Tuelezane uzuri, ubaya, faida na hasara za utumiaji wa 'Vumbi la Mkongo'

Tuelezane uzuri, ubaya, faida na hasara za utumiaji wa 'Vumbi la Mkongo'

Madhara makubwa ni ya kisaikolojia. Ukishajiaminisha kuwa huwezi kupiga show (ya kueleweka) bila hayo madawa basi kwisha habari yako. Afadhali utumie njia za mazoezi na lishe bora; na sana sana kujiamini unless kama una matatizo mengine.
 
Shauri yako endelea na hilo vumbi la kongo mkeo mtaishi kama dada na kaka siku moja
 
Madhara ni kidogo tu utagongewa mkeo tu ili akiwa anarudi kukongwa analala maana atakuwa amechoka
 
Wale walioathirika wanadai hii dawa inafanya watu kuwa mashoga baada ya kama wiki hivi
 
Madhara makubwa ni ya kisaikolojia. Ukishajiaminisha kuwa huwezi kupiga show (ya kueleweka) bila hayo madawa basi kwisha habari yako. Afadhali utumie njia za mazoezi na lishe bora; na sana sana kujiamini unless kama una matatizo mengine.
Ni kweli,hii haina tofauti na yule mtu ambaye ili achelewe ni lazinma anywe Konyagi,akili ikishazoea hivyo utakuwa huna mbadala...
 
Wewe ni mavumbi na mavumbini utarudi..Sasa endelea kujishaua tuu!
 
Vumbi la kongo halina msaada wowote uchi unasimama vizuri lakini kichwa cha dhakari kinakua na ganzi ndio sababu yakutokumwaga mapema hapo anaefaid ni mwanamke ndio anasikia utamu halisi
 
Piga puli...
Mimi mzunguuko mmoja sifikishi hata dakika 3 na nipo vizuri sina kitambi wala chochote, nimefuata taratibu zote mazoezi vyakula na mambo kibao yan tips karibia zote..

Ila dahh show mbovu kila kukicha karibu mke anadai talaka yan sielewi kwakwel
 
Kwanini usumbuke na vumbi la mkongo?
Fanya mazoezi kila siku( push- up 400 zinatosha ) kula ushibe, kunywa maji mengi
Then njoo utupe mrejesho.
 
Dah!...usitumie vumbi mkuu, fanya mazoezi, kula vizuri na kunywa maji mengi hayo yanatosha mbona.
 
Mkuu pole sna,best way ni mazoez na usizidishe kiwango pia utachoka sana au siku unagame ndo unaenda Fanya mazoez utatia aibu.

Nguvu za kiume hua zinaanzia miguuni na mapajani kwa uzoefu wangu m nlipata tatzo kama lako na sio kila zoez Fanya haya ma3 at least marambili kwa week gym
Hii imekaa poa sana mkuu
 
Back
Top Bottom