Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

umeshaishiwa hoja blackstarline, jiheshimu, hakuna ubaya ukikaa kimya, uwaache wenzio wajifunze
Hakuna anaye kataa kujifunza shida ni pale unapo changanya mambo, mara wazungu niwabaya wameiba vyetu, lakini bado unatumia lugha yao. Unakuwa kama marasta mara zote wanaimba na kuhimiza weusi warudi kwao afrika, maana imetosha kufanywa watumwa lakini wao wanabaki huko huko na wakiumwa ndiyo wakwanza kuyakimbilia matibabu ya hao wazungu ambao huwaita Babylon au vampire. Tujaribu kusimamia kilicho cha haki na chakweli.
 
Kabla ya kiarabu, na hizo semitic, bara la Africa lilikuwepo...Kiarabu ni lugha changa mno,kuelezea Ubuntu, AMEN ni neno la kibantu cha kale(ancient Egyptian) likiwa na maana ya siri iliyojificha....uislamu, ukiristo,waarabu, hao Wayahudi, vyote viliathiriwa na mafundisho ya mtu huyu mweusi wa kale
Tunaomba chanzo cha maelezo yako ili tupate kuelimika vizuri.
 
Hivi ndio tunavyopaswa kuwa na kuonekana, hadi viongozi wetu, Africa moja,na kufufuliwa mahekalu yetu ya ibada asilia
a75bacecc809054e95a253f8202771c9.jpg
80fc87a90a539e91b2deef3629af460e.jpg
025a8326eb03dc41ce387b84f9adc8c1.jpg
49fde626c8dd67f14292f37d6e24678c.jpg
276a0c7150a3090466ec0f608c4087ca.jpg
708bc200500b5fa601eac5a0e166160e.jpg
025a8326eb03dc41ce387b84f9adc8c1.jpg

daughters and sons of the most high
children of Zion
kings and queens
 
Hakuna anaye kataa kujifunza shida ni pale unapo changanya mambo, mara wazungu niwabaya wameiba vyetu, lakini bado unatumia lugha yao. Unakuwa kama marasta mara zote wanaimba na kuhimiza weusi warudi kwao afrika, maana imetosha kufanywa watumwa lakini wao wanabaki huko huko na wakiumwa ndiyo wakwanza kuyakimbilia matibabu ya hao wazungu ambao huwaita Babylon au vampire. Tujaribu kusimamia kilicho cha haki na chakweli.
Yaani unataka kudunisha mjadala huu mkubwa, kwenye kajichupa ka Lugha????y
tulishatoka huko,tunashughulika na maana, sio sauti navitamkwa
 
Ndugu zangu nakabiliwa na majukumu mengine, namuachia askari mwenzetu Fantasma Diamato kutoka Israeli, aendelee na mada
asanteni sana, wale wote mliokuwa pamoja nami
basi namiageni na kukutakieni siku mwororo
wani antekeheti
salamu nyingi, za mapendo kutoka lebanon
ijapokuwa kwetu huku,vita kila uchao...
 
Ndugu zangu nakabiliwa na majukumu mengine, namuachia askari mwenzetu Fantasma Diamato kutoka Israeli, aendelee na mada
asanteni sana, wale wote mliokuwa pamoja nami
basi namiageni na kukutakieni siku mwororo
wani antekeheti
salamu nyingi, za mapendo kutoka lebanon
ijapokuwa kwetu huku,vita kila uchao...
Asante dada AMEN NA AMEUNET AZIDI KUKULINDA
 
lazima tuseme yaliyotokea, Latina tutoke misikitinina makanisani,turudie ibada yet u ya kweli
Ngoja nikupe simulizi refu la mfano labda utaelewa kupitia hilo kuona kile mnacho maanisha......

Ni sawa na watu ambao wapo safarini lakini kwa bahati Mbaya

Basi walilotumia kusafiria likapata hitilafu katikati ya Mbuga na ni Usiku

Hofu ikatanda kati yao_na wenye hekima kati yao wakatoa ushauri kwa watu wote kutojaribu kutoka nje maana ni usiku

Kwa kuhofia ugumu wa kutoa msaada kwa mtu anayeweza kudhurika na hayawani mwitu hata na watu wabaya kama majangiri.

Halafu wakiwa katikati ya usiku wanaona kama kuna ishara ya taa za gari zikimulika karibu yao.

Wanajawa na shauku.........!!??

Kukawa na mpasuko kati yao wengine wakidhani yawezekana ikawa ni gari inayoweza wapatia msaada..!

Na wengine wakihofu kuwa yawezekana ikawa ni Gari ya watu wabaya..! wenye nia mbaya nao

Lakini wakiwa katikati ya maulizo hayo.! Wanaona kuna baadhi ya watu wakiwakabili wakitokea upande ule ambao walihisi uwepo wa Gari.

Baadhi wakapatwa na hofu kulingana na shuku yao kuhusu watu wabaya na kuanza kijihami

Na wengine wakawa wakiwatuliza wenzao kulingana na muelekeo wao wa kuhisi kuwa yawezekana ni watu wa msaada..

wakasemezana;
"Ngoja na watukaribie na tutajua kama kweli ni watu wenye nia njema nasi ama La"

Lakini wakiwa katikati ya hali hiyo baadhi wakahoji kwamba

"Tuliona kama ishara ya gari..! Lakini mbona hawa wanakuja kwa miguu.!? Kweli wanaweza wakawa ni watu wa msaada".!?

Wakaendelea wakisema "hakikisheni milango ya gari imefungwa barabara na madirisha ya gari pia, na Taa na zizimwe wasije wakatuhesabu na wakatukabili kirahisi..Na kama wakihitaji kuwasiliana nasi tutatumia Upenyo wa dirishani na watakao semezana nao ni wanaume Tu".

Wale watu_kweli wakakaribia lile Gari na kutoa salamu kwa uchangamfu Tu 'za saa izi ndugu wajameni'....watu kimya.

"Hivi ni kweli hamuitaji Msaada.!? Mbona twawasalimu lakini Hamjibu Mna tatizo Gani.!?

Wakaendelea
"Kama manahitaji msaada basi na shukeni Garini Mwenu na Tuongozane Twende Tukapande gari yetu ya Uhakika na imara na Tunawahakikishia mtafika kwa wakati.. kuliko kukaa hapa usiku kucha bila msaada na hatari hizi".

Hapo Mmoja wa kwenye gari akashindwa kujizuia_akahoji. "ikiwa kweli mnataka kutupatia msaada kwanini msingeileta gari yenu karibu nasi ili tuwe na uhakika wa mnayoyasema"..!?

Ngoja niishie hapa usije ukachoka kuisoma na kuimalizia..ila ukitaka niendelee nitaendelea









 
Ngoja nikupe simulizi refu la mfano labda utaelewa kupitia hilo kuona kile mnacho maanisha......

Ni sawa na watu ambao wapo safarini lakini kwa bahati Mbaya

Basi walilotumia kusafiria likapata hitilafu katikati ya Mbuga na ni Usiku

Hofu ikatanda kati yao_na wenye hekima kati yao wakatoa ushauri kwa watu wote kutojaribu kutoka nje maana ni usiku

Kwa kuhofia ugumu wa kutoa msaada kwa mtu anayeweza kudhurika na hayawani mwitu hata na watu wabaya kama majangiri.

Halafu wakiwa katikati ya usiku wanaona kama kuna ishara ya taa za gari zikimulika karibu yao.

Wanajawa na shauku.........!!??

Kukawa na mpasuko kati yao wengine wakidhani yawezekana ikawa ni gari inayoweza wapatia msaada..!

Na wengine wakihofu kuwa yawezekana ikawa ni Gari ya watu wabaya..! wenye nia mbaya nao

Lakini wakiwa katikati ya maulizo hayo.! Wanaona kuna baadhi ya watu wakiwakabili wakitokea upande ule ambao walihisi uwepo wa Gari.

Baadhi wakapatwa na hofu kulingana na shuku yao kuhusu watu wabaya na kuanza kijihami

Na wengine wakawa wakiwatuliza wenzao kulingana na muelekeo wao wa kuhisi kuwa yawezekana ni watu wa msaada..

wakasemezana;
"Ngoja na watukaribie na tutajua kama kweli ni watu wenye nia njema nasi ama La"

Lakini wakiwa katikati ya hali hiyo baadhi wakahoji kwamba

"Tuliona kama ishara ya gari..! Lakini mbona hawa wanakuja kwa miguu.!? Kweli wanaweza wakawa ni watu wa msaada".!?

Wakaendelea wakisema "hakikisheni milango ya gari imefungwa barabara na madirisha ya gari pia, na Taa na zizimwe wasije wakatuhesabu na wakatukabili kirahisi..Na kama wakihitaji kuwasiliana nasi tutatumia Upenyo wa dirishani na watakao semezana nao ni wanaume Tu".

Wale watu_kweli wakakaribia lile Gari na kutoa salamu kwa uchangamfu Tu 'za saa izi ndugu wajameni'....watu kimya.

"Hivi ni kweli hamuitaji Msaada.!? Mbona twawasalimu lakini Hamjibu Mna tatizo Gani.!?

Wakaendelea
"Kama manahitaji msaada basi na shukeni Garini Mwenu na Tuongozane Twende Tukapande gari yetu ya Uhakika na imara na Tunawahakikishia mtafika kwa wakati.. kuliko kukaa hapa usiku kucha bila msaada na hatari hizi".

Hapo Mmoja wa kwenye gari akashindwa kujizuia_akahoji. "ikiwa kweli mnataka kutupatia msaada kwanini msingeileta gari yenu karibu nasi ili tuwe na uhakika wa mnayoyasema"..!?

Ngoja niishie hapa usije ukachoka kuisoma na kuimalizia..ila ukitaka niendelee nitaendelea








Asante, kwa mchango wako mzuri
Unazingatiwa
 
Back
Top Bottom