Tuelewane: Hakuna mwenye hati miliki ya Yesu Kristo

Tuelewane: Hakuna mwenye hati miliki ya Yesu Kristo

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Baada ya kusikia kuna mdahalo, wengi wanaojiita wakristo hapa jamiiforums wamecharukwa as if mdahalo huo ni offensive.

Kuitwa Christopher, Judith n.k hakukufanyi uwe na umiliki na Yesu kristo.

Kama wale wanaojiita wakristo wanavyoamini, hata muislam nae pia anaimani yake juu ya Kristo kwa mapokeo yake.

Ni jambo la aibu kwa watu wanaojinasibisha kua wasomi kuogopa mdahalo na maneno kibao.

Wengine mnasambaza chuki tu ila hata hamkumbuki mara ya mwisho kufungua bible ni lini, kanisani hamuendi ila linapokuja suala la waislam mnajifanya km ndio Petro mwenyewe.

Acheni hivyo, chukihaifai. Mdahalo si kosa, kibaya ni kukachifu.
 
Kwa mtazamo wako huo, pia hakuna mwenye hatimiliki/hakimiliki ya muhammad, atachorwa vikatuni, atasemwa at the way mtu alivyopokea na waislam wakae kimya wasipandwe na jazba kisa mtume wao anachambuliwa kama karanga kuhusu utumd wake ni wa Mungu au ni abrakadabra tu
 
Kwa mtazamo wako huo, pia hakuna mwenye hatimiliki/hakimiliki ya muhammad, atachorwa vikatuni, atasemwa at the way mtu alivyopokea na waislam wakae kimya wasipandwe na jazba kisa mtume wao anachambuliwa kama karanga kuhusu utumd wake ni wa Mungu au ni abrakadabra tu
Aliye kwambia waisilam wanaenda kumkejeli na kumchambua Yesu ni nani?
 
Baada ya kusikia kuna mdahalo, wengi wanaojiita wakristo hapa jamiiforums wamecharukwa as if mdahalo huo ni offensive.

Kuitwa Christopher, Judith n.k hakukufanyi uwe na umiliki na Yesu kristo.

Kama wale wanaojiita wakristo wanavyoamini, hata muislam nae pia anaimani yake juu ya Kristo kwa mapokeo yake.

Ni jambo la aibu kwa watu wanaojinasibisha kua wasomi kuogopa mdahalo na maneno kibao.

Wengine mnasambaza chuki tu ila hata hamkumbuki mara ya mwisho kudungua bible ni lini, kanisani hamuendi ila linapokuja suala la waislam mnajifanya km ndio Petro mwenyewe.

Acheni hivyo, chukihaifai. Mdahalo si kosa, kibaya ni kukachifu.
Serikali iondoe ZBC2 kwenye kudhamini mambo ya kidini.
 
Walio na akili huitafuta kweli bali wapumbavu huenda mbelw na kuvimba vichwa
Hekima ichukuwe mkondo
 
We ndo kilaza unaeongozwa na chuki, mada inasema “jesus&muhammad” ila kwakua unaungozwa na chuki na huenda hata hukuona tangazo lenyewe, unasema Vs,

Kuna tofauti kati ya vs na and. Wasomi uchwara nyie
sawa, &, huoni kumlinganisha Yesu na mohammad ni vitu viwili tofauti? bora ingekuwa chrstianity & islam ingeeleweka ni ulinganisho wa dini mbili. unamlinganisha masihi na mtu tu kama mwamposa wa kawe, hiyo haiko sawa, tafuteni kigagula wa level ya mohammad mmulinganishe naye
 
Baada ya kusikia kuna mdahalo, wengi wanaojiita wakristo hapa jamiiforums wamecharukwa as if mdahalo huo ni offensive.

Kuitwa Christopher, Judith n.k hakukufanyi uwe na umiliki na Yesu kristo.

Kama wale wanaojiita wakristo wanavyoamini, hata muislam nae pia anaimani yake juu ya Kristo kwa mapokeo yake.

Ni jambo la aibu kwa watu wanaojinasibisha kua wasomi kuogopa mdahalo na maneno kibao.

Wengine mnasambaza chuki tu ila hata hamkumbuki mara ya mwisho kudungua bible ni lini, kanisani hamuendi ila linapokuja suala la waislam mnajifanya km ndio Petro mwenyewe.

Acheni hivyo, chukihaifai. Mdahalo si kosa, kibaya ni kukachifu.
Vipi kutwa hamidu, juma, Hassan kunakufanya kuwa mmiliki wa Muhammad?
 
Baada ya kusikia kuna mdahalo, wengi wanaojiita wakristo hapa jamiiforums wamecharukwa as if mdahalo huo ni offensive.

Kuitwa Christopher, Judith n.k hakukufanyi uwe na umiliki na Yesu kristo.

Kama wale wanaojiita wakristo wanavyoamini, hata muislam nae pia anaimani yake juu ya Kristo kwa mapokeo yake.

Ni jambo la aibu kwa watu wanaojinasibisha kua wasomi kuogopa mdahalo na maneno kibao.

Wengine mnasambaza chuki tu ila hata hamkumbuki mara ya mwisho kudungua bible ni lini, kanisani hamuendi ila linapokuja suala la waislam mnajifanya km ndio Petro mwenyewe.

Acheni hivyo, chukihaifai. Mdahalo si kosa, kibaya ni kukachifu.
We kobazi,ebu tulia uandike vzr kwanza ndio tuendelee.
 
Kuna wapumbavu, hadi waliweka pingamizi mabucha yote yauze nyama zinazochinjwa na watu wa dini fulani,

Leo wanasema hakuna mwenye hati miliki?

Ngozi nyeusi ni shida ujinga mwingi
 
Hatumtaki huyu gaidi Dr Zakir aende kwao india
20241014_035749.jpg
 
sawa, &, huoni kumlinganisha Yesu na mohammad ni vitu viwili tofauti? bora ingekuwa chrstianity & islam ingeeleweka ni ulinganisho wa dini mbili. unamlinganisha masihi na mtu tu kama mwamposa wa kawe, hiyo haiko sawa, tafuteni kigagula wa level ya mohammad mmulinganishe naye
Kwenye Uisilamu huruhusiwi kumsema vibaya mtume yoyote, just fanya research uzi huu huu usiende mbali, umeona comment hata moja ya muisilamu kumsema Yesu? Hakuna je kuna Comment ngapi kumsema mtume na Uisilamu? Karibia nusu ya comment. Huo ndo utofauti Wa uisilamu na Ukristo na pia ndio maana Ukristo kila siku unapungua na kupitwa na Uisilamu, siku hizi mmekaa vijembe na maneno matusi ambayo hakuna Critical thinker yoyote yule ambaye anaweza akakaa aka discuss.
 
Kwenye Uisilamu huruhusiwi kumsema vibaya mtume yoyote, just fanya research uzi huu huu usiende mbali, umeona comment hata moja ya muisilamu kumsema Yesu? Hakuna je kuna Comment ngapi kumsema mtume na Uisilamu? Karibia nusu ya comment. Huo ndo utofauti Wa uisilamu na Ukristo na pia ndio maana Ukristo kila siku unapungua na kupitwa na Uisilamu, siku hizi mmekaa vijembe na maneno matusi ambayo hakuna Critical thinker yoyote yule ambaye anaweza akakaa aka discuss.
Kwenye Ukristo , Muhammad ni tapeli tu kama kina mwamposa ,unataka wakristo wamseme vzr iweje wakati ni mpotoshaji tu
 
Back
Top Bottom