Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Kiranga kaka labda hujanielewa, nilibase kwenye ushahidi wako wa wikipedia.
Wikipedia ni miongoni mwa search engine ambayo ipo chini ya watu ambao ni maadui zetu, kivipi wataandika ukweli kaka, ni hilo tu.
Sio, hoja,imani sasa haifuati rangi, binti Hemedi mbona kaamua kuwa mwafirika? Muulizeni Fantasma kuna wayahudi wanasapoti ukombozi wa Africa, na wanakosoa dini Zao wenyewe, white body , black at heart, black body white at heart
 
umenena mitoga, saluti
 
Asante
 
mitoga upo makini
 
mawazo yako yanathaminiwa asante
 
Kiranga kaka labda hujanielewa, nilibase kwenye ushahidi wako wa wikipedia.
Wikipedia ni miongoni mwa search engine ambayo ipo chini ya watu ambao ni maadui zetu, kivipi wataandika ukweli kaka, ni hilo tu.

Wikipedia ni search engine? Unaelewa search engine ni nini?

Unaelewa kwamba Wikipedia link niliwekwa kwa habari za ziada na kwamba main arguments nikishaweka kwenye body of my post?

Katika hiyo link ya Wikipedia, kipi kimekosewa ambacho unakipinga tukijadili?

Au unapinga kitu kwa sababu kimeandikwa katika Wikipedia tu? Hata Wikioedia ikisema wewe upo na ni mtu utapinga?

What kund of intellectual snobbery that is not data driven is this?

Pinga Wikipedia kwa data. Sema Wimioedia is rubbish. Hapa wameandika uongo huu. Ukienda Oxford na Harvard wameandika tofauti.

Nipe point kama hiyo hata moja tuijadili.

Mimi watu wanaotrash Wimioedia bila kutoa soecific point, nawaona hawana point ya ku trash, wana jump on the bandwagon tu.

Otherwise, nipe point specific ambapo Wikioedia wamekosea tuijadili.

Kama umeshindwa kukosoa Wikipedia, nikianza kufungua mijuzuu yangu ya Albert Hourani, Mustafa Akyol, Christopher de Bellaigue, Eugene Rogan, Martin Lings, Abd al-Rahman ibn Khaldun etc, utaweza kukosoa minuscule atom splitting?

Umeshindwa kuoanda kichuguu unalalamika hujapewa mlima Kilimanjaro kupanda?
 
lazima watu wafunguke kujifunza
 
lazima watu wafunguke kujifunza
Mtu anajifanya intellectual snob.

Halafu anaanza kukupinga kwa kukwambia "Wikipedia ni search engine".

Wikipedia ni search engine?

For real?

Mpaka hapo tu nishaona tatizo na sababu kwa nini mtu hawezi kujadiki content anaishia maneno ya jumlajumla.
 
Yagashya, alikuwa mtu mweusi kutoka Ethiopa, alikuwa kama mganga wa kienyeji, mwenye maarifa mengi, alikuwa pandikizi la mtu jeusi, alikuwa na ndugu zake Israeli, alikemea serikali ya rumi, na mafundisho mabovu ya mafarisayo na masadukayo, akachukiwa na wote, hawakuweza kumkabili hata watu kumi, alikuwa warrior, alikuwa ngumi mkononi, ukimletea anakuchapa makonde, japo alikuwa mpole mwenye nguvu za miujiza, wengine walimuhisi uchawi, mwisho walijaribu kumchoma moto, lakini alipotea kimuujiza, alafu akaonekana tena sehemu mbalimbali....Yesu mweupe ni mwigo wa Wayahudi kuhusu huyu bwana, ikiwa ni pamoja na ule wa Socrates ambaye wanaficha ubini wake, alikuwa mtu mweusi pia
 
...hebu tupe uliyonayo kuhusu huyo jamaa ili tuanzie hapo kwenye safari yetu ya Ethiopia
Yagashya, alikuwa mtu mweusi kutoka Ethiopa, alikuwa kama mganga wa kienyeji, mwenye maarifa mengi, alikuwa pandikizi la mtu jeusi, alikuwa na ndugu zake Israeli, alikemea serikali ya rumi, na mafundisho mabovu ya mafarisayo na masadukayo, akachukiwa na wote, hawakuweza kumkabili hata watu kumi, alikuwa warrior, alikuwa ngumi mkononi, ukimletea anakuchapa makonde, japo alikuwa mpole mwenye nguvu za miujiza, wengine walimuhisi uchawi, mwisho walijaribu kumchoma moto, lakini alipotea kimuujiza, alafu akaonekana tena sehemu mbalimbali....Yesu mweupe ni mwigo wa Wayahudi kuhusu huyu bwana, ikiwa ni pamoja na ule wa Socrates ambaye wanaficha ubini wake, alikuwa mtu mweusi pia
 
...thanks mkuu
 
Asee japo umegusia kdg lkn imenivutia ,unaweza kuendelea zaidi ,kuzaliwa kwake,wazazi wake na hao ndugu zake,ikiwemo baadhi ya miujiza yake
 
Asee japo umegusia kdg lkn imenivutia ,unaweza kuendelea zaidi ,kuzaliwa kwake,wazazi wake na hao ndugu zake,ikiwemo baadhi ya miujiza yake
Alikulia ancient Egypt, alikuwa aalimu adhimu, ukoo wao uko hata leo na inawezekana ndio kizazi kilekile kilichomtoa Muhammad
 
Hahaa kaka nitakujib wacha niangalie mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…