SI KWELIHizi ni baadhi ya sifa mbaya ambazo zinaweza kuliganda Taifa!!
Sasa wale LGBT sindio wata tamalaki kama kwa Biden...🤔Tumtumie nyegere atafaa zaidi... Kama point ni jinsi mnyama alivyo!
Ni mbabe, anajua kulinda kilicho chake, ni jasiri na kingine kizuri zaidi uwezi kumu ua kizembe mpaka uwe kidume kweli kweli!Tabia zake Mkuu...
hapana aiwezi kuwa ivyo mkuuSasa wale LGBT sindio wata tamalaki kama kwa Biden...🤔
Moja kwanza tuanze hapo kwenye hio premise unaweza uka-jenga hoja kubwa, ndefu na nzito ila kama zimesimamia msingi hafifu / usio na nguvu hoja hizo zinakuwa Void Ab Initio.....Taifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.
Simba mangu ni Caracal!!! sio Lion.Moja kwanza tuanze hapo kwenye hio premise unaweza uka-jenga hoja kubwa, ndefu na nzito ila kama zimesimamia msingi hafifu / usio na nguvu hoja hizo zinakuwa Void Ab Initio.....
Ukimaliza kujibu hilo niite niendelee kupangua Hoja zako kama unadhani one to one Man amano - Simba anaweza kumdhibiti Twiga
Na ushaona hawa wanawawinda Twiga ?Simba mangu ni Caracal!!! sio Lion.
Ukamuulize simba kama twiga ni mpole, akusimulie mateke yakeTaifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.
Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake;
1. Ni mpole kupita kiasi.
2. Atoi sauti inayojulikana (bubu).
3. Pamoja na nguvu na ukubwa wake ni muoga, anaweza kimbizwa na mtoto.
4. Wana tabia za homosexuality
Hizi ni baadhi ya sifa mbaya ambazo zinaweza kuliganda Taifa! Turekebishe kwenye katiba. Afadhali tumtumie Simba mangu (Caracal)
Asanteni.
Tuchague huyo mwamba😂Taifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.
Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake;
1. Ni mpole kupita kiasi.
2. Atoi sauti inayojulikana (bubu).
3. Pamoja na nguvu na ukubwa wake ni muoga, anaweza kimbizwa na mtoto.
4. Wana tabia za homosexuality
Hizi ni baadhi ya sifa mbaya ambazo zinaweza kuliganda Taifa! Turekebishe kwenye katiba. Afadhali tumtumie Simba mangu (Caracal)
Asanteni.
Nchi itakuwa ya watu wenye uwivu sana🤣🤣🤣Tumtumie nyegere atafaa zaidi... Kama point ni jinsi mnyama alivyo!
Anamtoa hata,,🦁kwa koTuchague huyo mwamba😂
mi napendekeza yafuatayoTaifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.
Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake;
1. Ni mpole kupita kiasi.
2. Atoi sauti inayojulikana (bubu).
3. Pamoja na nguvu na ukubwa wake ni muoga, anaweza kimbizwa na mtoto.
4. Wana tabia za homosexuality
Hizi ni baadhi ya sifa mbaya ambazo zinaweza kuliganda Taifa! Turekebishe kwenye katiba. Afadhali tumtumie Simba mangu (Caracal)
Asanteni.