Tuelewane: Hakuna mwenye hati miliki ya Yesu Kristo

Yesu wenu hali yakuwa hawajui?

Mtume mnao takiwa kijimilikisha ni Paulo maana ndo aliye anzisha ukristo Yesu hajawahi kuanzisha dini inayo itwa ukristo na wala haijui.
Hakuna kwenye Biblia hakuna nabii Issa huyo wenu msituchomekee wakiristo huyo nabii wenu tapeli nabii Issa bin Mariam mzaliwa chini ya mtende mhangaike naye wenyewe sisi wakristo hatumtambui kama Yesu kwetu wakristo Issa Bin Mariam ni pepo shetani kubwa lililozaliwa chini ya mtende na hatultambui kama lenyewe ni Yesu sisi wakristo
Shetani lenu na pepo liitwalo Issa bin Mariam bakini nalo huko huko misikitini kwenu wakristo hatulitambui hilo shetani na pepo
 
Waislamu wakae mbali na wakristo wa Tatunajielewa kama huyo mhubiri anafikiri aweza danganya wakristo wa Tanzania kakosea

Hilo shetani lake linaiitwa Issa Bin Mariam sio Yesu Kristio ni shetani la kiislamu halina uhusiano na Yesu Kristo ni watu wawili tofauti

Akatapeli nchi zingine sio Tanzania
 
Kwanini waandike Jesus and muhamad na sio Issa na muhamad?
Jina la yesu huwa linabadirika kutokana na lugha inayotumika Lakin Muhammad Ni vile vile lugha zote: zakir anatumia English thus why Jesus
 
Jina la yesu huwa linabadirika kutokana na lugha inayotumika Lakin Muhammad Ni vile vile lugha zote: zakir anatumia English thus why Jesus
Mmmmm acha hizo shetani lenu Issa bin Mariam sio Yesu Kristo

Hilo Li Issa bin Mariam halikuteswa ,likafa na kuzikwa na kufufuka

Hilo ni shetani lenu waislamu

Yesu wa wakristo aliteswa,kufa na kuzikwa na kufufuka

Issa bin Mariam wa kwenu waislamu sio Yesu Kristo wa wakristo na hawana uhusiano kabisa

Waislamu wa kwenu ni shetani Issa Bin Mariam wakristo wa kwetu ni Yesu Kristo aliyeteswa kusulubiwa kuuawa,kuzikwa na siku ya tatu akaffufuka Huyo wenu Waislamu Issa Bin Mariam hakupitia hizo process sio wetu wakristo ni wa kwenu wenyewe na hatumtambui kama yeye ni Yesu Kristo

Huyo wenu wenyewe waislamu hatuhusu wakristo na hatumtambui kabisa huyo Issa bin Mariam wenu kama Yesu
 
Inaionyesha unampenda Kristo...unaruhusiwa kumiliki bila shaka
 
Yesu awe ndo Isa au asiwe Isa lakini ukweli ni kuwa hata nyinyi wakristo Yesu hawatambui maana mpaka ana kufa hakuacha dini inayo itwa ukristo na wala hakutabili kuwa huko mbele kutakuwepo wafuasi wangu wanao itwa wakristo.

Ukristo ulianzisha na Paulo na akaleta agano jipya lenye maandiko yanayo mtukuza Paulo na kumzushia Yesu maneno ya uongo eti ni Mungu.
Nyinyi komaeni na paulo wenu Yesu hawajui mnajipendekeza.
Nambaya zaidi mna jiita wafuasi wa Yesu lakini hakuna agizo lolote la Yesu mnalo lifuata bali mnafuata mafunzo ya paulo.
 
Wewe huko madrasa walikulisha ujinga kwamba Ukristo ulianzishwa na Paulo,
Hii inathibitisha nyie ni ngumbaru wa head,
Neno Wakristo lilianzishwa huko Antioch kipindi wafuasi wa Yesu Kristo wanahubiri injili hilo Jina hawakupewa na Paulo bali na wakazi wa eneo husika yaani antiokia ,
Pia kuna kundi la wa Kristo wa Kush ambao hao wao walipokea Ukristo mapema sana kipindi cha Queen Kandake hao Wakush ndio leo ni wa Ethiopian Orthodox kule Lalibela walijenga makanisa kwenye miamba hao hawakupelekewa injili na Paulo wala Wazungu soma historical events upate maarifa acha kukariri ujinga uliolishwa na Wajinga utachekesha wenye akili zao humu!
😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…