Tuelewane: Hakuna mwenye hati miliki ya Yesu Kristo

Tuelewane: Hakuna mwenye hati miliki ya Yesu Kristo

Baada ya kusikia kuna mdahalo, wengi wanaojiita wakristo hapa jamiiforums wamecharukwa as if mdahalo huo ni offensive.

Kuitwa Christopher, Judith n.k hakukufanyi uwe na umiliki na Yesu kristo.

Kama wale wanaojiita wakristo wanavyoamini, hata muislam nae pia anaimani yake juu ya Kristo kwa mapokeo yake.

Ni jambo la aibu kwa watu wanaojinasibisha kua wasomi kuogopa mdahalo na maneno kibao.

Wengine mnasambaza chuki tu ila hata hamkumbuki mara ya mwisho kufungua bible ni lini, kanisani hamuendi ila linapokuja suala la waislam mnajifanya km ndio Petro mwenyewe.

Acheni hivyo, chukihaifai. Mdahalo si kosa, kibaya ni kukachifu.
Siku ukija mdahalo wa kueleza uzushi wa mtume wenu msing'ake. Kumbuka kuna msomi mmoja aliwauliza swali "ni mafundisho au kitu gani alichokifundisha mudi ambacho halikuwepo kabla yake?" Muliandamana na kufanya uharibifu mkubwa..
 
Ww huyo Yesu na Isa ulisha wahi kuwaona mpaka useme walikuwa tofauti?
Ndo maana mnaogopa midaharo kwa sababu mnajijua vichwani mwenu kumejaa makamasi.
Mdahalo gani tuwaogope? Huo mnaofanya si mnajitekenya wenyewe
 
Anaye jua kila kitu ni Mungu pekee mtume alikuwa binadamu kama ww hata Yesu unaye muita Mungu alikuwa mwanadamu kama ww.
YESU ni Alfa na Omega alivaa ubinadamu, na Sasa yupo mbinguni ,mudy ameliwa na mchwa

Usimfananishe Yesu na mudy asiyejua atafanywa nini siku ya hukumu na aliowadanganya
 
Kwa mujibu wa uisilam Isa hakufa bali alipaa na kwenda mbinguni uwe unaongelea mambo ambayo una elimu nayo.
Mudy ni tapeli hajui atakachofanywa yeye na wanaomfata
 
Anaye jua kila kitu ni Mungu pekee mtume alikuwa binadamu kama ww hata Yesu unaye muita Mungu alikuwa mwanadamu kama ww.
YESU ni Alfa na Omega mwanzo na mwisho

Mudy alikuwa mdhambi ndio maana anasisitiza aswaliwe
Muhammad pamoja na watu wake waliteka nyara misafara ya wafanya biashara na wasafiri mbalimbali. Bukhari juzuu ya 3 kitabu cha 37 sura ya 8 na.495 uk.280 inasema "wakati Allah alipomfanya mtume kuwa tajiri kutokanana na ushindi" 1/5 ya mateka ya vita iliwekwa katika hazina na Sahih Muslim juzuu ya 2 kitabu cha 5 sura ya 401 na.2348 uk.519 inasema familia ya Muhammad ilikuwa na hisa ndani yake. Utekaji nyara wa mali za watu wa kwanza kufanywa na Waislam ulijulikana kama Nakha la Raid. Wakati wa mwezi wa kusimamisha vita kwa muda, wafuasi wake waliushambulia msafara kwa kuuvamia na kuua mtu mmoja, na kuwafanya watu waliosalia kuwa watumwa, na kuchukua nyara. Muhammad mwenyewe aliongoza uvamizi wa pili pale Badr. Muhammad aliongeza utajiri wake kwa kuyashambulia makazi ya Wayahudi ya Khaibr. Yeye na wafuasi waliokuwa waaminifu kwake walijitwalia nyara na wake (Je Muhammad alihitaji mke mwingine?) wa Wayahudi wanaume 700-1000 wa kabila la Banu Quraiza waliowakata vichwa baada ya kujisalimisha.
 
Katika kitabu kitakatifu cha waislam Quran kimemzungumzia nabii mmoja anaeitwa Issa,,,na maelezo ya nabii huyu yanafanana sana na Yesu aliyetajwa katika biblia...

Hivyo basi kama Yesu ametajwa katika Quran,,,waislama wanayo haki ya kufanya mdahalo juu ya hawa manabii wawili ilimradi wasizungumze chochote kumhusu Yesu kwa kutumia Biblia.
Wana Sifa tofauti kabisa ,Isa ni tapeli tu ,huwezi kutumia jina la Isa kukemea hata pepo likatoka

Wakristo wananielewa ninachosema
 
Hawaendi kuwashindanisha bali watafanya muhadhara unao ongelea mafundisho ya manabii hao kwa mujibu wa maandiko ya Qruan.
Quran Haina Yesu Ina tapeli issa

Nimetendewa miujiza mingi kwa jina la Yesu ,

Huyo issa hilo jina halina nguvu sababu ni tapeli wa Quran

Mnajua kabisa mkidili na huyo Issa hamtapata kiki ,hivo mnajinasibisha kwa Yesu kumsingizia ni issa ili mpate attention
 
YESU ni Alfa na Omega mwanzo na mwisho

Mudy alikuwa mdhambi ndio maana anasisitiza aswaliwe
Muhammad pamoja na watu wake waliteka nyara misafara ya wafanya biashara na wasafiri mbalimbali. Bukhari juzuu ya 3 kitabu cha 37 sura ya 8 na.495 uk.280 inasema "wakati Allah alipomfanya mtume kuwa tajiri kutokanana na ushindi" 1/5 ya mateka ya vita iliwekwa katika hazina na Sahih Muslim juzuu ya 2 kitabu cha 5 sura ya 401 na.2348 uk.519 inasema familia ya Muhammad ilikuwa na hisa ndani yake. Utekaji nyara wa mali za watu wa kwanza kufanywa na Waislam ulijulikana kama Nakha la Raid. Wakati wa mwezi wa kusimamisha vita kwa muda, wafuasi wake waliushambulia msafara kwa kuuvamia na kuua mtu mmoja, na kuwafanya watu waliosalia kuwa watumwa, na kuchukua nyara. Muhammad mwenyewe aliongoza uvamizi wa pili pale Badr. Muhammad aliongeza utajiri wake kwa kuyashambulia makazi ya Wayahudi ya Khaibr. Yeye na wafuasi waliokuwa waaminifu kwake walijitwalia nyara na wake (Je Muhammad alihitaji mke mwingine?) wa Wayahudi wanaume 700-1000 wa kabila la Banu Quraiza waliowakata vichwa baada ya kujisalimisha.
Bila shaka mimba yako ilipatikania kwenye madanguro ya makahaba maana una mdomo mchafu kama unakulaga mavi.
 
Quran Haina Yesu Ina tapeli issa

Nimetendewa miujiza mingi kwa jina la Yesu ,

Huyo issa hilo jina halina nguvu sababu ni tapeli wa Quran

Mnajua kabisa mkidili na huyo Issa hamtapata kiki ,hivo mnajinasibisha kwa Yesu kumsingizia ni issa ili mpate attention
Yesu awe Isa au asiwe Isa ila nyinyi mnao jiita wakristo hawatambui.
Nyinyi mtume wenu ni Paulo Yesu hawatambui.
 
unajua maana ya Vs?
Mada ya Mdahalo inasema
JESUS VS MUHAMMAD
Hii ni mada ambayo haitakuwa salama kwa pande zote mbili. VERSUS Maana yake AGAINST
AGAINST maana yake DHIDI YA....
Sasa kama MADA ni JESUS AGAINST MUHAMMAD
Maana yake tutaona au kusikia maneno ambayo itakuwa ni ya YESU DHIDI YA MUHAMMAD. Je hapo kutakuwa kuna usalama?

Naishangaa Serikali yangu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Imekuwa ikizuia mkutano ya Vyama vya Upinzani na sababu moja wapo wakisema KUNA VIASHIRIA VYA UVUNJIFU WA AMANI. Kwanini Mdahalo huu wa JESUS VS MUHAMMAD hawaoni via sheria hivi vya uvunjifu wa amani ambavyo ni dhahiri kabisa. Au mumesha wawezesha mapanga? Kifupi sisi Wakristo hatupendi kuingia kwenye vita ya kidini. Hii video japo haijakashifu lakini mtanitukana tu.

Asante sana.
 

Attachments

  • VID-20241223-WA0027.mp4
    10.5 MB
Wana Sifa tofauti kabisa ,Isa ni tapeli tu ,huwezi kutumia jina la Isa kukemea hata pepo likatoka

Wakristo wananielewa ninachosema
Kuna jambo moja unapaswa kulielewa hata kama hautalikubali....Mtoto aliyezaliwa na Mariam aliitwa Yeshua hilo ndio jina lake halisi na amekua akiitwa kwa majina tofauti kulingana na mila na tamaduni za sehemu tofauti bila kupotosha maana ya jina lake la kiebrania,,, maana ya Yeshua kwa kiebrania ni mwokozi na kwa lugha ya kiarabu Issa ina maana hiyohiyo.
Kwahiyo Issa ndio huyohuyo Yesu ila kwenye Biblia imemuelezea zaidi maisha yake kuliko kwenye Quran, na Wakristo wengi wanaamini huyo ni Mungu,,,waislam na wayahudi wanamtambua kama mtume wa Mungu na sio Mungu mwenyewe.

Sasa kama wayahudi wenzake wamemkana kwamba sio Mungu,,,kuna ajabu gani waislam wakimtambua kama nabii na sio Mungu mwenyewe?
 
Kuna jambo moja unapaswa kulielewa hata kama hautalikubali....Mtoto aliyezaliwa na Mariam aliitwa Yeshua hilo ndio jina lake halisi na amekua akiitwa kwa majina tofauti kulingana na mila na tamaduni za sehemu tofauti bila kupotosha maana ya jina lake la kiebrania,,, maana ya Yeshua kwa kiebrania ni mwokozi na kwa lugha ya kiarabu Issa ina maana hiyohiyo.
Kwahiyo Issa ndio huyohuyo Yesu ila kwenye Biblia imemuelezea zaidi maisha yake kuliko kwenye Quran, na Wakristo wengi wanaamini huyo ni Mungu,,,waislam na wayahudi wanamtambua kama mtume wa Mungu na sio Mungu mwenyewe.

Sasa kama wayahudi wenzake wamemkana kwamba sio Mungu,,,kuna ajabu gani waislam wakimtambua kama nabii na sio Mungu mwenyewe?
Acha uzushi ,

Issa kwa kiarabu sio Yesu

Neno issa kwa kiarabu ni wekundu

YESU kwa kiarabu ni Yasu

Kwahiyo Issa sio Yesu picha linaanza kwenye majina
 
Yesu awe Isa au asiwe Isa ila nyinyi mnao jiita wakristo hawatambui.
Nyinyi mtume wenu ni Paulo Yesu hawatambui.
YESU ni Mungu ,Yesu ni kristo na wafuasi wake ni wakristo ,kalilie chooni na huyo issa
 
Baada ya kusikia kuna mdahalo, wengi wanaojiita wakristo hapa jamiiforums wamecharukwa as if mdahalo huo ni offensive.

Kuitwa Christopher, Judith n.k hakukufanyi uwe na umiliki na Yesu kristo.

Kama wale wanaojiita wakristo wanavyoamini, hata muislam nae pia anaimani yake juu ya Kristo kwa mapokeo yake.

Ni jambo la aibu kwa watu wanaojinasibisha kua wasomi kuogopa mdahalo na maneno kibao.

Wengine mnasambaza chuki tu ila hata hamkumbuki mara ya mwisho kufungua bible ni lini, kanisani hamuendi ila linapokuja suala la waislam mnajifanya km ndio Petro mwenyewe.

Acheni hivyo, chukihaifai. Mdahalo si kosa, kibaya ni kukachifu.
Wakristu Wana hati miliki na Yesu Kristu Mwana wa Mungu na Mungu kweli katika holy Trinity. Huyo ISSA wenu aliyezaliwa chini ya mtende ndiye wa kwenu Wala msimchanganye
 
Bila shaka mimba yako ilipatikania kwenye madanguro ya makahaba maana una mdomo mchafu kama unakulaga mavi.
Toka kwa Muhammad huko hana msaada wowote ,alikuwa mdhambi na hajui atakachofanywa yeye na wanaomfata

Soma Bukhari juzuu ya 1.4.70 na.234 uk.148; Bukhari juzuu ya 8.82.1 na.794-795 uk.520 Muhammad alikuwa na dhambi za kukata watu mikono na miguu, kuchoma macho yao, na kuwanyima maji hadi kufa baada ya kukatwa miguu na mikono.

Angalia Bukhari juzuu ya 8.82.3 na.796 sura ya 4 uk.797; Bukhari juzuu ya 6 sura ya 150 kabla ya na.198 uk.158-159 pia Fiqh us-Sunnah juzuu ya 1 uk.133.

Bila shaka utakubali kwamba hizi ni dhambi nzito sana. Kwa vile Muhammad alifanya hivi, alihitaji sana msamaha.

Swali la kidadisi ni hili: "Ni nani hasa anayelipa gharama ya dhambi zako?" Yesu alisema alilipa fidia ya dhambi zetu. Uislamu haufundishi kuwa kuna mtu yeyote aliyelipa gharama. Je, dhambi zako zinalipwaje, au Allah anazifumbia macho baadhi ya dhambi na kuadhibu nyingine??
 
Baada ya kusikia kuna mdahalo, wengi wanaojiita wakristo hapa jamiiforums wamecharukwa as if mdahalo huo ni offensive.

Kuitwa Christopher, Judith n.k hakukufanyi uwe na umiliki na Yesu kristo.

Kama wale wanaojiita wakristo wanavyoamini, hata muislam nae pia anaimani yake juu ya Kristo kwa mapokeo yake.

Ni jambo la aibu kwa watu wanaojinasibisha kua wasomi kuogopa mdahalo na maneno kibao.

Wengine mnasambaza chuki tu ila hata hamkumbuki mara ya mwisho kufungua bible ni lini, kanisani hamuendi ila linapokuja suala la waislam mnajifanya km ndio Petro mwenyewe.

Acheni hivyo, chukihaifai. Mdahalo si kosa, kibaya ni kukachifu.
Shida ni kujua objective ya
Baada ya kusikia kuna mdahalo, wengi wanaojiita wakristo hapa jamiiforums wamecharukwa as if mdahalo huo ni offensive.

Kuitwa Christopher, Judith n.k hakukufanyi uwe na umiliki na Yesu kristo.

Kama wale wanaojiita wakristo wanavyoamini, hata muislam nae pia anaimani yake juu ya Kristo kwa mapokeo yake.

Ni jambo la aibu kwa watu wanaojinasibisha kua wasomi kuogopa mdahalo na maneno kibao.

Wengine mnasambaza chuki tu ila hata hamkumbuki mara ya mwisho kufungua bible ni lini, kanisani hamuendi ila linapokuja suala la waislam mnajifanya km ndio Petro mwenyewe.

Acheni hivyo, chukihaifai. Mdahalo si kosa, kibaya ni kukachifu.
Shida ni kujua objective ya mdahalo huu.Pili je waumini watakuwa tayari kuyapokea majadiliano kutoka upande mmoja kuelekea mwingine kwa utulivu? Maana Mungu hachezewi na Mungu hana dini; sasa hii ya nini?
 
Kuna jambo moja unapaswa kulielewa hata kama hautalikubali....Mtoto aliyezaliwa na Mariam aliitwa Yeshua hilo ndio jina lake halisi na amekua akiitwa kwa majina tofauti kulingana na mila na tamaduni za sehemu tofauti bila kupotosha maana ya jina lake la kiebrania,,, maana ya Yeshua kwa kiebrania ni mwokozi na kwa lugha ya kiarabu Issa ina maana hiyohiyo.
Kwahiyo Issa ndio huyohuyo Yesu ila kwenye Biblia imemuelezea zaidi maisha yake kuliko kwenye Quran, na Wakristo wengi wanaamini huyo ni Mungu,,,waislam na wayahudi wanamtambua kama mtume wa Mungu na sio Mungu mwenyewe.

Sasa kama wayahudi wenzake wamemkana kwamba sio Mungu,,,kuna ajabu gani waislam wakimtambua kama nabii na sio Mungu mwenyewe?
KATAFUTE WAISLAMU WENZAKO MISIKITINI MDANGANYANE ,AU WASIO NA ELIMU ,TUNAPOSEMA ISA NI TAPELI TUNAMAANISHA ,TUNAPOSEMA ISA SIO YESU TUNAMAANISHA

JINA LA ISA MAANA YAKE NINI? Ngoja tukupe ilimu

Katika Qurani yenye jumla ya juzuu 30; Surah 114; aya 6236; maneno yenye kutamkia 76,440; herufi 322,373; jina Isa linatamkwa lisa au Aysi limetajwa mara 25. Isa pia ameitwa masihi mara 93. Lakini tunaposoma Qurani iliofarsiriwa/tafsiriwa na Imam Baidawi Vol 1 Ukurasa 160 ameeleza kuwa Isa jina la Kiarabu maana yake ni Wekundu unaozidiana na weupe "ZERUZERU". Hii ndio maana ya Jina la Isa wa Quran. Je, Yesu wa Biblia maana yake nini?



JINA Yesu linatokana na lugha ya Kiebrania ‘Yehoshua’ katika lugha ya Kigiriki wanasema ‘lesous’ inatamka ‘Yesous’ yaani Yesu. Katika lugha ya Kiarabu wanasema ‘Yasu’, kwa kiingereza ni “Jesus” maana yake ‘Bwana anaokoa au Bwana ni Mwokozi’ Isaya 43:6, 10-11.
Katika Biblia ambayo ina jumla ya Sura 1189; aya 31,102; vitabu 66 – Agano la kale vitabu 39 na agano Jipya vitabu 27; Neno Mwokozi kwa Kiingereza wanasema ‘Saviour’ limetajwa mara 55. Ikumbukwe kwamba katika agano jiypa jina Yesu au Yehoshua (kwa Kiebrania) limetajwa mara 1275 katika aya zipatazo 1226.
Zingatia pia kuwa agano jipya lina jumla ya aya 7930 na Sura 260 hivyo hapa tunaona jina Yesu maana yake ni Mwokozi na jina Isa ni wekundu uliozidiana na weupe. Kwa kuwa maana ya haya majina tofauti bila shaka Isa sio Bwana Yesu.
 
Hapo kwenye kichwa cha mada, ongezea, ''Pia hakuna mwemye hati miliki la Jina Muhamadi s.w.a''
 
Back
Top Bottom