Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

[QUmzeeOTE="Khalifavinnie, post: 28738796, member: 434306"]Ni dingi yako???[/QUOTE]
Mzee wa chimpumu na magimbi usharudi? Kachezee pwani, wenzako tupo katkat ya bahar,
 
ukombozi wa ki fikra wa weusi unakuuma eeh.., Unataka tubakie gizani....uzidi kuchota, dhahabu, mchanga, na makinika yake????Huu uzi unakuuma eeh[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]
wewe na wenzio wote, wahujumu wa utu wa mweusi, hapa ndio kiama chenu
Hichi unachokitetea sijaona maana yake ungekubali tu anachosema Iyengu. Hata watu kama PLO Lumumba wanaambiwa na Julius Malema kuwa ukombozi uanze na watu kama yeye kutovaa mawigi.
 
Nimeuchelewa huu UZI,Hakika kama ningeuwahi na hii Sindano niliyo nayo Koti langu lingekamilika.
Nochangie kwa swali,kwa nini Mzungu anashindwa kubadili ngozi kuwa mweusi lakini mweusi anaweza kubadili ngozi na kuwa mzungu(rangi nyeupe pee)??Kwa nini biashara ya kujichubua ni maarufu kuliko??
 
Back
Top Bottom