Tuelimishane hapa kuhusu hii bahati na sibu ya BIKO

Tuelimishane hapa kuhusu hii bahati na sibu ya BIKO

Kuna mtu kasema kamati ya kijiji ndio mmiliki wa hii kitu. Na kweli jinsi vyuma jinsi vilivyokaza imebidi na kamati kuu yenye siri.kali inaze kubeti
 
Matapeli hatari wa msimu huu;
1. Biko
2. 3 mzuka
3. Tusua mapene

Hawa ni matapeli hakuna mfano, unaweza ukacheza ukawa unasubiria jibu...jibu wasikuletee kabisa japo fedha yako wanakuwa wamekuchukulia. Wengine ukicheza tu...mda huo huo wanakujibu umekosa....cheza tena, ukicheza mda huo huo wanakujibu umekosa ila umesogea karibu na kushinda...cheza tena, ukicheza watakujibu umekosa....nani wa kukuzuia..una pointi nying hebu cheza tena...

Usicheze hii michezo kama pesa yako inakuuma....ni matapeli hatari hao mabwana!!!. Hata hizo zawadi nina wasiwasi nazo, wanaosemekana wameshinda itakuwa wanapewa kiasi kidogo sana tofauti na wanavyotangazwa. Usiwaamini kamwe!!
Hii michezo waachieni wenye hela za kuokota au kuiba. Kamari zote hazijawahi kumwacha mtu salama
 
Kuna mtu kasema kamati ya kijiji ndio mmiliki wa hii kitu. Na kweli jinsi vyuma jinsi vilivyokaza imebidi na kamati kuu yenye siri.kali inaze kubeti
Amshukuru magu Enzi za mapedejee wangemla mpaka sasa angekuwa kabaki mmoja au wawili ndio hawajakula
 
Ni vema sisi wengine tusiojua lolote kuhusu hii BIKO inayomwaga mihela kwa wacheza kamari kadhaa tukiwafahamu watu hawa wema , walioamua kumwaga hela katikati ya UKATA mkubwa nchini mwetu ( Mungu awazidishie )

Jackpot Bingo mwenyewe alijulikana na sasa Spoti Pesa kiongozi wake nchini Tanzania anaitwa Abbass Tarimba , je hawa BIKO ni akina nani ?

Naomba kuwasilisha .
Mkuu sorry, hivi wewe ni ke au me?
 
Naomba rekebisheni kasoro hii
Nimeshuhudia watu kadhaa wakilalamika sana
MTU akicheza Biko kwa baadhi harudishiwi mrejesho kama kashinda au ajaribu tena
Sasa Hata mkitafutwa kwa baadhi ya no.zenu za Whatsaap hamjibu.Na wengine wanadai mteja ameliwa kupiga simu tena alipie hamna ya bure
Rekebisheni.MTU akicheza Hata kama hajapata ajue kulikoni iwe kama kadumbukiza Pesa shimoni
Na wanaolalamika hawajui watawafikiaje
Nikaona nijitolee niandike hapa Huenda akaona
Mana wanasema hakuna Namna ni kucheza BIKO tu biashara zinasuasua
Ndo wakakutan Na hayo
 
Vumilia tu
Zipo njia nyingi za utapeli ikiwemo kamari
 
Gambling
Itabidi twende Las Vegas tukajifunze zaidi. Teh teh
 
Back
Top Bottom