Nilisoma mahali lakini sikumbuki wapi kwamba Twiga analala dakika tano tu kwa siku sijui kama ni kweliUkamuulize simba kama twiga ni mpole, akusimulie mateke yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilisoma mahali lakini sikumbuki wapi kwamba Twiga analala dakika tano tu kwa siku sijui kama ni kweliUkamuulize simba kama twiga ni mpole, akusimulie mateke yake
Badala ya kufikiria how can we advance science for development, unafikiria petty issues! Nchi kama South Korea ambavyo we were at par in the early 60s, sasa wanamalizia hatua ya mwisho kuwa developed world because of science, wewe unafikiria namna ya kubadiri nembo ya taifa instead of how to advance scienceTaifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.
Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake;
1. Ni mpole kupita kiasi.
2. Atoi sauti inayojulikana (bubu).
3. Pamoja na nguvu na ukubwa wake ni muoga, anaweza kimbizwa na mtoto.
4. Wana tabia za homosexuality
Hizi ni baadhi ya sifa mbaya ambazo zinaweza kuliganda Taifa! Turekebishe kwenye katiba. Afadhali tumtumie Simba mangu (Caracal)
Asanteni.
mi napendekeza yafuatayo
1.mnyama awe fisi kwa sababu watanzania ni waoga na hawatosheki (wezi wa mali za umma)
2.Nembo ya bibi na bwana yule bibi aongezewe wowowo!!!
Nembo yetu ya taifa wamesimama mme na mke wala sio wanyama kama nchi nyingine. Hakuna jambo zuri kama hilo na ni la kipekee kabisa.Taifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.
Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake;
1. Ni mpole kupita kiasi.
2. Atoi sauti inayojulikana (bubu).
3. Pamoja na nguvu na ukubwa wake ni muoga, anaweza kimbizwa na mtoto.
4. Wana tabia za homosexuality
Hizi ni baadhi ya sifa mbaya ambazo zinaweza kuliganda Taifa! Turekebishe kwenye katiba. Afadhali tumtumie Simba mangu (Caracal)
Asanteni.