Fatima binti hemedi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,665
- 2,328
- Thread starter
-
- #1,261
Wasiliana na mimi binti hemedi, ama gesteen, ama ncha ta mkukina, email g.mwaikoma@gmail.comAsante sasa utaratibu ukoje@
Ni dingi yako???
Gesteen watu wote wanaotaka kurudi katika ibada asilia waelekezeniKaribu
Gesteen watu wote wanaotaka kurudi katika ibada asilia waelekezeni
Asanteni
Nipo kaka yanguUmerudi
Hichi unachokitetea sijaona maana yake ungekubali tu anachosema Iyengu. Hata watu kama PLO Lumumba wanaambiwa na Julius Malema kuwa ukombozi uanze na watu kama yeye kutovaa mawigi.ukombozi wa ki fikra wa weusi unakuuma eeh.., Unataka tubakie gizani....uzidi kuchota, dhahabu, mchanga, na makinika yake????Huu uzi unakuuma eeh[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]
wewe na wenzio wote, wahujumu wa utu wa mweusi, hapa ndio kiama chenu
Mkuu somo la jiografia lilikupiga chenga.Na inavyosemekana yesu alikuwa mweusi pia kwenye MTO Nile pale alikunywa Yale maji ambayo yanakuja adi ziwa Victoria sasa apo huwezi sikia haya yakisemwa popote
Gesteen naomba uni pmUmerudi
Salama MkuuKama huvuvi omba uvundikwe, usijifanye mvumbuzi, utavunda
Hatar sana!January 27, 1984: Michael Jackson's hair catches fire during Pepsi commercial
hakupona ajali ya moto, alikufa....ndio feki alipoingia
Nishakuja pm