Tuelewane: Hakuna mwenye hati miliki ya Yesu Kristo

Tuelewane: Hakuna mwenye hati miliki ya Yesu Kristo

Kwenye Ukristo , Muhammad ni tapeli tu kama kina mwamposa ,unataka wakristo wamseme vzr iweje wakati ni mpotoshaji tu
Ni haki yako kuamini hivyo maana hata waisilam wanamuona mtume wenu paulo kama tapeli aliye kuja kuanzisha ukristo na kupotosha mafundisho Yesu mnao dai kumfuata.

Yesu hajui dini inayo itwa ukristo na wala hakuwahi kuanzisha dini inayo itwa ukristo, ukristo ulikuja kuhasisiwa na Paulo sasa nawashangaa mnavyo jipendekeza kwa Yesu.
Paulo ndo alikuja kuwaambia kuwa Yesu ni Mungu hali ya kuwa Yesu hajawahi kusema yeye n Mungu.
Paulo ndo alikuja kuanzisha utatu mtakatifu Yesu hajui na wala hajawahi kuhubili kitu kinacho itwa utatu mtakatifu.
Nyie endelei kufuata mafundisho potofu ya Paulo Yesu atawakataa siku ya mwisho hamtaamini.
 
Mwenye hati miliki na Yesu ni wafuasi wake yaani wakristo.Ee YESU waonyeshe iliyo kweli wanaopotea kwa imani za giza. Wanao eneza chuki pia uwasamehe kwani wamepotea kwa hizo imani zao na hawajui wanalofanya. Mapepo wanayo fuga yamenyonya uelewa wao uwasamehe na uwape ufahamu.
ingekua unaakili usingeopa mdaaro, subiri usikie hoja acha maneno maneno
 
Baada ya kusikia kuna mdahalo, wengi wanaojiita wakristo hapa jamiiforums wamecharukwa as if mdahalo huo ni offensive.

Kuitwa Christopher, Judith n.k hakukufanyi uwe na umiliki na Yesu kristo.

Kama wale wanaojiita wakristo wanavyoamini, hata muislam nae pia anaimani yake juu ya Kristo kwa mapokeo yake.

Ni jambo la aibu kwa watu wanaojinasibisha kua wasomi kuogopa mdahalo na maneno kibao.

Wengine mnasambaza chuki tu ila hata hamkumbuki mara ya mwisho kufungua bible ni lini, kanisani hamuendi ila linapokuja suala la waislam mnajifanya km ndio Petro mwenyewe.

Acheni hivyo, chukihaifai. Mdahalo si kosa, kibaya ni kukachifu.
Waislamu hawamuamini Kristo wewe acha porojo wewe

Wao wanamuamini Nabiii Issa huyo ndio wao .Na wana hatimiliki naye .

Kristo ni wetu sisi wakristo aliyezak8wa ,kufa na kufufuka huyo kwao nabii Issa alizak8wa ,akafa na hakufufuka aliozea kaburini huyo ndio wao wakiye na hatimiliki naye huyo marehemu Nabii Issa.Wa kwetu Kristo yuko hai sio marehemu sababu alifufuka .Huyo Kristo mfufuka sisi wakristo tuna hati miliki naye wao waendelee naye huyo Marehrmu issa bin Mariam
 
Waislamu hawamuamini Kristo wewe achs porojo wewe

Wao wanamuamini Nabiii Issa huyo ndio wao .Na wana hatimiliki naye .

Kristo ni wetu sisi wakristo aliyezak8wa ,kufa na kufufuka huyo kwao nabii Issa alizak8wa ,akafa na hakufufuka aliozea kaburini huyo ndio wao wakiye na hatimiliki naye huyo marehemu Nabii Issa.Wa kwetu Kristo yuko hai sio marehemu sababu alifufuka .Huyo Kristo mfufuka sisi wakristo tuna hati miliki naye wao waendelee naye huyo Marehrmu issa bin Mariam
Jambo usilolijua ni kua hata waislam wanamsubiri Yesu Kristo, sema kwakua huna elimu yoyote zaidi ya chuki. baki na ujinga wako.
 
Jambo usilolijua ni kua hata waislam wanamsubiri Yesu Kristo, sema kwakua huna elimu yoyote zaidi ya chuki. baki na ujinga wako.
Wanasubiri Yesu Kristo wapi wewe ? Wakati Ukristo wenyewe hawaamini ndio wamuamini Kristo?

Mtu wao wa kwao anaitwa Issa bin Mariam ambaye mama yake ni dada yake na Musa na ambaye alizaliwa chini ya mtende.na akafa hakufufuka

Huyo wakristo wala hatuhusu. Huko kwenye midahahalo yao anayewahusu ni huyo Issa bin Mariam sio Yesu Kristo
 
Ni haki yako kuamini hivyo maana hata waisilam wanamuona mtume wenu paulo kama tapeli aliye kuja kuanzisha ukristo na kupotosha mafundisho Yesu mnao dai kumfuata.

Yesu hajui dini inayo itwa ukristo na wala hakuwahi kuanzisha dini inayo itwa ukristo, ukristo ulikuja kuhasisiwa na Paulo sasa nawashangaa mnavyo jipendekeza kwa Yesu.
Paulo ndo alikuja kuwaambia kuwa Yesu ni Mungu hali ya kuwa Yesu hajawahi kusema yeye n Mungu.
Paulo ndo alikuja kuanzisha utatu mtakatifu Yesu hajui na wala hajawahi kuhubili kitu kinacho itwa utatu mtakatifu.
Nyie endelei kufuata mafundisho potofu ya Paulo Yesu atawakataa siku ya mwisho hamtaamini.
Haiondoi ukweli , Muhammad ni tapeli ndio maana wakristo huwezi kukuta wanahangaika nae au kujipendekeza
 
Mdahalo lengo lake mwisho Nini? Acha upumbavu wewe. Dini isiyoweza kusimama yenyewe bila kujilinganisha na ukristo ni batili. Stupid.
Baada ya kusikia kuna mdahalo, wengi wanaojiita wakristo hapa jamiiforums wamecharukwa as if mdahalo huo ni offensive.

Kuitwa Christopher, Judith n.k hakukufanyi uwe na umiliki na Yesu kristo.

Kama wale wanaojiita wakristo wanavyoamini, hata muislam nae pia anaimani yake juu ya Kristo kwa mapokeo yake.

Ni jambo la aibu kwa watu wanaojinasibisha kua wasomi kuogopa mdahalo na maneno kibao.

Wengine mnasambaza chuki tu ila hata hamkumbuki mara ya mwisho kufungua bible ni lini, kanisani hamuendi ila linapokuja suala la waislam mnajifanya km ndio Petro mwenyewe.

Acheni hivyo, chukihaifai. Mdahalo si kosa, kibaya ni kukachifu.
 
Kwanini waandike Jesus and muhamad na sio Issa na muhamad?
Wanatafuta kick mtu wao ni Issa bin Maryamu matapeli wakubwa hao

Wameona Issa hana mvuto sababu ni marehemu aliyekufa na kuzikwa akaoza kaburini hakufufuka

Yesu hawahusu kabisa Yesu na Issa ni watu wawili tofauti Wa kwao ni Issa

Walitakiwa mdahaho wasene Issa and Mohamed

Wanadhani sisi watanzania wajinga kama wao kisa wanemleta mtu mweupe mwemye kibaraghashia kichwani kuwa tutababaika na kumuona wa mana kwa rangi yake na hicho kibaraghashia chake
 
Baada ya kusikia kuna mdahalo, wengi wanaojiita wakristo hapa jamiiforums wamecharukwa as if mdahalo huo ni offensive.

Kuitwa Christopher, Judith n.k hakukufanyi uwe na umiliki na Yesu kristo.

Kama wale wanaojiita wakristo wanavyoamini, hata muislam nae pia anaimani yake juu ya Kristo kwa mapokeo yake.

Ni jambo la aibu kwa watu wanaojinasibisha kua wasomi kuogopa mdahalo na maneno kibao.

Wengine mnasambaza chuki tu ila hata hamkumbuki mara ya mwisho kufungua bible ni lini, kanisani hamuendi ila linapokuja suala la waislam mnajifanya km ndio Petro mwenyewe.

Acheni hivyo, chukihaifai. Mdahalo si kosa, kibaya ni kukachifu.
Hata Mbunge wa Kawe hana?
 
Haiondoi ukweli , Muhammad ni tapeli ndio maana wakristo huwezi kukuta wanahangaika nae au kujipendekeza
Hata huyo Muhammad ahitaji mjipendekeze kwake maana hamna mnacho msaidia.
Ila na nyinyi acheni kujipendekeza kwa Yesu maana hawajui.
 
Wanatafuta kick mtu wao ni Issa bin Maryamu matapeli wakubwa hao

Wameona Issa hana mvuto sababu ni marehemu aliyekufa na kuzikwa akaoza kaburini hakufufuka

Yesu hawahusu kabisa Yesu na Issa ni watu wawili tofauti Wa kwao ni Issa

Walitakiwa mdahaho wasene Issa and Mohamed

Wanadhani sisi watanzania wajinga kama wao kisa wanemleta mtu mweupe mwemye kibaraghashia kichwani kuwa tutababaika na kumuona wa mana kwa rangi yake na hicho kibaraghashia chake
Kwa mujibu wa uisilam Isa hakufa bali alipaa na kwenda mbinguni uwe unaongelea mambo ambayo una elimu nayo.
 
Kwa mujibu wa uisilam Isa hakufa bali alipaa na kwenda mbinguni uwe unaongelea mambo ambayo una elimu nayo.
Huyo Issa wao ndio wahangaike naye ndie anawahusu

Yesu Kristo wetu watuachie wenyewe

Wetu alikufa akazikwa na akafufuka na akapaa

Hatuna Yesu ambaye hakufa akapaa huyo ni wao huyo Issa wao huyo ndie wahangaike naye

Yesu wetu wanuache wahangaike na Issa wao
 
Huyo Issa wao ndio wahangaike naye ndie anawahusu

Yesu Kristo wetu watuachie wenyewe

Wetu alikufa akazikwa na akafufuka na akapaa

Hatuna Yesu ambaye hakufa akapaa huyo ni wao huyo Issa wao huyo ndie wahangaike naye

Yesu wetu wanuache wahangaike na Issa wao
Yesu wenu hali yakuwa hawajui?

Mtume mnao takiwa kijimilikisha ni Paulo maana ndo aliye anzisha ukristo Yesu hajawahi kuanzisha dini inayo itwa ukristo na wala haijui.
 
Hata huyo Muhammad ahitaji mjipendekeze kwake maana hamna mnacho msaidia.
Ila na nyinyi acheni kujipendekeza kwa Yesu maana hawajui.
YESU sio Issa

Msimpakazie Yesu jina fake la issa

Bakini na Issa wenu
 
Hata huyo Muhammad ahitaji mjipendekeze kwake maana hamna mnacho msaidia.
Ila na nyinyi acheni kujipendekeza kwa Yesu maana hawajui.
Muhamadi anakiri hajui atakachofanywa siku ya kiama wala mtakachofanywa wafuasi wake
 
Muhamadi anakiri hajui atakachofanywa siku ya kiama wala mtakachofanywa wafuasi wake
Anaye jua kila kitu ni Mungu pekee mtume alikuwa binadamu kama ww hata Yesu unaye muita Mungu alikuwa mwanadamu kama ww.
 
YESU sio Issa

Msimpakazie Yesu jina fake la issa

Bakini na Issa wenu
Ww huyo Yesu na Isa ulisha wahi kuwaona mpaka useme walikuwa tofauti?
Ndo maana mnaogopa midaharo kwa sababu mnajijua vichwani mwenu kumejaa makamasi.
 
Back
Top Bottom