isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
Binafsi metric nzuri sio kutumia hayo majina, yatumike ya asili na chimbuko la maeneo hayo, taifa ni la watanzania wote sio la watu baadhi au viongozi.Wapo wengi sana wenye historia kubwa na nchi kuliko kijazi na mfugale.