Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Dunia haiko kama unavyoiona, Kuna agenda ya siri sana, na wahanga wakubwa watu, weusi, lazima uamke ili uione picha kubwa...ukifanya hivyo, utajikuta uko vitani mtu mweusi, karibu tuko hapa maaskari wenzio kukufungua macho yako....uamke kutoka msukuleni. Hapa tunakufunulia mambo yaonekanayo ndivyo hivyo, kumbe sivyo ndivyo
lengo kuu la uzi huu, ni kukufikisha mahali ndugu msomaji ukajihoji binafsi, na yale yanayoendelea duniani, kukuchochea we kutokubali mambo kwenye sahani
Kwenye dunia iliyojawa ushahidi wa uongo, kutokuwepo ushahidi ndio Ingekuwa ushahidi, hii hasa pale watawala, wenye mamlaka juu ya vyanzo vya taarifa, wanapokuwa ndio watuhumiwa wenyewe. Ishu ya Michael Jackson, ni mfano mdogo tu, mjadala ni mpana kuliko hapo.

mada yet u inahoja Za msingi zifuatazo:
1. Mweusi binadamu wa Kwanzaa
2. Mweusi mwanzilishi wa ustaarabu duniani ikiwa ni pamoja na dini
3. mweupe kwa sababu ya wivu na chuki akaleta Sera ya ubaguzi
4. Kupitia ubaguzi amejaribu na kufanikiwa mno kufuta ya misingi mikuu iliyowekwa na mtu mweusi, kisiasa, kitaaluma, kitamaduni
5. Ustaarabu wa mweupe leo ni mwigo wa ustaarabu mkongwe zaidi wa mweusi kwa kila namna
* Kama una ushahidi kupinga haya tuyasemayo, tuletee hapa
Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie
Asanteni

Mheshimiwa Fatima Binti Hemedi, yaani kichwa cha habari na mada yako mbona naona kama umetumwa kukanganya jamii? Hayo maswali siyo ya HISTORIA? Mimi nikakimbilia kuchungulia neone UKOMBOZI unatujia nakutana mada za mwalimu wa historia, wakati kuna MATATIZO lukuki yanatuzidi kimo hatuyaweki wazi tujadili! nakupa mada za mfano ambazo nadhani zingeendana na kichwa chako cha habari;

1. Tatizo la kukua kwa kasi ya ajabu ya KANSA hasa ya MLANGO WA KIZAZI kwa akina mama linatishia ustawi wa jamii na kizazi kijacho, je nini hasa ni CHANZO na nini hasa kinaweza kuwa suruhisho? [ zingatia kelele za Glyphosate ya kwenye PAMBA kutokana na matumizi ya dawa ya ROUNDUP wakati wa kilimo cha pamba katika maeneo mengi duniani sasa]

2. Kwanini PESA YETU inashuka thamani BILA MAELEZO wakati nchi ina UTAJIRI MKUBWA [MINERAL AND NATURAL [ASSETS] wa madini na rasilimali nyingine ambazo zinapaswa KUILINDA THAMANI yake?

3. Takriban VIJANA CHINI YA MIAKA 40 wanawakilisha asilimia sabini [70%] ya wanachi katika bara la Afrika, je hii KERO YA KUTOTENGENEZA AJIRA kwa ajili ya kuitumia na kuilinda hii nguvu kazi siyo tishio kwa ULINZI NA USALAMA wa nchi zetu? na NINI KIFANYIKE ili tuliokoe hili kundi kwa haraka ipasavyo?

4. Nchi yetu ina MIUNDO MBINU mingi, kama vile MWENDO KASI, RELI, BARABARA, NDEGE, je ni vipi hizi rasilimali zinaweza kutuokoa KUJIKWAMUA NA MAKUCHA haya ya unyonyaji kwa kutumia UBUNIFU WA WATU WETU KUFUNGAMANISHA [integrated strategic planning and execution] ili kujiletea maendeleo na kukwepa UTEGEMEZI ULIYOVUKA MIPAKA?

5. Mafuta na Gesi ni BIDHAA ILIYOVUTIA WATEJA KWA KASI SANA katika miaka mitano iliyopita, je sisi ambao tayari tunavyanzo kiasi vya hii rasilimali TUFANYE NINI ili tuweze KUVUNJA HUU UKILITIMBA WA MAGHARIBI, tunaoushabikia kama MBWA NA CHATU, kwa kuingia katika UBIA WA KIMKAKATI [ strategic partnership] na MTEJA MWENYE NGUVU za kutosha atuvushe toka hapa tuliponasa KIMKAKATI, TEKINOLOJIA NA KIFEDHA?

Haya sasa twende kazi!

View attachment 805894 View attachment 805895 View attachment 805897
 
Dunia haiko kama unavyoiona, Kuna agenda ya siri sana, na wahanga wakubwa watu, weusi, lazima uamke ili uione picha kubwa...ukifanya hivyo, utajikuta uko vitani mtu mweusi, karibu tuko hapa maaskari wenzio kukufungua macho yako....uamke kutoka msukuleni. Hapa tunakufunulia mambo yaonekanayo ndivyo hivyo, kumbe sivyo ndivyo
lengo kuu la uzi huu, ni kukufikisha mahali ndugu msomaji ukajihoji binafsi, na yale yanayoendelea duniani, kukuchochea we kutokubali mambo kwenye sahani
Kwenye dunia iliyojawa ushahidi wa uongo, kutokuwepo ushahidi ndio Ingekuwa ushahidi, hii hasa pale watawala, wenye mamlaka juu ya vyanzo vya taarifa, wanapokuwa ndio watuhumiwa wenyewe. Ishu ya Michael Jackson, ni mfano mdogo tu, mjadala ni mpana kuliko hapo.

mada yet u inahoja Za msingi zifuatazo:
1. Mweusi binadamu wa Kwanzaa
2. Mweusi mwanzilishi wa ustaarabu duniani ikiwa ni pamoja na dini
3. mweupe kwa sababu ya wivu na chuki akaleta Sera ya ubaguzi
4. Kupitia ubaguzi amejaribu na kufanikiwa mno kufuta ya misingi mikuu iliyowekwa na mtu mweusi, kisiasa, kitaaluma, kitamaduni
5. Ustaarabu wa mweupe leo ni mwigo wa ustaarabu mkongwe zaidi wa mweusi kwa kila namna
* Kama una ushahidi kupinga haya tuyasemayo, tuletee hapa
Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie
Asanteni
View attachment 805894 View attachment 805895 View attachment 805897

Mheshimiwa Fatima Binti Hemedi, yaani kichwa cha habari na mada yako mbona naona kama umetumwa kukanganya jamii? Hayo maswali siyo ya HISTORIA? Mimi nikakimbilia kuchungulia neone UKOMBOZI unatujia nakutana mada za mwalimu wa historia, wakati kuna MATATIZO lukuki yanatuzidi kimo hatuyaweki wazi tujadili! nakupa mada za mfano ambazo nadhani zingeendana na kichwa chako cha habari;

1. Tatizo la kukua kwa kasi ya ajabu ya KANSA hasa ya MLANGO WA KIZAZI kwa akina mama linatishia ustawi wa jamii na kizazi kijacho, je nini hasa ni CHANZO na nini hasa kinaweza kuwa suruhisho? [ zingatia kelele za Glyphosate ya kwenye PAMBA kutokana na matumizi ya dawa ya ROUNDUP wakati wa kilimo cha pamba katika maeneo mengi duniani sasa]

2. Kwanini PESA YETU inashuka thamani BILA MAELEZO wakati nchi ina UTAJIRI MKUBWA [MINERAL AND NATURAL [ASSETS] wa madini na rasilimali nyingine ambazo zinapaswa KUILINDA THAMANI yake?

3. Takriban VIJANA CHINI YA MIAKA 40 wanawakilisha asilimia sabini [70%] ya wanachi katika bara la Afrika, je hii KERO YA KUTOTENGENEZA AJIRA kwa ajili ya kuitumia na kuilinda hii nguvu kazi siyo tishio kwa ULINZI NA USALAMA wa nchi zetu? na NINI KIFANYIKE ili tuliokoe hili kundi kwa haraka ipasavyo?

4. Nchi yetu ina MIUNDO MBINU mingi, kama vile MWENDO KASI, RELI, BARABARA, NDEGE, je ni vipi hizi rasilimali zinaweza kutuokoa KUJIKWAMUA NA MAKUCHA haya ya unyonyaji kwa kutumia UBUNIFU WA WATU WETU KUFUNGAMANISHA [integrated strategic planning and execution] ili kujiletea maendeleo na kukwepa UTEGEMEZI ULIYOVUKA MIPAKA?

5. Mafuta na Gesi ni BIDHAA ILIYOVUTIA WATEJA KWA KASI SANA katika miaka mitano iliyopita, je sisi ambao tayari tunavyanzo kiasi vya hii rasilimali TUFANYE NINI ili tuweze KUVUNJA HUU UKILITIMBA WA MAGHARIBI, tunaoushabikia kama MBWA NA CHATU, kwa kuingia katika UBIA WA KIMKAKATI [ strategic partnership] na MTEJA MWENYE NGUVU za kutosha atuvushe toka hapa tuliponasa KIMKAKATI, TEKINOLOJIA NA KIFEDHA?

Haya sasa twende kazi!
 
Navitafuta sana vitabu vya huyu msomi.
Mwenye soft copy anisaidie tafadhali.
Nimeona baadhi ya video zake
HIVI HAKUNA VITABU VILIVYOANDIKWA KWA LUGHA YA KISWAHILI VYENYE MAUDHUI KAMA HAYO, MAANA WAANDISHI WANAOTUMIA LUGHA YA KIINGEREZA WANAVOCABULARY NGUMU SANA
 
Kuna mtu/mzee alishawahi niambia kuwa hizi dini mbili zina siri nzito ambazo viongozi wakuu wa hizo dini hawataki kabisa wafuasi wao waujue ukweli uliofichika... Pia ni kwamba endapo ukweli uliofichika ukiwekwa wazi basi hakuna kiongozi wa dini anayeweza kupona mbele ya wafuasi...

Na kwamba jopo la watu(viongozi wa kiislamu na kikristo) lilikaa meza moja, na kuchambua vitabu vyao kisha mengine kuyaficha...

Pia lengo lingine likiwa ni kutengeneza pesa kutokana na imani zao...
Watu walikaa wakasuka dini hizi, kwa malengo mahsusi kabisa
kwa wale wapenda novel msomeni dan brown na kuangalia filamu zake, anazungumzia mambo haya
 
Tatizo la kukua kwa kasi ya ajabu ya KANSA hasa ya MLANGO WA KIZAZI kwa akina mama linatishia ustawi wa jamii na kizazi kijacho, je nini hasa ni CHANZO na nini hasa kinaweza kuwa suruhisho? [ zingatia kelele za Glyphosate ya kwenye PAMBA kutokana na matumizi ya dawa ya ROUNDUP wakati wa kilimo cha pamba katika maeneo mengi duniani sasa]
Tunawaonya, acheni kutumia hayo madawa yao, sisi hatuhitaji uzazi wa mpango, tuna ardhi kubwa mno na chakula tele, hatuna shida ya msongamano wa watu, kuweni makini sana
 
Mheshimiwa Fatima Binti Hemedi, yaani kichwa cha habari na mada yako mbona naona kama umetumwa kukanganya jamii? Hayo maswali siyo ya HISTORIA? Mimi nikakimbilia kuchungulia neone UKOMBOZI unatujia nakutana mada za mwalimu wa historia, wakati kuna MATATIZO lukuki yanatuzidi kimo hatuyaweki wazi tujadili! nakupa mada za mfano ambazo nadhani zingeendana na kichwa chako cha habari
Huwezi ikwepa historia, we unaona matokeo, chanzo huwezi kana, we unaona mbuyu,mti, lakini Kuna mizizi. Kwa kifupi tupo kwenye gereza la kifikra, sisi ni misukule, na ni mpaka hapo tutakapoanza kufikiri kwa vichwa vyetu wenyewe,...
 
Kwanini PESA YETU inashuka thamani BILA MAELEZO wakati nchi ina UTAJIRI MKUBWA [MINERAL AND NATURAL [ASSETS] wa madini na rasilimali nyingine ambazo zinapaswa KUILINDA THAMANI yake?
Mfumo wa central banking system wa kiyahudi, ambao unachukua riba kutoka benki Za mataifza yote ikiwa ni pamoja na marekani yenyewe na kuhakikisha una control thamani ya pesa
 
Takriban VIJANA CHINI YA MIAKA 40 wanawakilisha asilimia sabini [70%] ya wanachi katika bara la Afrika, je hii KERO YA KUTOTENGENEZA AJIRA kwa ajili ya kuitumia na kuilinda hii nguvu kazi siyo tishio kwa ULINZI NA USALAMA wa nchi zetu? na NINI KIFANYIKE ili tuliokoe hili kundi kwa haraka ipasavyo?[/QUOTE
Viongozi wetu hawajitambui, hawako kwa ajili ya Africa, bali manyapara katika gereza la mfumo tawala kupitia biblia na Qur'an ambavyo vimepotoshwa, wakiamka wakajitambua, ndani ya mwezi mmoja matatizo tote ya Africa yanakwisha
 
[emoji20] [emoji20] [emoji20] [emoji20]
tapatalk_1516361334135.jpeg
 
Kama kuna wa soma Quran hapa, hebu tusimulieni, na kutukumbusha kisa cha Bilali yule Mu Abyssinia
Bilal alikua ni sahaba enzi za Mtume Muhammad (s.a.w)
Baba yake alikua mtumwa wa kiarabu na mama yake alikua princess wa Abyssinia (Ethiopia ya sasa)

Bilal alikua mtumwa mchapakazi na hata ilipokuja suala la kuingia Uislam alikua wa kwanza kuingia na Mtume (s.a.w) alimpa heshima ya kua muadhini sababu ya sauti yake nzuri.

Makureyshi walipenda kumdhihaki kwa kumuita MTOTO WA MWANAMKE MWEUSI.

Alifanya mazuri mengi katika kipindi cha miaka 57 aliyoishi dunian ila sababu ya ubaguzi wa rangi historia yake imefinywa na anazungumziwa kidogo sana.

Kuna mwingine anaitwa LUQMAN.
 
Nchi yetu ina MIUNDO MBINU mingi, kama vile MWENDO KASI, RELI, BARABARA, NDEGE, je ni vipi hizi rasilimali zinaweza kutuokoa KUJIKWAMUA NA MAKUCHA haya ya unyonyaji kwa kutumia UBUNIFU WA WATU WETU KUFUNGAMANISHA [integrated strategic planning and execution] ili kujiletea maendeleo na kukwepa UTEGEMEZI ULIYOVUKA MIPAKA?
Miundo mbinu bado, magufuli anakwenda vizuri, reli, Barbara ziongezeke,lakini zaidi sana shule bora na makitaba, pia makazi bora, nyumba Za umma kwa bei nafuu, kuw akwamua walio wengi, badala ya ujenzi holela, city plan,naramani Za miji ni muhimu, angalia makazi mabovu kwa weus i mfano mtogole na kwa mnyamani, lakini weupe, wazungu waarabu na wahindi wanaishi kwenye nyumba bora mbezi beach, msasani ni ubaguzi wa kiwaziwazi, na waswahili, tunachukiana, kudharauliana Sisi kwa sisi na hali ya mswahili iko hivi duniani kote, sio bahati mbaya, ni makusudi
 
Mafuta na Gesi ni BIDHAA ILIYOVUTIA WATEJA KWA KASI SANA katika miaka mitano iliyopita, je sisi ambao tayari tunavyanzo kiasi vya hii rasilimali TUFANYE NINI ili tuweze KUVUNJA HUU UKILITIMBA WA MAGHARIBI, tunaoushabikia kama MBWA NA CHATU, kwa kuingia katika UBIA WA KIMKAKATI [ strategic partnership] na MTEJA MWENYE NGUVU za kutosha atuvushe toka h
Hizo rasilimali unazosema, sio zetu, ni mali yote ya myahudi,mdeni wako, akichukuwa nyumba yako utasema Am a kufanya nini? Unajua maana ya deni la taifa?????
mwisho mimi sijatumwa, ni mtanzania mwenzenu mwenye uchungu na nchi na bara lake na watu weusi duniani kote, mimi Saw a ni mwarabu, lakini nimezaliwa zanzibar,na bado nina ndugu zangu hapo, mimi ni mtanzania narudia tena
 
Bilal alikua ni sahaba enzi za Mtume Muhammad (s.a.w)
Baba yake alikua mtumwa wa kiarabu na mama yake alikua princess wa Abyssinia (Ethiopia ya sasa)

Bilal alikua mtumwa mchapakazi na hata ilipokuja suala la kuingia Uislam alikua wa kwanza kuingia na Mtume (s.a.w) alimpa heshima ya kua muadhini sababu ya sauti yake nzuri.

Makureyshi walipenda kumdhihaki kwa kumuita MTOTO WA MWANAMKE MWEUSI.

Alifanya mazuri mengi katika kipindi cha miaka 57 aliyoishi dunian ila sababu ya ubaguzi wa rangi historia yake imefinywa na anazungumziwa kidogo sana.

Kuna mwingine anaitwa LUQMAN.
Kwa nini mtume akupiga vita utumwa wakati uo. Wakati alikuwa na nguvu ya kijeshi.

Kwa nini uyo bilal mama yake alikuwa princess na Baba yake mtumwa.

Kwa nini walikuwa wana mtania mtoto Wa mama mweusi je baba yake alikuwa muarabu.
 
Bilal alikua ni sahaba enzi za Mtume Muhammad (s.a.w)
Baba yake alikua mtumwa wa kiarabu na mama yake alikua princess wa Abyssinia (Ethiopia ya sasa)

Bilal alikua mtumwa mchapakazi na hata ilipokuja suala la kuingia Uislam alikua wa kwanza kuingia na Mtume (s.a.w) alimpa heshima ya kua muadhini sababu ya sauti yake nzuri.

Makureyshi walipenda kumdhihaki kwa kumuita MTOTO WA MWANAMKE MWEUSI.

Alifanya mazuri mengi katika kipindi cha miaka 57 aliyoishi dunian ila sababu ya ubaguzi wa rangi historia yake imefinywa na anazungumziwa kidogo sana.

Kuna mwingine anaitwa LUQMAN.
Asante sana, hata Muhammad alikuwa mweusi, Hap a ndio kuna siri yote ya Quran
 
Na inavyosemekana yesu alikuwa mweusi pia kwenye MTO Nile pale alikunywa Yale maji ambayo yanakuja adi ziwa Victoria sasa apo huwezi sikia haya yakisemwa popote
Mkuu maji ya mto Nile hayaji ziwa victoria,ila yanatokea ziwa victoria kwenda huko bahari ya Mediteranian...
 
Back
Top Bottom