ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,551
Ni kweli!Ngoja nitafute kiti nikae kabisaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli!Ngoja nitafute kiti nikae kabisaaa
Tatizo Isis msiniache peke yangu, mkuki peke yake ndio kaja kunisa idiaNeno!
Hivi vitu ni inside out!Tatizo Isis msiniache peke yangu, mkuki peke yake ndio kaja kunisa idia
Kwa kweli tuko pamoja!Tuko pamoja bi hemedi
Yani Mimi Mtu akisha sema yesu tu nampa Zero. Zinduka mua Africa mwenzangu.Hao mizimu ni akina nani?? Mizimu ni "mashetani" yanayojigeuza na kujifanya ni watu waliokufa zamani. Sikia wewe mdada Fatima binti hemedi iko hivi; kwangu mimi YESU KRISTO ndiyo njia, kweli, na uzima.
YESU KRISTO pekee ndiyo jina tulilopewa na BWANA MUNGU ili tulitumainie na kutuokoa. Hata wewe nakuomba kuanzia leo anza kumtumainia YESU KRISTO na utaupokea uzima wa milele na hao "mapepo" unaowaita "mizimu" watakukimbia na utakuwa huru, tena utakuwa huru kweli kweli.
Enenda zako Shetani wewe! maana imeandikwa alaaniwe awalaaniye wana wa Israeli. Tena BWANA MUNGU na akukemee Shetani wewe, BWANA aliyeichagua Jerusalemu kuwa mji wa Mfalme MKUU na akukemee!Na ninakuhakikishia we son of gamba na wenzio wakiristo na waisilamu ni Msukule tu katika gereza la wayahudi...huijui biblia, Wala Yesu, wala shetani, na tuko hapa tutakufunza, ujitambue, uanze upya kujipenda nafsi yako, na vyote vya kwako, hivyo hivyo nchi na bara lako, na ukome kuwatukana muzimu, mababu na wahenga wako
Safi sana. Mungu gani anao waambia watupigie makelele usiku Wa manane watu tume lala. Eti yesu nibebe yesu wangu ni bebeNa ninakuhakikishia we son of gamba na wenzio wakiristo na waisilamu ni Msukule tu katika gereza la wayahudi...huijui biblia, Wala Yesu, wala shetani, na tuko hapa tutakufunza, ujitambue, uanze upya kujipenda nafsi yako, na vyote vya kwako, hivyo hivyo nchi na bara lako, na ukome kuwatukana muzimu, mababu na wahenga wako
Wali tuletea Bible na Qur'an wakachukuwa zahabu,Pembe za ndovu,Watumwa.Enenda zako Shetani wewe! maana imeandikwa alaaniwe awalaaniye wana wa Israeli. Tena BWANA MUNGU na akukemee Shetani wewe, BWANA aliyeichagua Jerusalemu kuwa mji wa Mfalme MKUU na akukemee!
Israeli Iko Africa, walijua hilo??? Biblia ni hadithi, na fumbo la mtu mweusi, sio nyinyi mjifanyao wayahudi, lakini ni sinagogi la shetani, na jiwe walilolikataa waashi, hakika limekuwa jiwe kuu la msingiEnenda zako Shetani wewe! maana imeandikwa alaaniwe awalaaniye wana wa Israeli. Tena BWANA MUNGU na akukemee Shetani wewe, BWANA aliyeichagua Jerusalemu kuwa mji wa Mfalme MKUU na akukemee!