Mkuu umesahau
MAVAZI :tumeacha kabisa kuvaa ngozi
ELIMU: tumeacha kuchunga Ng'ombe na kuwinda mwituni kwa mikuki na Mishale tunaenda kuwapotezea muda shuleni Waafrika sisi.
Mimi napenda sana ile lafudhi ya kiarabi ikitamkwa na mbongo: ''kheri sheikh! Inshallah"
👳👳 na kujifunga kichwani. Ngoja tu tuige bosi kwani kuna raha yake kuiga majina na lafudhi ya kiarabu. Vaa, tembea na kuoa wanawake wawili hadi wanne