Avatar Unayoitumia Ni Mwafrika Kweli?Tulishafanya makubwa mno, mweusi ndio rangi ya jua, tuna viini vya melanin, dada tusijipodoe, tuache mikorogo, huu weusi, wazungu wanautamani, hawawezi kuwanao, tumepewa na mungu
Utu si ngozi, nyie ndugu vipi? Ifike mahali mkakomae kifikra....utu ni mawazo ya mtu, angalia usijekuwa mbaguzi wa rangiAvatar Unayoitumia Ni Mwafrika Kweli?
Ni Bora Ubaguzi Wa Rangi Kuliko Anaouleta Mleta MadaUtu si ngozi, nyie ndugu vipi? Ifike mahali mkakomae kifikra....utu ni mawazo ya mtu, angalia usijekuwa mbaguzi wa rangi
We unadhania adui ni rangi ya ngozi? Adui ni mawazo, wako weusi, weupe tu akilini,tena hao ndio Qatari zaidiAvatar Unayoitumia Ni Mwafrika Kweli?
ukombozi wa ki fikra wa weusi unakuuma eeh.., Unataka tubakie gizani....uzidi kuchota, dhahabu, mchanga, na makinika yake????Huu uzi unakuuma eeh☺☺☺☺☺Ni Bora Ubaguzi Wa Rangi Kuliko Anaouleta Mleta Mada
OkJanuary 27, 1984: Michael Jackson's hair catches fire during Pepsi commercial
hakupona ajali ya moto, alikufa....ndio feki alipoingia
Ok
Hii ni mpya kwangu walahi!
TrueTuko hapa s io kwa ajili ya mahitaji yako peke yako,bali kuelimisha wengi....
HahahahaVipi yule daud balali alikufa kweli?tunataka arudishe pesa zetu tununue PIPA lingine
Ni kweli bi Hemedi, na ukitaka kuelewa vita ya ukombozi was mweusi ni Vita ya kumkomboa binadamu, angalia haijali rangi, wote bila kujali rangi waliotetea ukweli wanauliwa.....Black skin white hearts and minds
Bi hemedi kaleta ubaguzi gani wewe????Ni Bora Ubaguzi Wa Rangi Kuliko Anaouleta Mleta Mada
Hao mizimu ni akina nani?? Mizimu ni "mashetani" yanayojigeuza na kujifanya ni watu waliokufa zamani. Sikia wewe mdada Fatima binti hemedi iko hivi; kwangu mimi YESU KRISTO ndiyo njia, kweli, na uzima.Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie
Hao mizimu ni akina nani?? Mizimu ni "mashetani" yanayojigeuza na kujifanya ni watu waliokufa zamani. Sikia wewe mdada Fatima binti hemedi iko hivi; kwangu mimi YESU KRISTO ndiyo njia, kweli, na uzima.
YESU KRISTO pekee ndiyo jina tulilopewa na BWANA MUNGU ili tulitumainie na kutuokoa. Hata wewe nakuomba kuanzia leo anza kumtumainia YESU KRISTO na utaupokea uzima wa milele na hao "mapepo" unaowaita "mizimu" watakukimbia na utakuwa huru, tena utakuwa huru kweli kweli.
Asante kwa mawazo yako, tunayathamini...je unaweza kutuambia Yesu ni na ni? Shetani ni Nani? Na mizimu ni Nani??? Make nyinyi ndio Askari, na nyapara katika gereza la myahudi.....ndugu mmekariri maandiko ya wayahudi Kama misukule vile, bila kuhoji asili chanzo na uhalaliwake, ndugu hatutaki Vita ya tatu ya dunia, kwanini munaiteketeza dunia mkiotea mji was kufikirika ulioko kwenye mawingu??? Uchawi wa wayahudi kupitia vitabu vyao utaiangamiza duniaHao mizimu ni akina nani?? Mizimu ni "mashetani" yanayojigeuza na kujifanya ni watu waliokufa zamani. Sikia wewe mdada Fatima binti hemedi iko hivi; kwangu mimi YESU KRISTO ndiyo njia, kweli, na uzima.
YESU KRISTO pekee ndiyo jina tulilopewa na BWANA MUNGU ili tulitumainie na kutuokoa. Hata wewe nakuomba kuanzia leo anza kumtumainia YESU KRISTO na utaupokea uzima wa milele na hao "mapepo" unaowaita "mizimu" watakukimbia na utakuwa huru, tena utakuwa huru kweli kweli.
But hii ndio vita ya myahudi, iko kwenye akili, tumepoteza ndugu wengi kwenye mafundisho ya wayahudi, watu hawajipendi tena, hawapendi vya kwao, hawapendani tena wao kwa wao....na shetani ndio amekuwa kiumbe cheusi,Mungu mzungu☺☺☺☺☺☺☺Asante kwa mawazo yako, tunayathamini...je unaweza kutuambia Yesu ni na ni? Shetani ni Nani? Na mizimu ni Nani??? Make nyinyi ndio Askari, na nyapara katika gereza la myahudi.....ndugu mmekariri maandiko ya wayahudi Kama misukule vile, bila kuhoji asili chanzo na uhalaliwake, ndugu hatutaki Vita ya tatu ya dunia, kwanini munaiteketeza dunia mkiotea mji was kufikirika ulioko kwenye mawingu??? Uchawi wa wayahudi kupitia vitabu vyao utaiangamiza dunia
Na ninakuhakikishia we son of gamba na wenzio wakiristo na waisilamu ni Msukule tu katika gereza la wayahudi...huijui biblia, Wala Yesu, wala shetani, na tuko hapa tutakufunza, ujitambue, uanze upya kujipenda nafsi yako, na vyote vya kwako, hivyo hivyo nchi na bara lako, na ukome kuwatukana muzimu, mababu na wahenga wakoHao mizimu ni akina nani?? Mizimu ni "mashetani" yanayojigeuza na kujifanya ni watu waliokufa zamani. Sikia wewe mdada Fatima binti hemedi iko hivi; kwangu mimi YESU KRISTO ndiyo njia, kweli, na uzima.
YESU KRISTO pekee ndiyo jina tulilopewa na BWANA MUNGU ili tulitumainie na kutuokoa. Hata wewe nakuomba kuanzia leo anza kumtumainia YESU KRISTO na utaupokea uzima wa milele na hao "mapepo" unaowaita "mizimu" watakukimbia na utakuwa huru, tena utakuwa huru kweli kweli.
Neno!Na ninakuhakikishia we son of gamba na wenzio wakiristo na waisilamu ni Msukule tu katika gereza la wayahudi...huijui biblia, Wala Yesu, wala shetani, na tuko hapa tutakufunza, ujitambue, uanze upya kujipenda nafsi yako, na vyote vya kwako, hivyo hivyo nchi na bara lako, na ukome kuwatukana muzimu, mababu na wahenga wako