Fatima binti hemedi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,665
- 2,328
- Thread starter
- #581
Nakuelewa ndugu, mi nawe, hatugombaniKisa tu nimekukosoa ndiyo nijiheshim? Kama ni hivyo bora tu wazungu waendelee kututawala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuelewa ndugu, mi nawe, hatugombaniKisa tu nimekukosoa ndiyo nijiheshim? Kama ni hivyo bora tu wazungu waendelee kututawala.
karibu ndugu yetuHuu uzi ni kama Meditation nimehisi kama nimerudi nyumbani kwetu kabisa asilia
Umekula, maharage yako na magimbi, asubuhi asubuhi, kisha ukachechetuka na chibuku, unakuja kuikumbuka shuka kumekwisha kucha!!!! Kwenye uzi huu????Hizi poyoyo ndo hatutaki mtu alijichubua mpka ngozi kukana rangi yake ww leo unakuja kumtetea?!
Magimbi na kimpumu asubuhi asubuhi??????!!!!ama!!!!!Naona siku hizi washirikina wanazidi kuibuka
Mmmmh! Acha nikapate kinywaji kwanza labda nikirud nitakuelewaJanuary 27, 1984: Michael Jackson's hair catches fire during Pepsi commercial
hakupona ajali ya moto, alikufa....ndio feki alipoingia
KaribuMmmmh! Acha nikapate kinywaji kwanza labda nikirud nitakuelewa
Tena feki si mmoja, over the yearsMmmmh! Acha nikapate kinywaji kwanza labda nikirud nitakuelewa
HahahahaUmekula, maharage yako na magimbi, asubuhi asubuhi, kisha ukachechetuka na chibuku, unakuja kuikumbuka shuka kumekwisha kucha!!!! Kwenye uzi huu????
Hebu toa basi hicho ulichokificha tukielewe.Filamu Za ngono ukiziangalia kama mtafiti utajifunza mengi mno,kwa mfano narejea promotion ya vitendo vya usagaji na usenge, pia sasa kunaongezeka watoto wa kiume, wanaozaliwa na maumbile ya kike,na wakike wenye maumbile ya kiume, ndugu hii siyo bahati mbaya, Wala mapenzi ya mungu, bali mapenzi ya makusudi ya wanadamu
Mie hpTusaidie, baba ya watoto hawa ni nani?
Nenda ukaombewe unapepo mchafu, 1MORAL AND DOGM BY ALBERT PIKE.Mkuu kupitia Israeli, mataifa yote yameokolewa kutoka kwenye dhambi ya mauti. BWANA MUNGU alimleta MESSIAH duniani kupitia kwa Wayahudi ambao ni wana wa Israeli na kila aaminiye anapata WOKOVU. Huo ndiyo UKWELI na hakuna ukweli mwingine wowote ule zaidi ya huo.
Yeyote anayewachukia Wayahudi ni Shetani, sababu shetani mwenyewe anajua wazi kwamba MUNGU amewatumia Wayahudi kuwaokoa Wanadamu kupitia kwa YESU KRISTO ambaye alizaliwa kama Myahudi. Kwa kuwa Shetani alishindwa kufanya vita na YESU KRISTO, sasa anafanya vita na Wayahudi na wale wote wanaoupokea WOKOVU kutoka kwa YESU KRISTO.
Mwenye masikio na asikie!
So tusiwe tunaskiliza music mkuuSiku hizi wanawekewa Vionjo fulani vinavyoufanya Ubongo eitha uwe kwenye Huzuni, hasira, hofu, FURAHA au hali yeyote........!! kwenye Vionjo vya Furaha Mtu akiwa kwenye Mfano Ngoma humpanda Mdadi mpaka hufikia kuchimba shimo, kukata Mauno kusikofaa au kupagawa anapocheza hiyo ngoma yenye vionjo(Power behind the Music)
Ni kweli kabisahyo ni kutokana na wewe mwenyewe kukubali kama huna thamani ndo maana unatengwa na kubaguliwa
mtizamo tu
Sijaficha chochote, mwili wa binadamu, hekalu la MunguHebu toa basi hicho ulichokificha tukielewe.
Kweli kakaour ways of living has been destroyed and now they are forcing us to adapt there ways.. making us believe there
ways are the best....
Hati ilishatoka, bila kusainiwa, google ithahaha alaaaa wajifanya haujui au ""!?