centre ya universe lkn Copernicus alikuja na "proof" za kimahesabu na logic lkn baadae galileo kwa experiment pia ilionyesha kuwa dunia sio center hii ni "proof" , sasa mi naamini madai mnayosema hapa mmeyafanyia tafiti nahitaji "proof" kutoka kwenye hizo kwenye hizo findings zenu vinginevyo haya yanabaki kuwa masimulizi tu.
 
Proof maana yake nn kwa kiswahili, mfano kabla ya Copernicus wengi waliamini kuwa dunia ndio centre ya universe lkn Copernicus alikuja na "proof" za kimahesabu na logic lkn baadae galileo kwa experiment pia ilionyesha kuwa dunia sio center hii ni "proof" , sasa mi naamini madai mnayosema hapa mmeyafanyia tafiti nahitaji "proof" kutoka kwenye hizo kwenye hizo findings zenu vinginevyo haya yanabaki kuwa masimulizi tu.
ndio kituvambacho mimi nakisubiri kwa hamu kubwa"".. tukianza na hili swala la Michael Jackson aliyekufa 2009 siye yeye halisi "" wakati tumeona kina Janet na ndugu zake wote "" na ma celeb wa ulimwengu mzima wakimlilia na kufanya shughuli yake ya muago wa mwili wake "" ....ningumu mnooo kuamini hayo maneno yake "" kama ambavyo ilivyo kuwa ni vigumu ngamia kupita kwenye tundu LA sindano
 
Tulishafanya makubwa mno, mweusi ndio rangi ya jua, tuna viini vya melanin, dada tusijipodoe, tuache mikorogo, huu weusi, wazungu wanautamani, hawawezi kuwanao, tumepewa na mungu
Huo ni uongo ushaona wap mzungu anatamani weusi[emoji23] [emoji23]ww bint kampikie mumeo.
 
ukombozi wa ki fikra wa weusi unakuuma eeh.., Unataka tubakie gizani....uzidi kuchota, dhahabu, mchanga, na makinika yake????Huu uzi unakuuma eeh[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]
wewe na wenzio wote, wahujumu wa utu wa mweusi, hapa ndio kiama chenu
Kiama ni nini? na unaweza thibitisha uwepo wa kiama au kilikwisha tokea wapi?!
 
watajifunza tu mwaka huu
wanapita na kusoma kimya kimya
Hapana,
Bado tuna zipima hizo roho za Ma-nyabhingi, yaani za Ma-kuhani.
Tumeambiwa lazima tuzipime hizo roho kama zatokana na giza au Nuru.
Bado tunazitafakari kwamba zatoka wapi ?
 
tusijifunze kujua ukweli tufanye utafiti kama tujue uhalisia wa maisha ya Yesu huko alipozaliwa na kuishi
Alizaliwa Africa, Israeli iko Africa, mfereji wa suez canal ulitengenezwa juzi tu hapa, hapakuwa na mashariki ya kati, Africa ilikuwa imeungana na hivyo middle East na kwa mujibu huo kutoka historia ya kale ramani ya dunia ilitafsiriwa kwa pande mbili kusini na kaskazini......Africa kitovu cha ustaarabu, watu weusi na kahawia hao waasia, ambao ni mbegu ya Africa, Africa ilitawala kote Asia na Ulaya, vituo vya ustaarabu watu Weusi kwa nyakati tofauti vikiwa South sudan, Ethiopia, ancient Egypt, Kwa Asia Sumeria na kwa ulaya ancient Greece and Rome. Watu weusi walitapakaa dunia yote, hadi uchina, india, hadi urusi, unachokiona leo ni matokeo ya pandikizi la ubaguzi wa rangi....ambao haukuwepo dunia ya kale, Wala Israeli haikuwepo, kama taifa, bali kamkoa ama wilaya fulani hivi, na wakazi wake walikuwa waebrania, sio wayahudi hawa tunao wafahamu leo, asili ya waebrania, ni sisi watu weusi, Israeli ni tengenezo siasa la juzi tu la kughushi
 
Yesu halisi ni Yaghashya Alizaliwa Africa, Israeli iko Africa, mfereji wa suez canal ulitengenezwa juzi tu hapa kisiasa Za ubaguzi, hapakuwa na mashariki ya kati, Africa ilikuwa imeungana na hivyo middle East na kwa mujibu huo kutoka historia ya kale ramani ya dunia ilitafsiriwa kwa pande mbili kusini na kaskazini......Africa kitovu cha ustaarabu, watu weusi na kahawia hao waasia, ambao ni mbegu ya Africa, Africa ilitawala kote Asia na Ulaya, vituo vya ustaarabu watu Weusi kwa nyakati tofauti vikiwa South sudan, Ethiopia, ancient Egypt, Kwa Asia Sumeria na kwa ulaya ancient Greece and Rome. Watu weusi walitapakaa dunia yote, hadi uchina, india, hadi urusi, unachokiona leo ni matokeo ya pandikizi la ubaguzi wa rangi....ambao haukuwepo dunia ya kale, Wala Israeli haikuwepo, kama taifa, bali kamkoa ama wilaya fulani hivi, na wakazi wake walikuwa waebrania, sio wayahudi hawa tunao wafahamu leo, asili ya waebrania, ni sisi watu weusi, Israeli ni tengenezo siasa la juzi tu la kughushi
 
Mweusi akitaka kuwa mweupe anaweza.....ila mweupe akitaka kuwa mweusi hawezi. Inamaana mwafrika anaweza kuliko mzungu tatizo ni usingizi mzito umetulaza
 
171394da532cbb3e0e8a163a6e7a7185.jpg
4023b5e3652848dad39e8aba5f9dd2c5.jpg
5d5b11501354ee05b3d7ebf685dfab9f.jpg
f046f1af97f2689ef21ffc457af6d88e.jpg
ed9756e4953b84a16f593af27688ca5f.jpg
20b8bbc281d61fcee2e54944c81b1cee.jpg
334cfae8a7be5201dd378db5ae87c2fe.jpg
42b34e7f2448e6b34e1fb4eac9416e84.jpg
a57f4b4ab7a33773dd1ae8b9663a4778.jpg
b0a8d5ebf03397dc413de314f3d5dc9e.jpg
 
acha basiiii"" madame waweza kunipatia proof ya hii kitu ".. maaana ni kama umeuvuruga ubongo wangu Hivi "" wataka kuniambia yule Jamaa aliyekuwa anafanya ma concert Bucharest " hakuwa yeye ""?? mmmhh"" hebu nipe fact zitakazo nifanya niweze kukusogelea kifikira
Ukomae kimawazo hearly, proof unaitoa wapi, wauaji ndio watawala wa dunia,tunakupa clues, utaamua mwenyewe kama ni ukweli ama la, ma dokta walikataa kusaini death certificate ya Michael Jackson huyo mlizika2008. Baada ya vipimo kufanyika na limits siye yeye
 
Back
Top Bottom