Mo shyner
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 464
- 1,114
Lakin bila wivu akuna maendeleo mkuu... Labda wawe na wivu wa maendeleo!Nchi itakuwa ya watu wenye uwivu sana🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakin bila wivu akuna maendeleo mkuu... Labda wawe na wivu wa maendeleo!Nchi itakuwa ya watu wenye uwivu sana🤣🤣🤣
Mkuu ungekua unafanya utalii wa ndani hili ungelijua, pale Ruaha National Park, kuna Lion pride iliyo specialize kuwinda Twiga, na mara nyingi Twiga wengi wameuliwa na pride hii, tembelea ile mbuga na omba upelekwe sehemu inayoitwa The Glein, na pia hapo ukiwa na bahati utaiona pride ambayo ni wawindaji wazuri wa Buffalo, Botswana wanayo ambayo inawinda Tembo, one in one ni matter of timing, pls ukiwa na uwezo tembeleene Ruaha National Park ni super kwa zote nchini, utaona vitu uniqueNa ushaona hawa wanawawinda Twiga ?
A giraffe can kick in any direction and in a manner of ways, and its kick can not only kill a predator, but has even been known to decapitate. Unsurprisingly, very few predators bother an adult giraffe.
Ee bwana Nyegele ni jeshi la mtu mmoja na mtata sana.Usiturudishe Nyuma Kujadili Mijadala Iliyofungwa Zamani Sana
Jamhuri Ya JF Tulikubaliana Zamani Kuhusu Kamanda Nyegere Awekwe Pale Haraka
Twiga Atupishe, Ametuchelewesha Kwenye Mambo Mengi Sana Ya Maendeleo
Hata Tanesco Wamuondoe Tuepuke Umeme Kukatika Hovyo Hovyo
Pride : A group of Lions.....Mkuu ungekua unafanya utalii wa ndani hili ungelijua, pale Ruaha National Park, kuna Lion pride iliyo specialize kuwinda Twiga, na mara nyingi Twiga wengi wameuliwa na pride hii, tembelea ile mbuga na omba upelekwe sehemu inayoitwa The Glein, na pia hapo ukiwa na bahati utaiona pride ambayo ni wawindaji wazuri wa Buffalo, Botswana wanayo ambayo inawinda Tembo, one in one ni matter of timing, pls ukiwa na uwezo tembeleene Ruaha National Park ni super kwa zote nchini, utaona vitu unique
Jamaa akasema yeye hasemi simba anasema caracal ukizingatia hao wana-hunt alone na wanspecialize kwenye small animals...., ndio nikwambia....Ukimaliza kujibu hilo niite niendelee kupangua Hoja zako kama unadhani one to one Man amano - Simba anaweza kumdhibiti Twiga
Naunga mkono hojaTaifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.
Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake;
1. Ni mpole kupita kiasi.
2. Atoi sauti inayojulikana (bubu).
3. Pamoja na nguvu na ukubwa wake ni muoga, anaweza kimbizwa na mtoto.
4. Wana tabia za homosexuality
Hizi ni baadhi ya sifa mbaya ambazo zinaweza kuliganda Taifa! Turekebishe kwenye katiba. Afadhali tumtumie Simba mangu (Caracal)
Asanteni.
Tumweke SimbaMshana alishaongea kitambo sana kuwa twiga abadilishwe Hana nguvu ya mamlaka.
Ahhahaajahajmi napendekeza yafuatayo
1.mnyama awe fisi kwa sababu watanzania ni waoga na hawatosheki (wezi wa mali za umma)
2.Nembo ya bibi na bwana yule bibi aongezewe wowowo!!!
Hapa Jina la mnyama litatuponzaTumtumie nyegere atafaa zaidi... Kama point ni jinsi mnyama alivyo!
Duuh! na wenzetu Uganda Korongo afadhali sisi.Ni mpole kupita kiasi.
Wekeni Pimbi kabisa basi. Kwani sifa za Pimbi ni zipi?Taifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.
Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake;
1. Ni mpole kupita kiasi.
2. Atoi sauti inayojulikana (bubu).
3. Pamoja na nguvu na ukubwa wake ni muoga, anaweza kimbizwa na mtoto.
4. Wana tabia za homosexuality
Hizi ni baadhi ya sifa mbaya ambazo zinaweza kuliganda Taifa! Turekebishe kwenye katiba. Afadhali tumtumie Simba mangu (Caracal)
Asanteni.
ndo mnyama mwenye uwezo kuona mbali kuliko kiumbe chochote duniani ,nahiyo ndo sababu ya uwepo wake kama nembo nadhani ccm wamesahau kwann nyerere alilidhia hiliTaifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.
Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake;
1. Ni mpole kupita kiasi.
2. Atoi sauti inayojulikana (bubu).
3. Pamoja na nguvu na ukubwa wake ni muoga, anaweza kimbizwa na mtoto.
4. Wana tabia za homosexuality
Hizi ni baadhi ya sifa mbaya ambazo zinaweza kuliganda Taifa! Turekebishe kwenye katiba. Afadhali tumtumie Simba mangu (Caracal)
Asanteni.
Huku twiga, kule mwenge!Taifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.
Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake;
1. Ni mpole kupita kiasi.
2. Atoi sauti inayojulikana (bubu).
3. Pamoja na nguvu na ukubwa wake ni muoga, anaweza kimbizwa na mtoto.
4. Wana tabia za homosexuality
Hizi ni baadhi ya sifa mbaya ambazo zinaweza kuliganda Taifa! Turekebishe kwenye katiba. Afadhali tumtumie Simba mangu (Caracal)
Asanteni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ehh!!mi napendekeza yafuatayo
1.mnyama awe fisi kwa sababu watanzania ni waoga na hawatosheki (wezi wa mali za umma)
2.Nembo ya bibi na bwana yule bibi aongezewe wowowo!!!