Tubadilishane Utaalamu wa kufunga satellite dishi 1 lnb 6

Tubadilishane Utaalamu wa kufunga satellite dishi 1 lnb 6

Hivyo vitu ndo vyenyewe ngoja nifanye practical nitawajuza wadau wote matokeo yake!
 
kaka nyondoloja na mwingine yeyote naomba kujua urefu wa nguzo inayoshika lnb ya ku kutoka kwene mduara wa lnb kubwa unapotmia dish la futi nane ili kupata sat ya Eutelsat 36A/36B @ 36° East naomba msaada kwa hlo.



mkuu futi 8 sijaifanyia utafiti futi 6 ni 15
 
Uubarikiwe kiongozi ngoja niingie dijitali mwenyewe nikishindwa au nikiweza lazima nirudi hapa
 
kaka niko nafunga hyo ku-band ya eutelsat 36A- 36degree nimepata CCTV 9 documentary na dish promo embu nipe freq na maujanja ya kupata FTA zingine natumia media com. MFT 930 plus
 
kaka niko nafunga hyo ku-band ya eutelsat 36A- 36degree nimepata CCTV 9 documentary na dish promo embu nipe freq na maujanja ya kupata FTA zingine natumia media com. MFT 930 plus

Mkuu kama utakua kama utakua na receiver mpeg 4 utapata itv, star tv, tbc, chn ten, cnn, aljzra, atn, ebru, silvbrd, color, setanta africa, emanuel, nk. 12275 H 11200 3/4. Kwenye hiyo mediacom sidhanan kama utapata zaidi ya hizo.
 
jf wazima pata ujuzi kidogo nawe kama una maujanja ongeza wengi wetu tumejaza madishi nyumbani kwetu
kwakutumia mfumo huu unaweza ukapunguza. dishi 1 ft 6 unaweza kufunga LNB sita CBD-3 na KU-3 ukituli hadi CBD 4


angalia hi picha nilivyo funga hapa nyumbaniView attachment 80099

tuanze na hii chini 36.0e kwenda juu 78.5e

36.5e Euntelsat 36A-36B hapo zinapatikana za DSTV, AGAPE, ZAP, nk
57.0e NSS 12 hapo zinapatika za ZUKU, na FTA kenya
64.2e lntelsat 906 hapo za tanzania mzq nk
68.5e lntelsat 20 KU kuna za sauzi,naijelia,dini nk
68.5E lntelsat 20 CBD kuna iljzr,kihindi nk
76.5e Apstar 7
78.5e Thaicom 5

76.5e na 78.5e hizi satellite kufunga unabalansi unazipata zote
68.5e CBD na 68.5e KU zinakaa sehem moja CBD chini KU juu
kama huwezi kuchonga zipo dukani zilizo shikana cbd na ku

freq kwenye link hapo chini

78.5eThaicom5
76.5eApstar7
68.5eCBDnaKU
64.2elntelsat906
57.0eNSS-12
36.0eEutelsat36A-36B

bro hp kweny thaicom unapat chanel zinazoonesh mpira epl,laliga,fa,ucl,
 
Za Tanzania ni ITV,EATV,TBC1,STAR TV,CHNL 10,na ATN,. KENYA ipo K24,.ZAMBIA ipo Muvi tv Africa,. NIGERIA ipo EMMANUEL TV,. Nyingie ni SETANTA AFRICA,CNN,ALJAZEERA,EBRU AFRICA ya South Africa,LOVE WORLD PLUS,nk. Zote za mwanzo ni kwa MPEG4 RECEIVER. Good Luck.

Mkuu, tunaomba frequency za kutafutia.
 
wandg nmejarb kutafuta signal kwene dish ft 8 cjafankiwa alieweza jaman atupe maujanja plz.

Ft nane ndo unapata kwa signal kali kidogo tumia receiver inayopokea signal haraka unaweza ukatumia frequence za cctv ndo kali then ukisha pata unaendelea kuballance
 
Ft nane ndo unapata kwa signal kali kidogo tumia receiver inayopokea signal haraka unaweza ukatumia frequence za cctv ndo kali then ukisha pata unaendelea kuballance

ndg kwa mujbu wa picha hapo juu degree 36 inapatkana kushoto kwa dish juu kidogo ya ile nguzo inayoshka lnb ya k24 .but eneo lote hlo nmejarb kupta na lnb bila mafanikio ngoja nitafute fr za hyo cctv nijarb tena. Natmia rcva ya mpg4 je nawezakutmia mpg2 nkapata signal halaf nikpata ndo niweke mpeg4
 
ndg kwa mujbu wa picha hapo juu degree 36 inapatkana kushoto kwa dish juu kidogo ya ile nguzo inayoshka lnb ya k24 .but eneo lote hlo nmejarb kupta na lnb bila mafanikio ngoja nitafute fr za hyo cctv nijarb tena. Natmia rcva ya mpg4 je nawezakutmia mpg2 nkapata signal halaf nikpata ndo niweke mpeg4

Itakua vyema zaidi mkuu
 
huwez kukomaa na mpeg 2 ukapata hzo za tz kwwenye hyo degree 36 maana me nimetumia mediacom nimepata cctv documentary ,cctv news na zingne za kuripia
 
huwez kukomaa na mpeg 2 ukapata hzo za tz kwwenye hyo degree 36 maana me nimetumia mediacom nimepata cctv documentary ,cctv news na zingne za kuripia

Kasema mpeg4 anayo ila mpeg2 anaitumia kutaftia signal tu kwani ndo nzuri kwa kutaftia signal ni rahisi kuitumia hata asiyekua fundi
 
Kasema mpeg4 anayo ila mpeg2 anaitumia kutaftia signal tu kwani ndo nzuri kwa kutaftia signal ni rahisi kuitumia hata asiyekua fundi

je nisimame upande gan wakat natafta signal isje nkawa na block signal mi nasimama mbele ya dish ninapotafta signal. Kiufund unatakiwa usmame wapi na ucfanye nn il usi block signal?
 
je nisimame upande gan wakat natafta signal isje nkawa na block signal mi nasimama mbele ya dish ninapotafta signal. Kiufund unatakiwa usmame wapi na ucfanye nn il usi block signal?

umeuliza swali zuri hata mimi nilitaka ufahamu katika hilo..
 
Back
Top Bottom