FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
Ni Mkongo na si Mbelgiji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muendelee kuyaandika kwa kiswahili, msiandike kwenye lugha zao wasije wakatushtukia na kubuni likorona fulani kwa ajili ya hii ngozi adhimu tuliyopewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muendelee kuyaandika kwa kiswahili, msiandike kwenye lugha zao wasije wakatushtukia na kubuni likorona fulani kwa ajili ya hii ngozi adhimu tuliyopewa.
Sio ya kutegemewa ile, huwa inatafsiri visivyo.[emoji23][emoji23][emoji23]siku hizi kuna Google translate
Jr[emoji769]
Hehehe umeonaee?? Hiyo tafsiri iko sahihi kabisaaaa....
Hehehe umeonaee?? Hiyo tafsiri iko sahihi kabisaaaa....
Mkuu ni mbeligiji wa aina gani maana si hata kina Lukaku tumefanana nao kila kitu ila ni wabelgijiNiliposoma na kubaini kuwa ni raia wa ubeligiji roho ikatulia. Bado naamini kwamba hili gonjwa halituhusu sisi weusi. Mungu aendelee kutulinda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliacha kuitumia siku nimeandika "64 people died on board" ikaniletea "watu 64 walikufa kwenye ubao" .. Kimoyomoyo nikasema hii tenda ya utafsiri atakuwa alipewa mkongomani😀😆Sio ya kutegemewa ile, huwa inatafsiri visivyo.
Mbona imekaa vizuri hiyo tafsiri[emoji23][emoji23][emoji23]Niliacha kuitumia siku nimeandika "64 people died on board" ikaniletea "watu 64 walikufa kwenye ubao" .. Kimoyomoyo nikasema hii tenda ya utafsiri atakuwa alipewa mkongomani[emoji3][emoji38]
Mkuu on board kwa maana ya ndani ya chombo cha usafiri😀😆hamna walinidanganya
Sababu ya kusema hivyo haijajulikana ila taarifa yao ya mara ya mwisho imedai kuwa ni Mkongo.
Mrusi yupo makini sanaaa.Hili Likorona lilikua la kuhujumiana wao kwa wao, ndio maana linaenea kwa Wazungu, Waarabu na Wachina. Naona Mrusi halijambishia hodi, au atakua yeye ndio mpishi wa haya mambo.