Kweli kabisa mkuu! Ni zao la ushikaji kwenye ofisi za ummaHaya majina ya Kijazi na Mfugale ni ya kufyekelea mbali!
Hawana historia yo yote ya kijamii wala ya kisayansi, ni watumishi wa umma kama wengine!Kwa nini unawachukia hivyo, wamekukosea nini?
Hasira za nini, kumbuka hii ni Nchi yetu soteNapendekeza yatumike majina ya Lisu na Lema.
Kwanza halikuwepo hivyo jina nalo halikuwepo. Sehemu linapojengwa panaitwa Stigler's gauge hivyo pangeweza kuitwa hivyo.Kabla halijaitwa Bwawa la Nyerere kiasili lilitwaje?
Hayo ni mapendekezo tu kama ya mleta mada.Hasira za nini kumbuka hii ni Nchi yetu sote
Unazo sababu za msingi kuhusisha majina hayo?Tuweke ya Tundu Lisu na Lema!