Chamoto
JF-Expert Member
- Dec 7, 2007
- 8,577
- 18,774
Sababu ni kuwa kiasi cha wanaoambukizwa Marekani kulinganisha na kile wanachopona ni ndogo. Pia Ulaya watu wanaishi karibu karibu tofauti na Urusi, hivyo kuna hatari kubwa ya maambukizi. Ukiangalia wataliano, wao wanautamaduni wa kusikanashikana sana, huenda imesababisha wao kuupata wengi.Duh Noana hata Australia na Wahindi pia, sema hao hawapigi makelele sana kama Marekani na Uropa.
Nimekokotoa hapo chini asilimia za waliopona kwa walioathirika.
China 76%
Iran 33%
Australia 19%
Urusi 15%
Italia 7%
India 7%
Marekani 0.7%