Kama weight squat ni ile ya kuchuchumaa na kuinuka,basi nimefanya sana ndugu yangu yani lakini hakuna matokeo mazuri..Mkuu pole sna,best way ni mazoez na usizidishe kiwango pia utachoka sana au siku unagame ndo unaenda Fanya mazoez utatia aibu
Nguvu za kiume hua zinaanzia miguuni na mapajani kwa uzoefu wangu m nlipata tatzo kama lako na sio kila zoez Fanya haya ma3 at least marambili kwa week gym
1.weight squat(barbell)
2.front squat...
Ndugu mimi hadi hapa nilipofika hata debe sita zimefika za karanga, maparachichi,matikiti,korosho zote holaa kwakweli napata wakati mgumu sana..Mkuu binfasi mimi nimekaribia kumaliza gunia la karanga mbichi, ila sijawah pata uafueni wowote
Hospitali bado, nimekua nikifuata ushauri tu wa mitaani. Ila nahitaji kwenda kwa wazee niwaeleze ukweli naweza kupata msaada kabla kufika huko..Mkuu nataka nkaonane na madaktar specialist wa wanaume...ww vp ushawahi kwenda hospital juu ya hilo tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Faida ya vumbi la Congo: utapiga papuchi muda mrefu sana (saa 1 hadi masaa ma 3 bila wareno kutoka).
Hasara: Hautafurahia kunyandua, utamfurahisha pisi kama anapenda mwendo mrefu.
MENGINEYO
Ukizoea sana vumbi la congo, akili na hisia vitakua tegemezi zaidi kutumia vumbi ndiyo ukapige mechi, ukishtukizwa na huna vumbi unaweza kukataa mechi...
Ni gharama kiasi gani hiyo MSAMITU!!Tafuta Msamitu, duka la dawa asili hasa haya ya dawa za kisuna.
Nenda kachanganye na mafuta ya mgando, uwe unamasaji dushe kila siku usiku.
Masaji kwa siku 5 bila kunyanduana, siku ya 6 anza kunyanduana (mabadiliko utayaona)....
Nataka nijue tu kwanza ni wapi inauzwa hii kitu yaani mahali ambapo naweza kuipata mwenye kujua tafadhali nijuze
Bwana Misitu wasiokua katika hali kama yako hawawezi lifahamu hilo tatizo. Binafsi nakaribia kuinua mikono nimeshindwa kubadilisha hali yangu, macho yangu yote yamebakia huko huko kwenye vumbi la kongo ila hofu yangu ni kama yako madhara yake bado sijayaelewa.
Bj ndo nini mkuu?Nimetumia vumbi mara ya kwanza mwaka huu. Nilitoka zangu ghetto jamaa akanipa niimalizie baada ya kujua naenda kukutana na manzi. Nikatumia lakini sikuambulia utamu wowote wala sikumwaga, nikajilaumu tu.
Niliporudi nikamwambia akadai nimekosea, nikapewa siku nyingine nikatumie kule nikakutana na dada mmoja anayajua kinoma...
Hii inapatikana wapi na gharama yake ikoje sheikh naomba unisaidie ndugu..Uume unakufa ganzi hapo ndo tatizo.
Mwisho wa siku ni maumivu ya misuli.
Binafsi natumia black cobra.
Hii ngoma acha kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona mke anadai talaka, kishapata pa kwendaMimi mzunguuko mmoja sifikishi hata dakika 3 na nipo vizuri sina kitambi wala chochote, nimefuata taratibu zote mazoezi vyakula na mambo kibao yan tips karibia zote..
Ila dahh show mbovu kila kukicha karibu mke anadai talaka yan sielewi kwakwel
Wewe huna tatizo lolote...tatizo lipo akilini kwakoHospitali bado, nimekua nikifuata ushauri tu wa mitaani. Ila nahitaji kwenda kwa wazee niwaeleze ukweli naweza kupata msaada kabla kufika huko..
Maana mimi nasimamisha vizuri tu na naweza kumuandaa mke wangu hata masaa mawili mashine inasimama tu..
Ila sasa nikiingiza tu dahh hapo sijui kinatokea nini yani dakika 3 nyingi nishabwaga
Blowjob, kimalkia cha kunyonya koni.
Kijiko hakizidi buku 2, inategemeana na eneo ulilopoNi gharama kiasi gani hiyo MSAMITU!!