Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Kuna MTU mmoja Humu "" alipost habari pictr " yenye maelezo yasemayo "" ....

wa romans " ndio waliomuua yesu " so inakuwaje " wa romans hao hao "" wanakueleza habari za kumuhusu yesu "" halafu unatenga muda wa kuwaamini ""...!?
 
Imeandikwa na wayahudi, Mungu aliandika lini???? Ulimwona wakati alipoandika?
Mkuu unajua kusoma wewe? Ni wapi katika comment yangu nimesema MUNGU aliandika?????

Lakini pia kama ni kuandika tu, hata BWANA MUNGU aliandika zile Amri Kumi kwenye mbao za mawe alizomkabidhi Musa.
 
Mkuu unajua kusoma wewe? Ni wapi katika comment yangu nimesema MUNGU aliandika?????

Lakini pia kama ni kuandika tu, hata BWANA MUNGU aliandika zile Amri Kumi kwenye mbao za mawe alizomkabidhi Musa.
Musa, hivi we Musa was kweli unamjua alikuwa Nani? Sulemani wa kweli unamjua alikuwa Nani? Wote, daudi na manabii....mmeiga kila kitu, watoto wa kaini nyinyi, sisi ndio abeli, weusi
 
Mkuu unajua kusoma wewe? Ni wapi katika comment yangu nimesema MUNGU aliandika?????

Lakini pia kama ni kuandika tu, hata BWANA MUNGU aliandika zile Amri Kumi kwenye mbao za mawe alizomkabidhi Musa.
wewe unauhakika " UPI kuwa hizo mbao ziliandikwa na Mungu "" kuna ambaye alimshuhudia " Musa akikabidhiwa hizo mbao na mungu "" kama hakuna " tukisema kuwa hicho ni kisa cha kutunga tutakuwa tunaongopa "".... kwanni mungu awape " mamlaka binaadamu "" wamtangazie dini yake " wakati yeye mwenyewe anakiri kuwa binaadamu hao ni wadhaifu "" ...neno dhaifu lina nyanja pana "" yaweza udhaifu wakutokuwa wakweli "" udhaifu wakutoelewa jambo wanapoambiwa au kufundishwa "" udhaifu wa afya bora " udhaifu wa kukosa upendo " na utu " etc ..... sasa aliwezaje kumpa mamlaka "" mwanadamu ya kumtangazia dini yake "" ilahli anajua fika miongoni mwao kuna wenye udhaifu wa sifa ya kutokuwa wakweli "" Hivi kweli alikuwa haoni kuwa kwa mantiki ya udhaifu huo "" kuna hatari ya maneno yake kufikishwa ndivyo sivyo kwa vizazi na vizazi " "tokana na sifa anayoielezea kuwa binaadamu ni wadhaifu ""...
 
wewe unauhakika " UPI kuwa hizo mbao ziliandikwa na Mungu "" kuna ambaye alimshuhudia " Musa akikabidhiwa hizo mbao na mungu "" kama hakuna " tukisema kuwa hicho ni kisa cha kutunga tutakuwa tunaongopa "".... kwanni mungu awape " mamlaka binaadamu "" wamtangazie dini yake " wakati yeye mwenyewe anakiri kuwa binaadamu hao ni wadhaifu "" ...neno dhaifu lina nyanja pana "" yaweza udhaifu wakutokuwa wakweli "" udhaifu wakutoelewa jambo wanapoambiwa au kufundishwa "" udhaifu wa afya bora " udhaifu wa kukosa upendo " na utu " etc ..... sasa aliwezaje kumpa mamlaka "" mwanadamu ya kumtangazia dini yake "" ilahli anajua fika miongoni mwao kuna wenye udhaifu wa sifa ya kutokuwa wakweli "" Hivi kweli alikuwa haoni kuwa kwa mantiki ya udhaifu huo "" kuna hatari ya maneno yake kufikishwa ndivyo sivyo kwa vizazi na vizazi " "tokana na sifa anayoielezea kuwa binaadamu ni wadhaifu ""...
Hawana ishu, wamekopi kila kitu.....hao wayahudi ndio kizazi Cha mashetani
 
Pepo maana yake ni Roho, Yagashya(Yesu) hakuacha ukiristo, mliutengeneza wenyewe, aliacha Imani, na mambo mengi aliyosema hayakuandikwa yote, ukiristo ni politics za utawala, nyinyi mnaabudu, pepo jeupe tengenezo la wanadamu, na Yagashya aliyaona yote haya na kukemea, aliwajua wayahudi ni kizazi Cha ibilisi, kweli tunayo sisi, pole sana ndugu
Kumbe unajua kuna mtu anaitwa YESU KRISTO?? Sishangai hilo jina unalomwita sababu anamajina mengi tu, JESUS, YESU, JEZUS, GESU, יֵשׁוּעַ ,يسوع, 耶稣, Ιησούς, EASHOA n.k.

Sasa kama unamjua YESU KRISTO iweje basi unang'ang'ania kuabudu "mizimu" ambayo ni "mapepo"???
 
Cha msingi APA ni kujua kwanza kuitumia akili kwanza na haya mengine yatafata kama wachina walivyo base kwenye meditation na Dini zao ndo maana. Wamefika mbali wakati tulikuwa nao sawa
Unapoingia kwenye ulimwengu wa roho, hali ya mwafirika ni uchawi wa hali ya juu' kabisa, ni makufuli kabisa yametundikwa vichwani, huvunji ni laana kubwa, ni lazima ukutane na waalimu sahihi, makuhani nyabinghi, wakufanyie DUAT MAALUMU, NDIPO UTAFUNGULIWA
 
-Imeandikwa kwenye kitabu kilichobeba NENO la MUNGU, na aliyeandika alikuwa Nabii wa kweli wa MUNGU.

-Shetani ni mtu yeyeto yule anayekiri kwa kinywa chake kuwa YESU KRSTO siyo MWANA WA MUNGU, yeyote anayesema hivyo ni Shetani na baba yake ni Shetani.

Kuhusu kuhukumu mimi sijahukumu, labda huelewi maana ya neno "hukumu". Mimi ni nani hata nitoe hukumu kwa Shetani? Nilichokifanya mimi ni ku-quote tu maandiko ya kwenye kitabu kitakatifu cha BWANA MUNGU wangu ambacho ni Biblia. Hukumu itatolewa na BWANA YESU KRISTO ile siku atakapokuja tena kwa mara nyingine.
Kwa mujibu wa maandiko wewe unayoamini Watu wote ni wana Mungu sasa kipi spesho hapo Yesu mpka umwite yeye pekee ndio mwana wa Mungu
 
Back
Top Bottom