Turudi pale Rau Madukani
JF-Expert Member
- Jan 16, 2016
- 2,339
- 5,112
Nimechekaaaa sana.OK.Usiseme watu wanalalamika, sema mimi nalalamika mnakula hela zangu halafu hamnipi mrejesho.
Shem ulicheza BIKO?Naomba rekebisheni kasoro hii
Nimeshuhudia watu kadhaa wakilalamika sana
MTU akicheza Biko kwa baadhi harudishiwi mrejesho kama kashinda au ajaribu tena
Sasa Hata mkitafutwa kwa baadhi ya no.zenu za Whatsaap hamjibu.Na wengine wanadai mteja ameliwa kupiga simu tena alipie hamna ya bure
Rekebisheni.MTU akicheza Hata kama hajapata ajue kulikoni iwe kama kadumbukiza Pesa shimoni
Na wanaolalamika hawajui watawafikiaje
Nikaona nijitolee niandike hapa Huenda akaona
Mana wanasema hakuna Namna ni kucheza BIKO tu biashara zinasuasua
Ndo wakakutan Na hayo
NilichezaShem ulicheza BIKO?
Jaribu Mimi nimecheza na kushindana shida japo Sasa SMS hazirudi but hope wanalifanyia kaziHabari zenu wakuu,
Nimeskia promo mbalimbali kwenye vyombo vya habari kuhusu mchezo wa bahati nasibu maarufu kama BIKO...,ningependa kufahamu kama kuna mtu yeyote aliyeshinda ili nami nijaribu bahati yangu
Sio uongo ni kweli.Uongo huo usijaribu
kwangu sio haramu, kumbe ni kweli...kwa hiyo ulijipatia faida ya kutosha tu shem?Nilicheza
Baada ya kutumia kama Elfu 8
Nikashinda 20,000/
Nikacheza tena kama 4,000/
In kashinda 5,000/
Nicheza Elfu 3 nikashinda 100,000/
Tena nikatumia 8,000/ nikashinda 10,000/ nikacheza Elfu 6 nikashinda 5,000/
Sasa baada ya hapo kila nikicheza Mara mbili Elfu 2 SMS hairudi ile ya kukwambia umeshinda au umeshindwa jaribu tena .Haziji.Nimeona na wengine wanalalamika.
Ila kiukweli nilipata hizo pesa na kutumia
Ina Mana nimepata zaidi kuliko kupoteza.
Shem Jose Jaribu na wewe huwezi jua si umeona Vyuma vimekazaa
Au kwako halamu??