Nimeambulia kichemchem tuππMbagala..!!
1. Unapajua Bmax wewe..?
2. Unapojua Darlive ndogo wewe?
3. Unapajua Kilamba?
4. Unapajua Biasi wewe?
5. Unapajua kurasini mpya wewe?
6. Unapajua kwa Mangaya wewe? Maturubai je?
7. Unapajua Kimbangulile wewe?
8. Unajua Scorpion wewe? Kakonko je?
9. Unapajua kwa Mapunda?
10. Unapajua Bamia?
11. Kichemchem ushawahi fika?
12. Unapajua kilungule, ukiwa unaelekea kwa Mpalange?
13. Unapajua Ikulu? Ukiwa unaelekea vigozi..!!
Haya hata hiyo chem chem tuambie ipo maeneo gani π€π€π€π€Nimeambulia kichemchem tuππ
Ushawahi kufikaNgoja nijaribu, hata kama nimetoka huko kitambo kidogo...
1. Tusiime
2. Mwenge Social Hall..karibu na tuisheni za zamani za akina Sir Sumu.
5. Sea Cliff ni pande za Masaki kama sijakosea.
7. Posta..kuna Benki ya CRDB tawi kubwa.
10. Kino moja iyo. Mabishoo walianzia hapo..
12. Buza maana ndo tunasikiaga Buza kwa lulenge.
13. Mbagala
14. Kimara
15. Tege
Mbagala njia ya kwenda Mbagala kuu nafkirHaya hata hiyo chem chem tuambie ipo maeneo gani π€π€π€π€
Mmmh mmmh mmmhMbagala njia ya kwenda Mbagala kuu nafkir
πππNimewalisha matango pori au ππMmmh mmmh mmmh
Yaaani mbona akili imekataa kuamini hivi...!!!?πππNimewalisha matango pori au ππ
Homeboy nini!!? Wakwetuu..Bonanza unapajua?Unakuja kipunguni wewe
Kwa masantula au..?Na sisi wa chanika tunaruhusiwa kushiriki kwenye hii maada?
πππKichem chem ipo Mbagala unapanda hiace au bajaji zakiem unaenda hukoYaaani mbona akili imekataa kuamini hivi...!!!?
Unachanganya wewe...π€π€π€π€πππKichem chem ipo Mbagala unapanda hiace au bajaji zakiem unaenda huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unapajua kwa mpalange?
Kwa mama kibonge je?
Habari kaka.Unapajua Temeke wewe,Chang'ombe,Unubini,Toroli,sokota,Wailes,Taifa,pile,tandika,mwembeyanga,mikoroshini,sandali,deviskona,Yombo,njaro,maguruwe