Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Katika hili sikubaliani na wewe kabisa wala sikubaliani na hao walioandika hii historia. Mtu tajiri kuliko wote ambaye amewahi kuishi hapa duniani ni Mfalme Suleiman peke yake. Huyu ndiye alikuwa tajiri kuliko wote na haitatokea tena mtu akafikia utajiri wa Suleiman. Mansa Musa I alikuwa tajiri ndiyo lakini utajiri wake haukufikia hata robo ya ule wa Mfalme Suleiman.
hahahaaa acha kukarilishwa ujinga ndugu " Hivi mbona wayahudi wamewateka akili kiasi hicho na kuwafanya muwatukuze kwakila jambo "" kitendo cha kuaminishwa hizo ngano na wewe kuanza kuamini pasipo kufanya tafiti ni wazi umejitoa utu wako nakuamini kwamba race yako haina thamani mbele ya wahudi "" lazima tu utajiona kwamba si lolote sio chochote kwa mzungu ....HAYA NAKUULIZA SWALI WAMJUA MANSA MUSSA WEWE ....hebu nenda kamsome vizuri kwanza ndio utajua kuwa huyo Suleiman wako alikuwa ni chamtoto tu kwahuyo nguli mtawala wa Mali
 
If you have read my Patriarch Pharaohs post, you already know who the Queen of Sheba was. In this post I will go into more detail and give a few surprises. Again all the credit to finding Queen of Sheba goes to Ralph Ellis. This post will use his research with some of my own interpretations. We can’t talk about the Queen of Sheba without mentioning King David or King Solomon. King David and King Solomon were identified as Lower Egyptian Pharaohs. King David was Pharaoh Psusennes and King Solomon was Pharaoh Sheshonq(See Patriarch Pharaohs).

King David’s official title was Pa-seba-khen-nuit and it means “My Star Appears or Shines in His City”. King David is known for the Star of David, but what was this star? Researchers will tell you it is the morning star and had to do with the rising of Venus or the sun. Jesus was said to be of the line of David and he has a star in his story too. What is up with all the stars? Just like Pharaohs in Egypt had several names, so did the royal females. The Pharaoh had to have a wife from the bloodline in order to rule. Just like the Pharaohs were considered gods on earth, all royal ladies were considered a version of Isis. Isis was the Queen of the Heavens or Queen of the Stars. The royal wives were considered God’s wife and when they had a son that would become ruler, they were considered God’s mother. In somewhat the same manner, when a daughter was born of the bloodline, one of her titles was Bathsheba. Bathsheba means ‘daughter of Sheba’ or ‘daughter of the star’. When she became Queen she was known as ‘Queen of the Stars’ or ‘Queen of Sheba’. The Star of Isis is the Star of David.
Aiseeeeee
 
hahahaaa acha kukarilishwa ujinga ndugu " Hivi mbona wayahudi wamewateka akili kiasi hicho na kuwafanya muwatukuze kwakila jambo "" kitendo cha kuaminishwa hizo ngano na wewe kuanza kuamini pasipo kufanya tafiti ni wazi umejitoa utu wako nakuamini kwamba race yako haina thamani mbele ya wahudi "" lazima tu utajiona kwamba si lolote sio chochote kwa mzungu ....HAYA NAKUULIZA SWALI WAMJUA MANSA MUSSA WEWE ....hebu nenda kamsome vizuri kwanza ndio utajua kuwa huyo Suleiman wako alikuwa ni chamtoto tu kwahuyo nguli mtawala wa Mali
myahudi kaiba stori Za mataifa yote, kageuza location na wahusika
 
hahahaaa acha kukarilishwa ujinga ndugu
Nimeshasema na narudia tena kusema hivi; "NENO la MUNGU kwako wewe ni ujinga, lakini kwangu mimi na wale wote waliojaliwa kuijua KWELI, neno hilo kwetu sisi ni UZIMA WA MILELE.

Kila kitu kilichoandikwa kwenye Biblia ni kweli na haki kabisa na hiyo ndiyo imani yetu ya uhakika siyo ya kubahatisha. Watu kama wewe wenye kudharau na kudhihaki mlitabiriwa kuwepo siku nyingi sana, miaka elfu na elfu iliyopita. Biblia imesema wazi kabisa kuwa siku za mwisho watakuwepo wenye kudhihaki na kutukana.

Hivyo mkuu hearly huna jipya kabisa, habari zako wewe na wenzako ziliandikwa kabla hata ya mababu wa mababu zako hawajazaliwa.
 
Angalia ramani ya dunia,,nani aliechora hii RAMANI mbona Afrika tupo chini Ulaya ipo juu,, unajua kwanini??
Mbona South Amerca chini North America ipo juu.
Kwanza kabisa unatakiwa uwelewe tunapokua hapa duniani juu ni sehemu yoyote ile ambayo ni juu ya utosi wako au juu ya kichwa chako..na tafsiri ya anaekua 'juu yako' kifikra maana yake amekuzidi kila kitu.

Kwamfano huwa tunasema MUNGU ALIE JUU,,tukimaanisha ndio tegemeo letu kwa kila kitu,,kwahio ile ramani ilichorwa ili kupenyeza hio dhana,lakini ramani wala sio lazima uichore "NORTH DIRECTION" vyovyote vile inaweza kuchoreka tu.

Ndoma magali yao ya kitalii yanakuaga MALORI alafu wao wanakaa juu,ili wakutazame kwa chini.
 
Angalia ramani ya dunia,,nani aliechora hii RAMANI mbona Afrika tupo chini Ulaya ipo juu,, unajua kwanini??
Mbona South Amerca chini North America ipo juu.
Kwanza kabisa unatakiwa uwelewe tunapokua hapa duniani juu ni sehemu yoyote ile ambayo ni juu ya utosi wako au juu ya kichwa chako..na tafsiri ya anaekua 'juu yako' kifikra maana yake amekuzidi kila kitu.

Kwamfano huwa tunasema MUNGU ALIE JUU,,tukimaanisha ndio tegemeo letu kwa kila kitu,,kwahio ile ramani ilichorwa ili kupenyeza hio dhana,lakini ramani wala sio lazima uichore "NORTH DIRECTION" vyovyote vile inaweza kuchoreka tu.

Ndoma magali yao ya kitalii yanakuaga MALORI alafu wao wanakaa juu,ili wakutazame kwa chini.
mzimu mweusi unaamka sasa, watajinyea mbwa hawa
 
Back
Top Bottom