Tubadili majina ya Daraja la Mfugale na Kijazi

Tubadili majina ya Daraja la Mfugale na Kijazi

Wewe ni nani sasa mpaka ubadili alichopanga mpendwa wetu Magufuli.. kwanini hukusema akiwa hai kama wewe kweli upo straight[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mimi ni Mtanzania mtoa maoni, nisingeweza kutoa akiwa hai kwa vile Mwendazake alikuwa anaua ukimkosoa
 
huwezi kujenga nchi kwa kubadili badili majina kila mara baada ya watu kufariki. Ukianza hivyo, nchi haitakuwa na ramani ya kueleweka kwani kila atakayekuja madarakani atakuwa anabadili majina kuendana na utashi wake hivyo ramani mpya kuchorwa kila baada ya miaka kumi.

Kwa chuki yako dhidi ya Magufuli, huenda ukataka hata sheria zote alizosaini akiwa madarakani zifutwe; na huo utakuwa ndio mwanzo wa banana republic.
Sheria alizosaini Magufuli akiwa madarakani zitabadilishwa tu. Zile Sheria zote za Cyber, Takwimu, Huduma za habari, vyama vya Siasa, madini nk alizosaiini zilikuwa ndiyo vitendea kazi vya DIKTETA.

Marcus Tullius Cicero aliwahi kusema kuwa: "The closer the collapse of the Empire the crazier its laws"​

Katengeneza Sheria za KIJINGA na kweli ka-collapse tarehe 17/ 03/ 2021
 
Sheria alizosaini Magufuli akiwa madarakani zitabadilishwa tu. Zile Sheria zote za Cyber, Takwimu, Huduma za habari, vyama vya Siasa, madini nk alizosaiini zilikuwa ndiyo vitendea kazi vya DIKTETA.

Marcus Tullius Cicero aliwahi kusema kuwa: "The closer the collapse of the Empire the crazier its laws"​

Katengeneza Sheria za KIJINGA na kweli ka-collapse tarehe 17/ 03/ 2021
Mbumbumbu, sheria ya cyber ni ya 2015 kabla ya mchakato wa kampeni.
 
Mbumbumbu, sheria ya cyber ni ya 2015 kabla ya mchakato wa kampeni.
Siko mbumbumbu wa sheria ninajuwa ninachoandika. Najuwa kuwa sheria ya cyber ni ya 2015 lakini nayo imetumika kumuimarisha DIKTETA
 
Karibu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga.

Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International Airport ulipata jina hilo miaka kadhaa baada ya Nyerere kufariki mwaka 1999. Yeye ni Baba wa Taifa ingawa wakati wa uhai wake alikataa sana kutukuzwa kwa namna hiyo.

Namna ambavyo Eng Mfugale na Eng Kijazi wamepewa kumbukumbu ya majina yao kwenye daraja la Tazara na la Ubungo kwa kweli hairidhishi. Mimi natambua wao walikuwa wafanyakazi wa Serikali waliokuwa na majukumu ya ku-design na kumsimamia ujenzi. At end of the day walikuwa wanalipwa mshahara kwa kazi yao.

Ila yule Rais Marehemu alikuwa anajiamulia tu kutoa majina kwa washirika wake.

Mbona kuna Mashujaa wengi tu ambao wangepewa heshima hiyo. Nashauri kwa sasa tuyaite Tazara Overhead bridge na Ubungo interchange tu.
IMG_20210630_064847.jpg
 
Majina mengi yametoka baada ya wenyewe kufariki. Mengine yamekuwa yanatolewa na Mamlaka za Miji na Majiji lakini siyo hawa washirika wa Rushwa watatu toka Wizara ya Ujenzi/ TANROADS miaka 20 iliyopita. Wanapeana majina wenyewe kwa wenyewe
Vipi Kikwete hakupewa majina ya maeneo/barabara/majengo akiwa madarakani? Ben hakupewa majina ya madaraja/barabara akiwa madarakani?
 
Nimeshatoa maelezo kuhusu Cybercrime Act ya 2015
 
Back
Top Bottom