Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hivi vitu ni zaidi ya hiyo google yako .GOOGLE WEBSITE YAO...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi vitu ni zaidi ya hiyo google yako .GOOGLE WEBSITE YAO...?
Hii michezo waachieni wenye hela za kuokota au kuiba. Kamari zote hazijawahi kumwacha mtu salamaMatapeli hatari wa msimu huu;
1. Biko
2. 3 mzuka
3. Tusua mapene
Hawa ni matapeli hakuna mfano, unaweza ukacheza ukawa unasubiria jibu...jibu wasikuletee kabisa japo fedha yako wanakuwa wamekuchukulia. Wengine ukicheza tu...mda huo huo wanakujibu umekosa....cheza tena, ukicheza mda huo huo wanakujibu umekosa ila umesogea karibu na kushinda...cheza tena, ukicheza watakujibu umekosa....nani wa kukuzuia..una pointi nying hebu cheza tena...
Usicheze hii michezo kama pesa yako inakuuma....ni matapeli hatari hao mabwana!!!. Hata hizo zawadi nina wasiwasi nazo, wanaosemekana wameshinda itakuwa wanapewa kiasi kidogo sana tofauti na wanavyotangazwa. Usiwaamini kamwe!!
Amshukuru magu Enzi za mapedejee wangemla mpaka sasa angekuwa kabaki mmoja au wawili ndio hawajakulaKuna mtu kasema kamati ya kijiji ndio mmiliki wa hii kitu. Na kweli jinsi vyuma jinsi vilivyokaza imebidi na kamati kuu yenye siri.kali inaze kubeti
Mkuu sorry, hivi wewe ni ke au me?Ni vema sisi wengine tusiojua lolote kuhusu hii BIKO inayomwaga mihela kwa wacheza kamari kadhaa tukiwafahamu watu hawa wema , walioamua kumwaga hela katikati ya UKATA mkubwa nchini mwetu ( Mungu awazidishie )
Jackpot Bingo mwenyewe alijulikana na sasa Spoti Pesa kiongozi wake nchini Tanzania anaitwa Abbass Tarimba , je hawa BIKO ni akina nani ?
Naomba kuwasilisha .
Swali lako lina uhusiano wowote na BIKO ?Mkuu sorry, hivi wewe ni ke au me?
hapana, ID yako na avatar huwa sielewi maana yake! Sijauliza kwa ubaya.Swali lako lina uhusiano wowote na BIKO ?