issa siye YESU KRISTO maana issa wa kwenye quruan tukufu hana ukoo (kama upo toeni aya hata mama yake issa hana ukoo.......imeandikwa tu Issa alizaliwa na mariam ambaye baba yake alikuwa Imran..
yaan mariam na haruni walikuwa na baba m1 Imran) .........ila Yesu ana ukoo . unaorud nyuma mpaka kwa adamu...
isa alivozaliwa alikuota meno hapo hapo....kinyume na Yesu........Issa alizaliwa chini ya mtende........ila Yesu alizaliwa katika zizi la ng'ombe.......issa hakusulubiwa alikimbia .......ila Yesu alisulubiwa.......issa hakubatizwa......Yesu alibatizwa.......issa hakuwa na wanafunzi 12......Yesu alikuwa nao........issa hakudai kuwa sawa na Mungu ....ila Yesu alisema wazi wazi Yeye na Mungu ni umoja........issa hakuwah fanya muujiza wowote....ila Yesu alifanya miujiza mingi.........Isaa hakuwah kuwa islamic..(maana hakuwah kishika nguzo tano za kiislamu ....mtu wa kwanz kuslimu n mke wa muhamad na mtume wetu muhamad S.A.w.....rejea kitabu cha maisha ya mtume)..........kinasema mtume na.mkewe ndiy waliokuwa islamic wa kwanza.........Yesu aliabud katika sinagogi..........issa kiarabh......Yesu aliongea kiebrania....issa hakuwah kuwa seremala....Yesu alikuwa seremala msaidiz wa Yusuphu......imetosha au niendelee??...........ikumbukwe kuwa vitabu vya agano la kale vina miaka 3000 .....na vitabu vya agano jipya vina miaka takriban mi6 kasoro kabla ya kushushwa kwa Qruan tukufu ya ALLAH........... hata neno lenyewe Issa kwa kiarabu ukilileta kwenye kiswahili sio Yesu