Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Iko wapi maana ya Msanii kuwa ni kioo cha jamii, Wasanii wa kileo ndo basi tena tena hawa wabana pua ndo kabisa.
Ndo maana wabana pua sijaona hata mmoja ambaye anaweza kuingia hata kwenye siasa maana wakiingia kwa siasa muda wote ni kuzungumzia mapenzi.
Serikali mbali na kuweka wizara ya sanaa, tamaduni na michezo bado sijaona faida ya hiyo wizara... wasanii wanaofanya mambo mazuri wenye content hawapewi sapoti wanapewa waimba umalaya kila siku wasapoti ushoga kila siku.
Na Watanzania baadhi walivyo na akili mgando wapenda ngono wanainjoi sana.. Tanzania kila baya ndo linapewa promo mtu mwenye kitu kizuri hata aonekani.
Watanzania wengi wako na akili za kwendea ch......n basi. Tubadilike....
Ndo maana wabana pua sijaona hata mmoja ambaye anaweza kuingia hata kwenye siasa maana wakiingia kwa siasa muda wote ni kuzungumzia mapenzi.
Serikali mbali na kuweka wizara ya sanaa, tamaduni na michezo bado sijaona faida ya hiyo wizara... wasanii wanaofanya mambo mazuri wenye content hawapewi sapoti wanapewa waimba umalaya kila siku wasapoti ushoga kila siku.
Na Watanzania baadhi walivyo na akili mgando wapenda ngono wanainjoi sana.. Tanzania kila baya ndo linapewa promo mtu mwenye kitu kizuri hata aonekani.
Watanzania wengi wako na akili za kwendea ch......n basi. Tubadilike....