Tubadili majina ya Daraja la Mfugale na Kijazi

Tubadili majina ya Daraja la Mfugale na Kijazi

Tuweke ya Tundu Lisu na Lema!

Acha mzaha kwenye mjadala muhimu kitaifa. Thibitisha. Lissu na Lema wamefanya nini chenye umuhimu wa kukumbukwa kihistoria hata majina yao yasimikwe kwenye landmarks za taifa?

Halafu bwashee tuache ushamba. Lile daraja pale TAZARA junction nalo ni landmark ya taifa la Tanzania?
 
Kwa mimi naona ni rahisi na nimezoea kuyaita kwa hayo majina yake halisi yaani ubungo na tazara
 
Naunga mkono hoja, kuna majina mengi tu ya Watanzania wanaopigania HAKI za Binadamu Tundu Lissu, Sheikh Ponda,Askofu Mwamakula,Mashekhe wa Uamsho ni Watanzania waliojitolea sana na Huu ni wakati muafaka kuwaenzi.

Maria Sarungi Tsehai

kasimame pale na mkeo wazazi wako, ita media, taja majina utakayo
 
Hapa kwetu Majukum ya serikali yanachukuliwa Kama ridhaa au mapenz ya mtu binafsi na ukoo wake,,,,full Stop!
 
Tuondolee ushamba wako,Hata hayo tumejenga sisi kwa kodi zetu na tunataka utaratibu rasmi ufatwe wa kupewa majina sio mtu mmoja tu anagawa majina kama ni mali zake.
Hakuna haja ya kubadilisha.ila jengeni mengine myaite na majina yenu .kinawauma nini .au Engineer, eti walilipwa mshahara. Vip Baba wa taifa JNK Hakuwa ana liwa.pumbu izo jengeni mengine vibaraka nyinyi
 
Kama huo utaratibu hautafika mwisho tutakuwa taifa la hovyo sana.Lazima ifike mahali viongozi wanasiasa wafahamu wao wamepewa dhamana tu kwa muda ni sio umiliki wa taifa.
Hapa kwetu Majukum ya serikali yanachukuliwa Kama ridhaa au mapenz ya mtu binafsi na ukoo wake,,,,full Stop!
 
Kama hii hoja ni great thinking basi Tanzania ina long way to go, discussing unproductive issues personally na kama nchi na ujiite great thinker ni aibu
Kama siyo productive unafikiri kwanini mnaye mwabudu alikurupuka kutoa majina? Secondly angalia hoja imepata likes ngapi na imechangiwa posts ngapi?

Hata wewe mwenyewe umekuja na ubongo wako wa kuku
 
Ukiacha Utoto na kukua hata miaka 2 tu. Ufike 18. utapata mada za maana. Afu ndo mnalalamika bundle huko Tz kwa upuuzi kama huu. Sasa hapa TZ Itaendeleaje kwa watu wajinga kama wewe. Majina hayo wewe yatakusaidia ninl. Do you have their files. Unawajua kwa undani.
Wewe ulijaaliwa akili ya kuvukia barabara. Haya nenda kawapikie waajiri wako
 
Upuuzi mtupu.


Mbona hauoji mtaa wa Livingstone pale kariakoo?
Unaamka usiku wa manane, unasoma thread ya UPUUZI halafu unachangia UHARO. Wewe ni punguani
 
Wewe unaita Siri Wenzako walikuwa wachapa Kazi na sio wanafiki. Jenga choo mtaani kwako. Utachagua jina lako. Zaa mwanao umpe jina lako. Nunua bajaji nyuma andika LISSU
Wachapa kazi wanalipwa mshahara ndiyo haki yao
 
Kuna daraja la Tazara na Ubungo hayo mengine kaeni nayo kwenye mafile
 
Looks good

Tazara Interchange and Ubungo interchange

mitano tena
 
Karibu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga.

Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International Airport ulipata jina hilo miaka kadhaa baada ya Nyerere kufariki mwaka 1999. Yeye ni Baba wa Taifa ingawa wakati wa uhai wake alikataa sana kutukuzwa kwa namna hiyo.

Namna ambavyo Eng Mfugale na Eng Kijazi wamepewa kumbukumbu ya majina yao kwenye daraja la Tazara na la Ubungo kwa kweli hairidhishi. Mimi natambua wao walikuwa wafanyakazi wa Serikali waliokuwa na majukumu ya ku-design na kumsimamia ujenzi. At end of the day walikuwa wanalipwa mshahara kwa kazi yao.

Ila yule Rais Marehemu alikuwa anajiamulia tu kutoa majina kwa washirika wake.

Mbona kuna Mashujaa wengi tu ambao wangepewa heshima hiyo. Nashauri kwa sasa tuyaite Tazara Overhead bridge na Ubungo interchange tu.
Mbona hili JPM aliishalimaliza hilo? Alisema kwamba, yeye ameyaita hivyo kwa mamlaka aliyokuwa nayo. Ikitokea Rais mwingine akaja na akaamua kuyabadilisha, sawa. Kwahiyo, wewe endeleza ushawishi, JPM aliishamaliza mwendo wake!
 
I dont think kama inaleta any sense , majina hata yasipokuwepo madaraja yanapitika na maisha yanaendelea huu uzi ni so frenghsenzridiculing kwa kimombo cha PLO Lumbumba kimsingi hauna tija
 
Kwa nini unawachukia hivyo, wamekukosea nini?
Hakukuwa na sababu ya kutoa majina hayo kwenye vitu vya umma ambavyo wao walikuwa watumishi tu ule ulikuwa ni ulimbukeni tu na ushamba wa magufuli hao hawakuwa na hadhi yeyote ya majina yao kutumika huko.
 
Back
Top Bottom