Tubadili majina ya Daraja la Mfugale na Kijazi

Tubadili majina ya Daraja la Mfugale na Kijazi

Mbona hili JPM aliishalimaliza hilo? Alisema kwamba, yeye ameyaita hivyo kwa mamlaka aliyokuwa nayo. Ikitokea Rais mwingine akaja na akaamua kuyabadilisha, sawa. Kwahiyo, wewe endeleza ushawishi, JPM aliishamaliza mwendo wake!
Alikuwa na mambo ya kishamba na ulimbuken mkubwa sana hao jamaa zake hawakuwa na hadhi yeyote ya kuwekwa majina yao huko.
 
Karibu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga.

Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International Airport ulipata jina hilo miaka kadhaa baada ya Nyerere kufariki mwaka 1999. Yeye ni Baba wa Taifa ingawa wakati wa uhai wake alikataa sana kutukuzwa kwa namna hiyo.

Namna ambavyo Eng Mfugale na Eng Kijazi wamepewa kumbukumbu ya majina yao kwenye daraja la Tazara na la Ubungo kwa kweli hairidhishi. Mimi natambua wao walikuwa wafanyakazi wa Serikali waliokuwa na majukumu ya ku-design na kumsimamia ujenzi. At end of the day walikuwa wanalipwa mshahara kwa kazi yao.

Ila yule Rais Marehemu alikuwa anajiamulia tu kutoa majina kwa washirika wake.

Mbona kuna Mashujaa wengi tu ambao wangepewa heshima hiyo. Nashauri kwa sasa tuyaite Tazara Overhead bridge na Ubungo interchange tu.
Tutabadilisha upuuzi huu na puuzi nyingi nyingine, ni suala la muda tu.
 
Kwa sababu wakati wa kuyaweka hamna aliyehitaji wazo la wana JF naamini kama kuna sababu ya kuyatoa halitatoka kwenye baraza hili pia. Kuna watu wanataka kumwingiza Mama chaka wakidhani yeye hajui kuwa aliyemtangulia alikuwa na base ya watu ambayo bado inamuenzi. Na ni ile iliyokuwa inatandika kanga barabarani wakati akipitishwa na kuvunja uzio wa Airport.
 
Kabisa, kuto kuleta fujo

Kijazi irudishwe Ubungo Interchange

Na mfugale irudie Tazara flyover
Mungu Fundi sana. Wameng'ang'ania kujipa majina ya miundombinu na COVID19 imewang'oa wote kuanzia Magufuli, Mfugale na Kijazi
 
Hawa Mfugale na Kijazi (RIP), Chamuriho na Deus Kakoko yasemekana walikuwa ndiyo wasiri wa Jiwe kwenye deals za mikataba mikubwa. Wengi ameanza nao akiwa Wizara ya Ujenzi na TANROADS.

Hata mimi sioni mantiki ya kuyaita madaraja kwa majina ya watu ambao walikuwa waajiriwa wa Serikali. Hii ni kuuenzi UFISADI wa Jiwe na genge lake. IBADILISHWE TU
Naunga mkono hoja
 
Mungu Fundi sana. Wameng'ang'ania kujipa majina ya miundombinu na COVID19 imewang'oa wote kuanzia Magufuli, Mfugale na Kijazi
Kwani kuita majina ya viongozi kumeanza kipindi cha Magufuli? Mbona mnakuwa na unaa wa kijinga hivi! Hizo barabara zimeitwa hadi majina ya watu wa nje huko, maeneo kibao yameitwa kwa kumbukumbu za watu, inakuwaje leo wao wakiendeleza huo utamaduni mnawananga!
 
Kwani kuita majina ya viongozi kumeanza kipindi cha Magufuli? Mbona mnakuwa na unaa wa kijinga hivi! Hizo barabara zimeitwa hadi majina ya watu wa nje huko, maeneo kibao yameitwa kwa kumbukumbu za watu, inakuwaje leo wao wakiendeleza huo utamaduni mnawananga!
Majina mengi yametoka baada ya wenyewe kufariki. Mengine yamekuwa yanatolewa na Mamlaka za Miji na Majiji lakini siyo hawa washirika wa Rushwa watatu toka Wizara ya Ujenzi/ TANROADS miaka 20 iliyopita. Wanapeana majina wenyewe kwa wenyewe
 
Aisee MUNGU fundi sana!
Yaani majamaa yangeendelea kuishi kila kitu kingeishia kuwa Magufuli, Mfugale, Kijazi.
Pengine hata majina ya koo tungelazimishwa kubadili!
Tanzania bila shaka ingeitwa Chatonia!

NB: Lakini yale majamaa yalielewana sana!
 
Karibu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga.

Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International Airport ulipata jina hilo miaka kadhaa baada ya Nyerere kufariki mwaka 1999. Yeye ni Baba wa Taifa ingawa wakati wa uhai wake alikataa sana kutukuzwa kwa namna hiyo.

Namna ambavyo Eng Mfugale na Eng Kijazi wamepewa kumbukumbu ya majina yao kwenye daraja la Tazara na la Ubungo kwa kweli hairidhishi. Mimi natambua wao walikuwa wafanyakazi wa Serikali waliokuwa na majukumu ya ku-design na kumsimamia ujenzi. At end of the day walikuwa wanalipwa mshahara kwa kazi yao.

Ila yule Rais Marehemu alikuwa anajiamulia tu kutoa majina kwa washirika wake.

Mbona kuna Mashujaa wengi tu ambao wangepewa heshima hiyo. Nashauri kwa sasa tuyaite Tazara Overhead bridge na Ubungo interchange tu.
Wewe ni nani sasa mpaka ubadili alichopanga mpendwa wetu Magufuli.. kwanini hukusema akiwa hai kama wewe kweli upo straight[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Karibu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga.

Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International Airport ulipata jina hilo miaka kadhaa baada ya Nyerere kufariki mwaka 1999. Yeye ni Baba wa Taifa ingawa wakati wa uhai wake alikataa sana kutukuzwa kwa namna hiyo.

Namna ambavyo Eng Mfugale na Eng Kijazi wamepewa kumbukumbu ya majina yao kwenye daraja la Tazara na la Ubungo kwa kweli hairidhishi. Mimi natambua wao walikuwa wafanyakazi wa Serikali waliokuwa na majukumu ya ku-design na kumsimamia ujenzi. At end of the day walikuwa wanalipwa mshahara kwa kazi yao.

Ila yule Rais Marehemu alikuwa anajiamulia tu kutoa majina kwa washirika wake.

Mbona kuna Mashujaa wengi tu ambao wangepewa heshima hiyo. Nashauri kwa sasa tuyaite Tazara Overhead bridge na Ubungo interchange tu.
huwezi kujenga nchi kwa kubadili badili majina kila mara baada ya watu kufariki. Ukianza hivyo, nchi haitakuwa na ramani ya kueleweka kwani kila atakayekuja madarakani atakuwa anabadili majina kuendana na utashi wake hivyo ramani mpya kuchorwa kila baada ya miaka kumi.

Kwa chuki yako dhidi ya Magufuli, huenda ukataka hata sheria zote alizosaini akiwa madarakani zifutwe; na huo utakuwa ndio mwanzo wa banana republic.
 
Karibu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga.

Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International Airport ulipata jina hilo miaka kadhaa baada ya Nyerere kufariki mwaka 1999. Yeye ni Baba wa Taifa ingawa wakati wa uhai wake alikataa sana kutukuzwa kwa namna hiyo.

Namna ambavyo Eng Mfugale na Eng Kijazi wamepewa kumbukumbu ya majina yao kwenye daraja la Tazara na la Ubungo kwa kweli hairidhishi. Mimi natambua wao walikuwa wafanyakazi wa Serikali waliokuwa na majukumu ya ku-design na kumsimamia ujenzi. At end of the day walikuwa wanalipwa mshahara kwa kazi yao.

Ila yule Rais Marehemu alikuwa anajiamulia tu kutoa majina kwa washirika wake.

Mbona kuna Mashujaa wengi tu ambao wangepewa heshima hiyo. Nashauri kwa sasa tuyaite Tazara Overhead bridge na Ubungo interchange tu.
Pia tuite MBEZI BUS TERMINAL siyo ......... ...
 
Haya yote ni mazao ya mshamba yule. MAJINA haya km yataendelea kubaki yatabaki kuwa kumbukumbu mbaya sana ya madhila makubwa yaliyofanywa na utawala ule.
 
Back
Top Bottom