Tuangazie tofauti za kifikra na kimwamko Tanzania dhidi ya wengine

Tuangazie tofauti za kifikra na kimwamko Tanzania dhidi ya wengine

Kwa hatua au hali tuliyoifikia kinapaswa kuwekeza nguvu kubwa kwa wale waliosoma na kuelimika kutumia hayo maarifa kwa ambao wako tayari kuyapokea

Maana hata tu utayari wa kuelimika hatuna kabisa , sijui itumike njia ipi Ili utayari tuwe nao sote
Kuyafahamu matatizo yetu yalipo ni mwanzo mwema wa kuyapatia ufumbuzi.
 
Of coarse nipo na wewe kwny swala la katiba mpya nchini na kufanya evolution ya nchi yetu...

Ila nje na shidahzo.. bado africa matatizo yetu yanafanana.. mfano kama wewe unaamin mtu kujua kiingereza na lugha za nje ndio maendeleo au ndio uspmi.. wakati kiuwalisia sio hcyo kbsa... Anza kubadilika kwamza wewe ki fikra

Utakuwa hujanisoma tu.

Ni kweli kuwa wenzetu kama sisi wanaojifunzia ukubwani kama sisi wanamudu lugha hizo Hadi vijijini.

Zingatia Hilo limeletwa hapa kama dalili za mvua tu.

NInakazia:

"Kwa mfumo wetu huu wa elimu, kwa hakika bado tupo tupo sana."
 
Ni kweli kuwa ipo tofauti ya kusoma shule na kuelimika.

Hata hivyo idadi ya waliosoma bila kuelimika haiwezi kulinganishwa na wasiosoma ambao pia hawajaelimika.

Kuelimika ni suala muhimu katika kujikomboa kifikra.

Ni heri msomi asiyeelimika kuliko Mburura asiyeelimika. Na hapo ndipo tulipo sisi.
Kwangu sio tofauti kati ya msomi asiyeelimika na mburura ambaye hajaenda shule kabisa, hawa wote ni mizigo tu.
 
Kwangu sio tofauti kati ya msomi asiyeelimika na mburura ambaye hajaenda shule kabisa, hawa wote ni mizigo tu.

Ninakubaliana nawe. Hata hivyo ni kweli kuwa:

"Proportion ya wasomi wasioelimika ni ndogo kuliko proportion ya wasioelimika baina ya mamburula.'

Takwimu kama hizi zinaweza kuwa za msaada kwenye safari ya ukombozi
 
Back
Top Bottom