Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Makureyshi walipenda kumdhihaki kwa kumuita MTOTO WA MWANAMKE MWEUSI
Mamake Muhammad alikuwa mweusi na babake pia, babu zao asili yao ilikuwa ethiopia, Muhammad hakwenda Ethiopia kama bahati mbaya, alikuwa anarudi kwa babu zake, kama Yesu alivyokwenda Misri, ilikuwa nyumbani...alikuwa mweusi
 
Kwa nini mtume akupiga vita utumwa wakati uo. Wakati alikuwa na nguvu ya kijeshi.

Kwa nini uyo bilal mama yake alikuwa princess na Baba yake mtumwa.

Kwa nini walikuwa wana mtania mtoto Wa mama mweusi je baba yake alikuwa muarabu.
swali zuri, nasubiri majibu
 
Hizo rasilimali unazosema, sio zetu, ni mali yote ya myahudi,mdeni wako, akichukuwa nyumba yako utasema Am a kufanya nini? Unajua maana ya deni la taifa?????
mwisho mimi sijatumwa, ni mtanzania mwenzenu mwenye uchungu na nchi na bara lake na watu weusi duniani kote, mimi Saw a ni mwarabu, lakini nimezaliwa zanzibar,na bado nina ndugu zangu hapo, mimi ni mtanzania narudia tena

Fatima, deni letu la taifa ni kama PESA TU YA MFUKONI [pocket change] ukilinganisha na UTAJIRI tulionao. Fikiria rasimu ya taarifa ya Jaji Bomani kuhusu madini na vito vilivyothibitishwa idadi yake [proven reserves] ya $14trilioni bila kujumlisha utajiri wa madini yasiyofanyiwa utafiti, GESI, MAFUTA na vivutio vya UTALII, inakuwaje WEWE uamini ETI DENI LA takriban TSH.50 TRILIONI ni kubw gani a sana na tukililipa hatupati kitu? Hesabu gani hizo tunapiga hapa? au NDIYO TUMEROGWE kamili kamilifu?

Nadhani kingine cha kufanya ni kuepuka kutoa majibu MEPESI SANA kwa maswali mazito huku tukigamba kwa sisi ndiyo wenye nchi, wazawa au watawala wa nchi ambayo hali yake ya KIUCHUMI, KISIASA NA KIJAMII ni tete mno. Kwa mwenendo huu GEREZA LITAENDELEA KUJAA WANAMTINDIO kila kukicha.

Pia tujaribu kutoa mwongozo wa NINI WATAWALA WANAWEZA KUFANYA ili kuepukana na MNASO WA KIMKAKATI [strategic traps] sababu wao pia ni sehemu ya JAMII HII YENYE MTINDIO WA MAONO [strategic myopy] hivyo kuwaacha peke yao na kuendelea kuwarundikia lawama haina tofauti na KUTWANGA MAJI.
 
Fatima, deni letu la taifa ni kama PESA TU YA MFUKONI [pocket change] ukilinganisha na UTAJIRI tulionao. Fikiria rasimu ya taarifa ya Jaji Bomani kuhusu madini na vito vilivyothibitishwa idadi yake [proven reserves] ya $14trilioni bila kujumlisha utajiri wa madini yasiyofanyiwa utafiti, GESI, MAFUTA na vivutio vya UTALII, inakuwaje WEWE uamini ETI DENI LA takriban TSH.50 TRILIONI ni kubw gani a sana na tukililipa hatupati kitu? Hesabu gani hizo tunapiga hapa? au NDIYO TUMEROGWE kamili kamilifu?
Asante, hilo deni lina riba yake, huelewi what we mean, kila shilingi inamakato, ni mfumo wa kidunia, wewe nami hatu gombani, it's a matter of attitudes, the mindset ndio imeharibiwa, asante sana wichet
 
Nadhani kingine cha kufanya ni kuepuka kutoa majibu MEPESI SANA kwa maswali mazito huku tukigamba kwa sisi ndiyo wenye nchi, wazawa au watawala wa nchi ambayo hali yake ya KIUCHUMI, KISIASA NA KIJAMII ni tete mno. Kwa mwenendo huu GEREZA LITAENDELEA KUJAA WANAMTINDIO kila kukicha.

Pia tujaribu kutoa mwongozo wa NINI WATAWALA WANAWEZA KUFANYA ili kuepukana na MNASO WA KIMKAKATI [strategic traps] sababu wao pia ni sehemu ya JAMII HII YENYE MTINDIO WA MAONO [strategic myopy] hivyo kuwaacha peke yao na kuendelea kuwarundikia lawama haina tofauti na KUTWANGA MAJI
I couldn't agree more, mawazo yako ni kweli
 
Kwa nini mtume akupiga vita utumwa wakati uo. Wakati alikuwa na nguvu ya kijeshi.

Kwa nini uyo bilal mama yake alikuwa princess na Baba yake mtumwa.

Kwa nini walikuwa wana mtania mtoto Wa mama mweusi je baba yake alikuwa muarabu.
Swali kwanza siwezi kukujibu sababu hapa tunaongelea ukombozi wa mwafrika,

Baba yake alikua muarabu na mama yake muafrika wa Ethiopia na hivyo mtoto kutoka mweusi.

Kama nilivyokwambia historia yake imefinywa sana labda kama kuna wajuzi wengine wataongezea nyama.
 
Hebu weka sura yake? Maana kipindi hicho technologia ilikuwepo au nawe umekula maharage ya Mbeya.
acha upopoma...kwani neno technology kwako lina mantik ipi ""... kama technology isingekuwapo "" so wangekuwa wanatembea uchi"".. na waliweza vipi "" kupata madini Chuma na kuyayeyusha "" kisha kuyatumia katika kazi zao na vifaa vyao kama mapanga " jambia etc ""... kama technology isingekuwapo"" Yale ma pyramids yangejengwa vipi kule misri." Ethiopia "na Mexico "" Hawa watu wana wadanganya mnoooo ifike mahali mjitambue "" technology nimfumo wa utaalamu kwa mwanadamu ambao upo tangu mwanzo wa kuumbwa kwake " "ila huwa unapitia maboresho na kugundua vitu/mambo mapya kutokana na race ya binaadamu "" unaambiwa kuwa nuhu aliunda safina " na wewe unakubali hilo bila shaka"" kisha unakuja hapa unasema kwamba zamani hapakuwa na technology " huo utaalamu wakuunda safina unaitwaje """!? .....Hivi Mmerogwa au ""...!?
 
d the LORD said furthermore unto him, Put now thine hand into thy bosom. And he put his hand into his bosom: and when he took it out, behold, his hand was leprous as snow." (Exodus 4:6).
"And he said, Put thine hand into thy bosom again. And he put his hand into his bosom again; and plucked it out of his bosom, and, behold, it was turned again as his other flesh." (Exodus 4:7).


1503240_leucoderma_jpgdef0b9e56f1b08f38aab7b3b833fab1e


: 2:16pm On Jan 07, 2014
MEILYN:
hehehe
grin.png
but according to the bible, if you are white it is a curse.

Oga meilyn, you do realise that what the bible is talking about there is leprosy, not about being a white man, abi?
2:18pm On Jan 07, 2014
DEVA1:


Dats d reason y d whites see us as inferiorThey see us as inferior, but in Gods sight we are superior.

"For thou art an holy people unto the LORD thy God: the LORD thy God hath chosen thee to be a special people unto himself, above all people that are upon the face of the earth." (Deuteronomy 7:6).
 
acha upopoma...kwani neno technology kwako lina mantik ipi ""... kama technology isingekuwapo "" so wangekuwa wanatembea uchi"".. na waliweza vipi "" kupata madini Chuma na kuyayeyusha "" kisha kuyatumia katika kazi zao na vifaa vyao kama mapanga " jambia etc ""... kama technology isingekuwapo"" Yale ma pyramids yangejengwa vipi kule misri." Ethiopia "na Mexico "" Hawa watu wana wadanganya mnoooo ifike mahali mjitambue "" technology nimfumo wa utaalamu kwa mwanadamu ambao upo tangu mwanzo wa kuumbwa kwake " "ila huwa unapitia maboresho na kugundua vitu/mambo mapya kutokana na race ya binaadamu "" unaambiwa kuwa nuhu aliunda safina " na wewe unakubali hilo bila shaka"" kisha unakuja hapa unasema kwamba zamani hapakuwa na technology " huo utaalamu wakuunda safina unaitwaje """!? .....Hivi Mmerogwa au ""...!?
Asante
 
: 2:05pm On Jan 07, 2014
hehehe
grin.png
but according to the bible, if you are white it is a curse.

"And Miriam and Aaron spake against Moses because of the Ethiopian woman whom he had married: for he had married an Ethiopian woman." (Numbers 12:1).

"And they said, Hath the LORD indeed spoken only by Moses? hath he not spoken also by us? And the LORD heard it." (Numbers 12:2).

"And the cloud departed from off the tabernacle; and, behold, Miriam became leprous, white as snow: and Aaron looked upon Miriam, and, behold, she was leprous." (Numbers 12:10).

"And Aaron said unto Moses, Alas, my lord, I beseech thee, lay not the sin upon us, wherein we have done foolishly, and wherein we have sinned." (Numbers 12:11).

"Let her not be as one dead, of whom the flesh is half consumed when he cometh out of his mother’s womb." (Numbers 12:12)
.....
2 Likes

1503219_vitiligo2_jpg7105cbd17f1cb7e8884d25c5fc4194b7


1503220_virtilio2_jpgd5ddd1430f8b0278bcc9f3cd990676e4

): 2:12pm On Jan 07, 2014
"And the LORD said furthermore unto him, Put now thine hand into thy bosom. And he put his hand into his bosom: and when he took it out, behold, his hand was leprous as snow." (Exodus 4:6).
"And he said, Put thine hand into thy bosom again. And he put his hand into his bosom again; and plucked it out of his bosom, and, behold, it was turned again as his other flesh." (Exodus 4:7).
 
Straight from the Quran and early Islamic sources


Narrated Anas bin Malik: Allah's Apostle said, "You should listen to and obey, your ruler even if he was an Ethiopian (black) slave whose head looks like a raisin."
Sahih Bukhari 9:89:256

Qur'an 39:60
And on the day of resurrection you shall see those who lied against Allah; their faces shall be blackened. Is there not in hell an abode for the proud?

Ishaq:243 “I heard the Apostle say: ‘Whoever wants to see Satan should look at Nabtal!’ He was a black man with long flowing hair, inflamed eyes, and dark ruddy cheeks…. Allah sent down concerning him: ‘To those who annoy the Prophet there is a painful doom.” [9:61] “Gabriel came to Muhammad and said, ‘If a black man comes to you his heart is more gross than a donkey’s.’”


Al-Tirmidhi Hadith - 38
Narrated AbudDarda'
Allah's Messenger (peace be upon him) said: Allah created Adam when He had to create him and He struck his right shoulder and there emitted from it white offspring as if they were white ants. He struck his left shoulder and there emitted from it the black offspring as if they were charcoal. He then said (to those who had been emitted) from the right (shoulder): For Paradise and I do not mind. Then He said to those (who had been emitted) from his left shoulder: They are for Hell and I do not mind.
 
hahaha watu sijui wakoje "" kama wanautapia mlo wa akili " eti Mtu anaambiwa hakuna picha ya muhhamad nayeye ana amini".. wakati huo huo ana kubali kuwa "" muhhamad alikuwa ni mtawala wa wakati huo kwa waislam wote "" hivi kweli asipatikane hata nguli mmoja wapo wa kuchora " ambaye alishawahi kumchora " na picha zake zikahifadhiwa kweli ".... eti wanakwenda mbali zaidi nakusema kwamba ilikuwa ukimchora picha zinaungua ......"" hahaha
 
hahaha watu sijui wakoje "" kama wanautapia mlo wa akili " eti Mtu anaambiwa hakuna picha ya muhhamad nayeye ana amini".. wakati huo huo ana kubali kuwa "" muhhamad alikuwa ni mtawala wa wakati huo kwa waislam wote "" hivi kweli asipatikane hata nguli mmoja wapo wa kuchora " ambaye alishawahi kumchora " na picha zake zikahifadhiwa kweli ".... eti wanakwenda mbali zaidi nakusema kwamba ilikuwa ukimchora picha zinaungua ......"" hahaha
walificha picha, hatimaye kuziteketeza, kisa alikuwa mweusi, kisha wakaanza kuyachakachua maandiko yaliyozungumza kuhusu ubini na rangi ya ngozi yake
 
hahaha watu sijui wakoje "" kama wanautapia mlo wa akili " eti Mtu anaambiwa hakuna picha ya muhhamad nayeye ana amini".. wakati huo huo ana kubali kuwa "" muhhamad alikuwa ni mtawala wa wakati huo kwa waislam wote "" hivi kweli asipatikane hata nguli mmoja wapo wa kuchora " ambaye alishawahi kumchora " na picha zake zikahifadhiwa kweli ".... eti wanakwenda mbali zaidi nakusema kwamba ilikuwa ukimchora picha zinaungua ......"" hahaha
Umenifanya nizidi kufikiria kwa mapana zaidi
 
hahaha watu sijui wakoje "" kama wanautapia mlo wa akili " eti Mtu anaambiwa hakuna picha ya muhhamad nayeye ana amini".. wakati huo huo ana kubali kuwa "" muhhamad alikuwa ni mtawala wa wakati huo kwa waislam wote "" hivi kweli asipatikane hata nguli mmoja wapo wa kuchora " ambaye alishawahi kumchora " na picha zake zikahifadhiwa kweli ".... eti wanakwenda mbali zaidi nakusema kwamba ilikuwa ukimchora picha zinaungua ......"" hahaha
Picha ya Leonard Davince, Michelegelo. Mbona zilikuepo na wakati uo kulikuwa akuna camera. Samahani majina yao siwezi kuya andika vizuri.
 
Back
Top Bottom