Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Naona ulitaka tuite majina ya kwenu kwa kina hasunga ndo unge supportMungu amekunyima akili za kuwaza na kuwazua unataka sisi tukusaidieje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona ulitaka tuite majina ya kwenu kwa kina hasunga ndo unge supportMungu amekunyima akili za kuwaza na kuwazua unataka sisi tukusaidieje?
Nyerere ana historia kubwa katika nchi hii na Africa kwa ujumla. Pia ana mchango mkubwa katika kupigania uhuru na haki duniani kote, hivyo ni halali kumuenzi. Ukisikia jina Nyerere linakukumbusha mengi sana lakini jina Mfugale inabidi kutafuta mchango wake kwa tochi!Wewe Ileje Yan Kwanj nyeree alkuwa halipwi
Ikiwapendeza lakini watakuwa wapumbavu kukuzidi!Naona ulitaka tuite majina ya kwenu kwa kina hasunga ndo unge support
Hapana. Liitwe joketiIle Kijazi hata waliite CPWAA Bridge kuenzi mchango wake kwenye Industry ya music wetu
Hao wote ni waongeaji na sio watendaji mkuuNaunga mkono hoja, kuna majina mengi tu ya Watanzania wanaopigania HAKI za Binadamu Tundu Lissu, Sheikh Ponda,Askofu Mwamakula,Mashekhe wa Uamsho ni Watanzania waliojitolea sana na Huu ni wakati muafaka kuwaenzi.
Ngwear je apewe nini ?Ile Kijazi hata waliite CPWAA Bridge kuenzi mchango wake kwenye Industry ya music wetu
Utendaji gani zaidi mkuuwatendaji
Naunga mkono hojahayo majina wanayajua MATAGA tu
kwangu natambua TAZARA na ubungo interchange
Alitumia madaraka vibayaTuheshimu mamlaka yaliyokuwepo na kutoa majina hayo kwa lengo la kutambua mchango wa watu hao katika ujenzi wa nchi.
Bado tunaendelea kujenga miundombinu mbalimbali kuna siku tutaishiwa majina na tutaita baadhi ya barabara Sarpong High Way (Relax)
Ikibidi hata wenyewe waombe yatolewe tu. Mfugale anaomba mwenyewe na Kijazi familia yake iwajibikeUmenikumbusha mbaaali sana. kule kwetu tuna kamsemo "you can't have your cake and eat it". sio sahihi kuweka hayo MAJINA na hasa kwa sababu hao jamaa walikuwa watumiaji wa umma wanaotekeleza majukumu yao kwa malipo!
Hata stand ya mbezi ibadirishweKaribu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga.
Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International Airport ulipata jina hilo miaka kadhaa baada ya Nyerere kufariki mwaka 1999. Yeye ni Baba wa Taifa ingawa wakati wa uhai wake alikataa sana kutukuzwa kwa namna hiyo.
Namna ambavyo Eng Mfugale na Eng Kijazi wamepewa kumbukumbu ya majina yao kwenye daraja la Tazara na la Ubungo kwa kweli hairidhishi. Mimi natambua wao walikuwa wafanyakazi wa Serikali waliokuwa na majukumu ya ku-design na kumsimamia ujenzi. At end of the day walikuwa wanalipwa mshahara kwa kazi yao.
Ila yule Rais Marehemu alikuwa anajiamulia tu kutoa majina kwa washirika wake.
Mbona kuna Mashujaa wengi tu ambao wangepewa heshima hiyo. Nashauri kwa sasa tuyaite Tazara Overhead bridge na Ubungo interchange tu.
Kiongozi KIT UKO haijawahi kutokea.Karibu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga.
Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International Airport ulipata jina hilo miaka kadhaa baada ya Nyerere kufariki mwaka 1999. Yeye ni Baba wa Taifa ingawa wakati wa uhai wake alikataa sana kutukuzwa kwa namna hiyo.
Namna ambavyo Eng Mfugale na Eng Kijazi wamepewa kumbukumbu ya majina yao kwenye daraja la Tazara na la Ubungo kwa kweli hairidhishi. Mimi natambua wao walikuwa wafanyakazi wa Serikali waliokuwa na majukumu ya ku-design na kumsimamia ujenzi. At end of the day walikuwa wanalipwa mshahara kwa kazi yao.
Ila yule Rais Marehemu alikuwa anajiamulia tu kutoa majina kwa washirika wake.
Mbona kuna Mashujaa wengi tu ambao wangepewa heshima hiyo. Nashauri kwa sasa tuyaite Tazara Overhead bridge na Ubungo interchange tu.
Hiyo inakusaidiaje katika kuboresha maisha yako na kuongeza uwezo wa kulipia bando jipya?Karibu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga.
Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International Airport ulipata jina hilo miaka kadhaa baada ya Nyerere kufariki mwaka 1999. Yeye ni Baba wa Taifa ingawa wakati wa uhai wake alikataa sana kutukuzwa kwa namna hiyo.
Namna ambavyo Eng Mfugale na Eng Kijazi wamepewa kumbukumbu ya majina yao kwenye daraja la Tazara na la Ubungo kwa kweli hairidhishi. Mimi natambua wao walikuwa wafanyakazi wa Serikali waliokuwa na majukumu ya ku-design na kumsimamia ujenzi. At end of the day walikuwa wanalipwa mshahara kwa kazi yao.
Ila yule Rais Marehemu alikuwa anajiamulia tu kutoa majina kwa washirika wake.
Mbona kuna Mashujaa wengi tu ambao wangepewa heshima hiyo. Nashauri kwa sasa tuyaite Tazara Overhead bridge na Ubungo interchange tu.