Tubadilishe mnyama wa Taifa asiwe Twiga

Tubadilishe mnyama wa Taifa asiwe Twiga

Na ushaona hawa wanawawinda Twiga ?

A giraffe can kick in any direction and in a manner of ways, and its kick can not only kill a predator, but has even been known to decapitate. Unsurprisingly, very few predators bother an adult giraffe.
Mkuu ungekua unafanya utalii wa ndani hili ungelijua, pale Ruaha National Park, kuna Lion pride iliyo specialize kuwinda Twiga, na mara nyingi Twiga wengi wameuliwa na pride hii, tembelea ile mbuga na omba upelekwe sehemu inayoitwa The Glein, na pia hapo ukiwa na bahati utaiona pride ambayo ni wawindaji wazuri wa Buffalo, Botswana wanayo ambayo inawinda Tembo, one in one ni matter of timing, pls ukiwa na uwezo tembeleene Ruaha National Park ni super kwa zote nchini, utaona vitu unique
 
Usiturudishe Nyuma Kujadili Mijadala Iliyofungwa Zamani Sana
Jamhuri Ya JF Tulikubaliana Zamani Kuhusu Kamanda Nyegere Awekwe Pale Haraka
Twiga Atupishe, Ametuchelewesha Kwenye Mambo Mengi Sana Ya Maendeleo



Hata Tanesco Wamuondoe Tuepuke Umeme Kukatika Hovyo Hovyo
Ee bwana Nyegele ni jeshi la mtu mmoja na mtata sana.
 
Mkuu ungekua unafanya utalii wa ndani hili ungelijua, pale Ruaha National Park, kuna Lion pride iliyo specialize kuwinda Twiga, na mara nyingi Twiga wengi wameuliwa na pride hii, tembelea ile mbuga na omba upelekwe sehemu inayoitwa The Glein, na pia hapo ukiwa na bahati utaiona pride ambayo ni wawindaji wazuri wa Buffalo, Botswana wanayo ambayo inawinda Tembo, one in one ni matter of timing, pls ukiwa na uwezo tembeleene Ruaha National Park ni super kwa zote nchini, utaona vitu unique
Pride : A group of Lions.....

What did I say.....

Ukimaliza kujibu hilo niite niendelee kupangua Hoja zako kama unadhani one to one Man amano - Simba anaweza kumdhibiti Twiga
Jamaa akasema yeye hasemi simba anasema caracal ukizingatia hao wana-hunt alone na wanspecialize kwenye small animals...., ndio nikwambia....

Ushaona hao wanawinda Twiga..; Ukizingatia Twiga teke lake ni balaa.....
 
Taifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.

Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake;
1. Ni mpole kupita kiasi.
2. Atoi sauti inayojulikana (bubu).
3. Pamoja na nguvu na ukubwa wake ni muoga, anaweza kimbizwa na mtoto.
4. Wana tabia za homosexuality

Hizi ni baadhi ya sifa mbaya ambazo zinaweza kuliganda Taifa! Turekebishe kwenye katiba. Afadhali tumtumie Simba mangu (Caracal)

Asanteni.
Naunga mkono hoja
 
Taifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.

Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake;
1. Ni mpole kupita kiasi.
2. Atoi sauti inayojulikana (bubu).
3. Pamoja na nguvu na ukubwa wake ni muoga, anaweza kimbizwa na mtoto.
4. Wana tabia za homosexuality

Hizi ni baadhi ya sifa mbaya ambazo zinaweza kuliganda Taifa! Turekebishe kwenye katiba. Afadhali tumtumie Simba mangu (Caracal)

Asanteni.
Wekeni Pimbi kabisa basi. Kwani sifa za Pimbi ni zipi?
 
Mm nadhani tunaendana na tabia za twiga, watz tupo tupo tuu kama mafala ndio maana wenye vyeo wanajipigia tuu pesa za umma.
 
Taifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.

Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake;
1. Ni mpole kupita kiasi.
2. Atoi sauti inayojulikana (bubu).
3. Pamoja na nguvu na ukubwa wake ni muoga, anaweza kimbizwa na mtoto.
4. Wana tabia za homosexuality

Hizi ni baadhi ya sifa mbaya ambazo zinaweza kuliganda Taifa! Turekebishe kwenye katiba. Afadhali tumtumie Simba mangu (Caracal)

Asanteni.
ndo mnyama mwenye uwezo kuona mbali kuliko kiumbe chochote duniani ,nahiyo ndo sababu ya uwepo wake kama nembo nadhani ccm wamesahau kwann nyerere alilidhia hili
 
Taifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.

Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake;
1. Ni mpole kupita kiasi.
2. Atoi sauti inayojulikana (bubu).
3. Pamoja na nguvu na ukubwa wake ni muoga, anaweza kimbizwa na mtoto.
4. Wana tabia za homosexuality

Hizi ni baadhi ya sifa mbaya ambazo zinaweza kuliganda Taifa! Turekebishe kwenye katiba. Afadhali tumtumie Simba mangu (Caracal)

Asanteni.
Huku twiga, kule mwenge!
Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania [emoji1241]

Kule ipo nchi ya Zanzibar, lakini mbona Tanganyika haionekani!?

Hesabu za kimuungano
Hapa Tanzania
1 + 1 = 2 [emoji736]

Kwingine duniani
1 + 1 = 1[emoji736]
1 + 1 = 2 [emoji735]
 
ndo mnyama mwenye uwezo kuona mbali kuliko kiumbe chochote duniani ,nahiyo ndo sababu ya uwepo wake kama nembo nadhani ccm wamesahau kwann nyerere alilidhia hili
Ukisha ona mbali?
 
Kwa nini asiwe Panya Buku??, maana tunaongoza kwa KUFISIDI mali za umma..watu wanakula kwa fujo bila kunawa
 
Back
Top Bottom