Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Ya kutuuzaWale nyumbu bado watakuja kusifia mama anafanya kazi nzuri sijui hiyo kazi nzuri ni ipi hata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kutuuzaWale nyumbu bado watakuja kusifia mama anafanya kazi nzuri sijui hiyo kazi nzuri ni ipi hata
Kuna dalili kubwa hata angeusoma asingeelewa chochote.Kasheshe ya huu mkataba maza mwenyewe hajausoma hata page moja
Yaani walishindwa kuipata hata ya kule kwa rafiki yetu wa Rwanda, Mh. Kagame? Au wanazo ila wametuficha ili tusiweze kulinganisha na hii ya kwetu. Inasikitisha sana. Jee kuna wengine ambao wanaweza kuzipata watuletee hapa? Mtandao wa watu kama Dr Slaa wajaribu kuzitafuta. Hii inaweza saidia kumaliza sakata hili kiustarabu by research.
Kwa hiyo Samia ndo SI Unit ya Uzalendo wa nchi hii? Yeyote atakayetoa maoni kinyume cha maamuzi ya Samia siyo Mzalendo? Sijui mmerogwa na kigagula gani!!Yeye angependa mkataba uwe je? Kwani yeye haiko karibu na Raisi ili amshauri au anatafuta Kiki (cheap popularity) za kustafia tangu lini huyu awe mzalendo?
Yale maamuzi ni ya bunge na chama tawala sio ya Raisi peke yake, hiyu ni kaada wa CCM kwanini asipingie huko huko chamani.Kwa hiyo Samia ndo SI Unit ya Uzalendo wa nchi hii? Yeyote atakayetoa maoni kinyume cha maamuzi ya Samia siyo Mzalendo? Sijui mmerogwa na kigagula gani!!
Ni tatizo kubwa sana. Mtu anaamua kusaini vipengele, masharti ya kijinga kuuza nchi halafu anatetea huo ujinga.Dini imewaharibu sn wanaona waliotofauti na wao ni watu baki
umesahau katiba ya ccm na zidumu fikra za mwenyekiti, mwenyekiti kasaini yeye kama mserikali, na yeye ndio mwenyekiti wa kikao hicho hicho kinachoenda kujadili upuuzi aliousaini yeye, walau angetaka kuwa fair, na kuondoa conflict of interest ambazo anazo angewaacha neutral persons wajadili na kulitolea maamuzi.Yale maamuzi ni ya bunge na chama tawala sio ya Raisi peke yake, hiyu ni ka aada wa CCM kwanini asipingie huko huko chamani.
What constitutes a valid agreement?MoU zitakuwa zinahusu specific project most likely.
IGA ni makubaliano ya kuanza majadiliano ya kurasimisha hiyo mikataba.
Hayo ni mawazo yangu kwa sababu serikali aijaelezea hizo MoU. Ata IGA inaweza kuwa na MoU yake but it means nothing kama isingefikia hatua ilipo leo.
Aibu kubwa snNi tatizo kubwa sana. Mtu anaamua kusaini vipengele, masharti ya kijinga kuuza nchi halafu anatetea huo ujinga.
Silaha,madawa ya kulevya, wanyama wetu vyote vinaweza kufanyika bila sisi kujua.
Shida inaanzia hapo hajui chochote kama sisi zaidi ya kuambiwa na kusikiaKuna dalili kubwa hata angeusoma asingeelewa chochote.
Kuna mtu ameitwa polisi kuhojiwa, huo uhuru unaosema ulikuwa unamaanisha nn? Angalia yaliyomkuta JobIntellectual arrogance inakusumbua lakini unaweza kujifunza zaidi ujue system za nchi zinavyowork. Nchi yetu ni infant yaani inaendelea kukua hivyo bado yapo mambo yanapaswa kubadilika taaratibu. Raisi sio minguvu ni office kuubwa yenye watu wa kila aina, lakini pia kuna Bunge na mahakama. Rais hawezi kuwa malaika ndio maana tunapewa uhuru wa kutoa maoni na sio dharua na ujuaji.
Naunga mkono hojaJaribu kutofautisha mahaba binafsi kwa mtu na uhalisia wa mambo. Unachotetea hapa ni mahaba yako kwa kiongozi.
Nyingi ya nchi za dunia ya tatu, ya kwetu ikiwemo nguvu ya raisi kiuhalisia inaweza ku by pass mihimili mingine yote japo kimaandishi tunaaminishwa mihimili haiingiliwi.
Kuhusu maoni, watanzania walipewa nafasi gani kutoa maoni kuhusiana na swala la bandari?? Mbali ya watu kupinga none stop lakini nguvu kubwa imetumika na bado inatumika kuaminisha watu kuwa tupo njia sahihi.
Kurudi kwenye point yangu, sijaongelea uduni wa elimu/upeo/uelewa kama dhihaka ama dharau. Nimeongelea hivyo kwa kuakisi uhalisia uliopo.
Sifa moja ya kiongozi ni kuweza kutetea hoja zake na maamuzi yake kwa kutumia facts na sio nadharia za fairy tales.
Mpaka leo hii zaidi ya propaganda za kutumia kila aina ya watu wenye ushawishi kusifia ubinafsishwaji hakuna factual refutal ya concerns zote za watu kuhusiana na mkataba hasa swala la ukomo wake.
Tukubali tukatae kwenye bandari udhaifu wa uongozi umetutia shimoni.
Kwanini kulikuwa na uharaka kuupitisha bungeni bila kuwa na proper debate?Naunga mkono hoja
Nimekuelewa sana, mkuu wa nchi kutumia watu aina ya ZEMBWELA au Baba levo kwenye suala kubwa namna hii kumsemea kwa niaba yake, lazima tuwe na shaka nae na hiyo so called taasisi.
Angechutama tu, haiwezekani wenzetu kasaini CEO ila kwetu mkuu wa kaya