Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Tatizo Isis msiniache peke yangu, mkuki peke yake ndio kaja kunisa idia
Hivi vitu ni inside out!
Ni nafsi ya mtu ndiyo inayo amka na kutambua vitu kwa uhalisia wake, ni awakening state, watu wengi walio nizunguka, marafiki na ndugu hawa elewi, nami huwa nawaacha mpaka hapo watakapo amka maana imani sio kitu cha mchezo, watu wako tayari kufa ili kulinda imani yao!
Trust me iko siku sio mbali watasoma huu uzi na kuku elewa mwanana, kama vile mimi ninavyo kuelewa!
 
911B0B3C-64E6-43E4-8C53-40AA46006C3A.jpeg
 
Hao mizimu ni akina nani?? Mizimu ni "mashetani" yanayojigeuza na kujifanya ni watu waliokufa zamani. Sikia wewe mdada Fatima binti hemedi iko hivi; kwangu mimi YESU KRISTO ndiyo njia, kweli, na uzima.

YESU KRISTO pekee ndiyo jina tulilopewa na BWANA MUNGU ili tulitumainie na kutuokoa. Hata wewe nakuomba kuanzia leo anza kumtumainia YESU KRISTO na utaupokea uzima wa milele na hao "mapepo" unaowaita "mizimu" watakukimbia na utakuwa huru, tena utakuwa huru kweli kweli.
Yani Mimi Mtu akisha sema yesu tu nampa Zero. Zinduka mua Africa mwenzangu.
 
Na ninakuhakikishia we son of gamba na wenzio wakiristo na waisilamu ni Msukule tu katika gereza la wayahudi...huijui biblia, Wala Yesu, wala shetani, na tuko hapa tutakufunza, ujitambue, uanze upya kujipenda nafsi yako, na vyote vya kwako, hivyo hivyo nchi na bara lako, na ukome kuwatukana muzimu, mababu na wahenga wako
Enenda zako Shetani wewe! maana imeandikwa alaaniwe awalaaniye wana wa Israeli. Tena BWANA MUNGU na akukemee Shetani wewe, BWANA aliyeichagua Jerusalemu kuwa mji wa Mfalme MKUU na akukemee!
 
Na ninakuhakikishia we son of gamba na wenzio wakiristo na waisilamu ni Msukule tu katika gereza la wayahudi...huijui biblia, Wala Yesu, wala shetani, na tuko hapa tutakufunza, ujitambue, uanze upya kujipenda nafsi yako, na vyote vya kwako, hivyo hivyo nchi na bara lako, na ukome kuwatukana muzimu, mababu na wahenga wako
Safi sana. Mungu gani anao waambia watupigie makelele usiku Wa manane watu tume lala. Eti yesu nibebe yesu wangu ni bebe
 
Fate bin hemed uko sahihi Ila jaribu kutuliza mawazo yako uje na mtiririko mzuri wa mada yako....hakika nitawahi siti ya mbele...
Please rewind and come again.
 
Enenda zako Shetani wewe! maana imeandikwa alaaniwe awalaaniye wana wa Israeli. Tena BWANA MUNGU na akukemee Shetani wewe, BWANA aliyeichagua Jerusalemu kuwa mji wa Mfalme MKUU na akukemee!
Israeli Iko Africa, walijua hilo??? Biblia ni hadithi, na fumbo la mtu mweusi, sio nyinyi mjifanyao wayahudi, lakini ni sinagogi la shetani, na jiwe walilolikataa waashi, hakika limekuwa jiwe kuu la msingi
 
Back
Top Bottom