Mavella
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 459
- 76
Asante sana Nyondoloja,nilipandisha signal nikapata K24 signal zaidi ya asilimia 70,Sayare nimepata ila inascratch sana,WBS sikupata kabisa tatizo linaweza kuwa ni nini?
ndugu kibukila wbs haipo siku nyingi waliitoa.