Tuelimishane Quran

Tuelimishane Quran

baada ya kupewa vitabu wakaondoka.wafuasi wao wakavifanyia marekebisho. Taurati, zaburi, injili zote vyote vimechezewa.
Hayo madai ya kufanyia marekebisho, wao ndo wamesema hivyo katika vitabu vyao au ni mtazamo tu wa Dini nyingine
 
Hayo madai ya kufanyia marekebisho, wao ndo wamesema hivyo katika vitabu vyao au ni mtazamo tu wa Dini nyingine
Wenyewe waandishi
 

Attachments

  • Screenshot_20240407_174533_Biblia Takatifu.jpg
    Screenshot_20240407_174533_Biblia Takatifu.jpg
    488.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240407_171528_Biblia Takatifu.jpg
    Screenshot_20240407_171528_Biblia Takatifu.jpg
    504 KB · Views: 3
Quran 5:47 fafanuzi ((sisi tuliwaamrisha
wafuasi wa issa watu wa injili wakristo..))

Hapa tu ulipoanza umeshajipotosha mwenyewe! "Watu wa injili" sio wakristo. Injili ilikuwa ya issa ibn maryam.
 
issa siye YESU KRISTO maana issa wa kwenye quruan tukufu hana ukoo (kama upo toeni aya hata mama yake issa hana ukoo.......imeandikwa tu Issa alizaliwa na mariam ambaye baba yake alikuwa Imran..

yaan mariam na haruni walikuwa na baba m1 Imran) .........ila Yesu ana ukoo . unaorud nyuma mpaka kwa adamu...
isa alivozaliwa alikuota meno hapo hapo....kinyume na Yesu........Issa alizaliwa chini ya mtende........ila Yesu alizaliwa katika zizi la ng'ombe.......issa hakusulubiwa alikimbia .......ila Yesu alisulubiwa.......issa hakubatizwa......Yesu alibatizwa.......issa hakuwa na wanafunzi 12......Yesu alikuwa nao........issa hakudai kuwa sawa na Mungu ....ila Yesu alisema wazi wazi Yeye na Mungu ni umoja........issa hakuwah fanya muujiza wowote....ila Yesu alifanya miujiza mingi.........Isaa hakuwah kuwa islamic..(maana hakuwah kishika nguzo tano za kiislamu ....mtu wa kwanz kuslimu n mke wa muhamad na mtume wetu muhamad S.A.w.....rejea kitabu cha maisha ya mtume)..........kinasema mtume na.mkewe ndiy waliokuwa islamic wa kwanza.........Yesu aliabud katika sinagogi..........issa kiarabh......Yesu aliongea kiebrania....issa hakuwah kuwa seremala....Yesu alikuwa seremala msaidiz wa Yusuphu......imetosha au niendelee??...........ikumbukwe kuwa vitabu vya agano la kale vina miaka 3000 .....na vitabu vya agano jipya vina miaka takriban mi6 kasoro kabla ya kushushwa kwa Qruan tukufu ya ALLAH........... hata neno lenyewe Issa kwa kiarabu ukilileta kwenye kiswahili sio Yesu
 
Quran 5:47 fafanuzi ((sisi tuliwaamrisha
wafuasi wa issa watu wa injili wakristo..))

Issa ni muislamu inakuaje wafuasi wake ni wakristo?.

Quran 2;121 Allah anasema eti aliwapa watu wa kitab injil na zabur na torat.

Watu wa kitab ni wakina nani?.

Quran 4:171 Allah anawambia watu wa kitaab wasipindukie mipaka katika DINI yao.

Kuna Dini zaidi ya muislam?.

Tuelimishane ndugu zangu
Ukishaandika "anasema eti..." inamaanisha wewe umejipanga kubishana, sio kueleweshwa..
 
issa siye YESU KRISTO maana issa wa kwenye quruan tukufu hana ukoo (kama upo toeni aya hata mama yake issa hana ukoo.......imeandikwa tu Issa alizaliwa na mariam ambaye baba yake alikuwa Imran..

yaan mariam na haruni walikuwa na baba m1 Imran) .........ila Yesu ana ukoo . unaorud nyuma mpaka kwa adamu...
isa alivozaliwa alikuota meno hapo hapo....kinyume na Yesu........Issa alizaliwa chini ya mtende........ila Yesu alizaliwa katika zizi la ng'ombe.......issa hakusulubiwa alikimbia .......ila Yesu alisulubiwa.......issa hakubatizwa......Yesu alibatizwa.......issa hakuwa na wanafunzi 12......Yesu alikuwa nao........issa hakudai kuwa sawa na Mungu ....ila Yesu alisema wazi wazi Yeye na Mungu ni umoja........issa hakuwah fanya muujiza wowote....ila Yesu alifanya miujiza mingi.........Isaa hakuwah kuwa islamic..(maana hakuwah kishika nguzo tano za kiislamu ....mtu wa kwanz kuslimu n mke wa muhamad na mtume wetu muhamad S.A.w.....rejea kitabu cha maisha ya mtume)..........kinasema mtume na.mkewe ndiy waliokuwa islamic wa kwanza.........Yesu aliabud katika sinagogi..........issa kiarabh......Yesu aliongea kiebrania....issa hakuwah kuwa seremala....Yesu alikuwa seremala msaidiz wa Yusuphu......imetosha au niendelee??...........ikumbukwe kuwa vitabu vya agano la kale vina miaka 3000 .....na vitabu vya agano jipya vina miaka takriban mi6 kasoro kabla ya kushushwa kwa Qruan tukufu ya ALLAH........... hata neno lenyewe Issa kwa kiarabu ukilileta kwenye kiswahili sio Yesu

Hivi ukoo wako unaujua Kama
Unavojua hizi hekaya?
 
Quran 5:47 fafanuzi ((sisi tuliwaamrisha
wafuasi wa issa watu wa injili wakristo..))

Issa ni muislamu inakuaje wafuasi wake ni wakristo?.

Quran 2;121 Allah anasema eti aliwapa watu wa kitab injil na zabur na torat.

Watu wa kitab ni wakina nani?.

Quran 4:171 Allah anawambia watu wa kitaab wasipindukie mipaka katika DINI yao.

Kuna Dini zaidi ya muislam?.

Tuelimishane ndugu zangu
Wakristu tuna Yesu mwana wa Mungu aliyezaliwa na Bikira Maria kwa njia ya roho mtakatifu. Bakini na huyo nabii Issa wenu kamwe msimfananishe na Yesu
 
baada ya kupewa vitabu wakaondoka.wafuasi wao wakavifanyia marekebisho. Taurati, zaburi, injili zote vyote vimechezewa.
Kama unaamini Allah aliruhusu vitabu vyake kuchezewa,kinyume kabisa na Quran inayoandika kwamba"ujumbe wa Allah hauwezi kuchezewa"vipi una imani na Quran kutoguswa wakati nayenyewe ni ujumbe wa Allah kama zaburi,torati na injili???
 
Quran ni kitabu kinachoomba mtu anayekiamini akiwa haelewi mambo aombe msaada kwa walioshushiwa bitabu kabla yake ambao ni wafuasi wa maandiko matakatifu mwanzo hadi ufunuo.

Ubishi ndio unasababisha wateswe na majini. Wangetuelewa majini yote ni mashetwain k
Tulia ,inaowahusu wameshaelewa swali, ama hakuna asiye wa Qur'an ataweza kujibu swali hili.
Tulia ustafidi
 
Naomba tu kufahamu zaburi ya kiislam ilipo,natamani mno kuisoma
 
Ukusoma sana hicho kitabu kwa lengo lako la kujifinza mwisho utakuwa gaidi tu. Lazima uwe gaidi.
 
Allah kampa Jibril Mwana Ampeleke Mariam, sasa waulize waislam huyo Mtoto aliyepewa Jibril na Allah ampelekee Mariam ni nani, then uone sarakasi utakazo Pigwa!! Hutaamini.
 
Allah kampa Jibril Mwana Ampeleke Mariam, sasa waulize waislam huyo Mtoto aliyepewa Jibril na Allah ampelekee Mariam ni nani, then uone sarakasi utakazo Pigwa!! Hutaamini.
Kuna swali mtu aliulizwa,unaamini Quran ni maneno ya Allah na ni Allah mwenyewe ktk Quran anaongea sababu alipewa malaika wake ampe mtume??akajibu ndio.
Akaulizwa mbona tukikwambia Jesus ni Mungu mwenyewe ktk umbo la binaadam unakaza upara??😁😁😁
 
Quran 5:47 fafanuzi ((sisi tuliwaamrisha
wafuasi wa issa watu wa injili wakristo..))

Issa ni muislamu inakuaje wafuasi wake ni wakristo?.

Quran 2;121 Allah anasema eti aliwapa watu wa kitab injil na zabur na torat.

Watu wa kitab ni wakina nani?.

Quran 4:171 Allah anawambia watu wa kitaab wasipindukie mipaka katika DINI yao.

Kuna Dini zaidi ya muislam?.

Tuelimishane ndugu zangu
Kiporo cha ubwabwa at work
 
Nahisi tatizo linaanza kwenye ufahamu wako wa sehemu unayosoma mkuu
 
Back
Top Bottom