Tuendeleeni tu kulifanyia Mzaha hili Suala la Timu zinazomilikiwa na Mawaziri Waandamizi kuwapa Kiholela Uraia Wachezaji wao

Tuendeleeni tu kulifanyia Mzaha hili Suala la Timu zinazomilikiwa na Mawaziri Waandamizi kuwapa Kiholela Uraia Wachezaji wao

UHAMIAJI TANZANIA na TISS wala msiwe na wasiwasi hili Jambo ni jema mno kwa Taifa letu hivyo endeleeni tu Kulala na Kuliachia kwani litadumisha sana Utaifa na Uzalendo wetu wa Kihistoria sawa?

Jambo hili Lina madhara hasi zaidi kwa nchi kuliko faida.
Taasisi za Serikali ambazo zinapaswa kulaumiwa kwa kuliingiza Taifa kwenye majanga makubwa kutokana na kitendo cha kutoa kiholela Uraia wa Tanzania kwa wageni ni:-
1. Jeshi la Uhamiaji.
2. TISS.
3. Jeshi la Polisi.

Kuna hatari kubwa sana kutoa uraia kiholela kwa Watu wa nje. Hivi wanajua sababu mahsusi ambazo Rais wa Marekani Donald Trump katika awamu yake ya kwanza aliamua kuwapiga marufuku Raia wa Tanzania kupewa Viza au Uraia kwa njia ya GreenCard kwenye nchi hiyo? Wanazijua sababu zake?

Uhamiaji, TISS na Polisi wanajaribu kuweka rehani usalama wa umma wa waTanzania, ni hatari kubwa sana. Hivi ni kwa nini hasa Serikali ya Tanzania inakataa kuwaruhusu diaspora wa Tanzania kuwa na uraia pacha lakini wakati huo huo inaruhusu kiurahisi kabisa bila ya kufuata Sheria kuwapa uraia wageni ambao kamwe hawakuwahi kuwa na vinasaba kabisa na nchi ya Tanzania?
 
Jambo hili Lina madhara hasi zaidi kwa nchi kuliko faida.
Taasisi za Serikali ambazo zinapaswa kulaumiwa kwa kuliingiza Taifa kwenye majanga makubwa kutokana na kitendo cha kutoa kiholela Uraia wa Tanzania kwa wageni ni:-
1. Jeshi la Uhamiaji.
2. TISS.
3. Jeshi la Polisi.

Kuna hatari kubwa sana kutoa uraia kiholela kwa Watu wa nje. Hivi wanajua sababu mahsusi ambazo Rais wa Marekani Donald Trump katika awamu yake ya kwanza aliamua kuwapiga marufuku Raia wa Tanzania kupewa Viza au Uraia kwa njia ya GreenCard kwenye nchi hiyo? Wanazijua sababu zake?

Uhamiaji, TISS na Polisi wanajaribu kuweka rehani usalama wa umma wa waTanzania, ni hatari kubwa sana. Hivi ni kwa nini hasa Serikali ya Tanzania inakataa kuwaruhusu diaspora wa Tanzania kuwa na uraia pacha lakini wakati huo huo inaruhusu kiurahisi kabisa bila ya kufuata Sheria kuwapa uraia wageni ambao kamwe hawakuwahi kuwa na vinasaba kabisa na nchi ya Tanzania?
Nilikuwa nahitaji Critical Thinking kama hii yako kutokana na Akili yako Kubwa na siyo kama ya Masikini wa Akili Gunner Shooter
 
Tafuta kazi ya kufanya
Kama hiyo yako ya Usemaji wa hiyo Klabu yako (isiyo na Ofisi) yenye Wapiga Miluzi wengi wakiongozwa nawe Mpiga Mluzi ambao hata Mshahara wako wenyewe unaupata kwa Kupiga Mluzi?

Endelea kudhani kuwa Sikujui..............sawa?
 
Kama hiyo yako ya Usemaji wa hiyo Klabu yako (isiyo na Ofisi) yenye Wapiga Miluzi wengi wakiongozwa nawe Mpiga Mluzi ambao hata Mshahara wako wenyewe unaupata kwa Kupiga Mluzi?

Endelea kudhani kuwa Sikujui..............sawa?
Tafuta kazi ya kufanya
 
Tafuta kazi ya kufanya
Kama hiyo yako ya Usemaji wa hiyo Klabu yako (isiyo na Ofisi) yenye Wapiga Miluzi wengi wakiongozwa nawe Mpiga Mluzi ambao hata Mshahara wako wenyewe unaupata kwa Kupiga Mluzi?

Endelea kudhani kuwa Sikujui..............sawa?
 
UHAMIAJI TANZANIA na TISS wala msiwe na wasiwasi hili Jambo ni jema mno kwa Taifa letu hivyo endeleeni tu Kulala na Kuliachia kwani litadumisha sana Utaifa na Uzalendo wetu wa Kihistoria sawa?
Matahira Tanzania wanazidi kuongezeka imagine uraia wa Tanzania unagawiwa kama njugu na wachambuzi wa Mpira wanashangilia
 
Kuna yule mchezaji wa Arsenal Mrusi ilikuja kujulikana badae ni jasusi la Urusi. Bado sisi tutakuja kushtuka tumewapa uraia majasusi ya Rwanda na Kenya. Nchi ya hovyo kabisa hii
IQ yako hii Kubwa na huu Uchambuzi wako kamwe huwezi kuupata kwa Masikini wa Akili / Upeo Gunner Shooter na naamini hapa amejifunza Kitu japo ni Masikini bado wa Upeo /Akili.
 
Tafuta kazi ya kufanya
Kama hiyo yako ya Usemaji wa hiyo Klabu yako (isiyo na Ofisi) yenye Wapiga Miluzi wengi wakiongozwa nawe Mpiga Mluzi ambao hata Mshahara wako wenyewe unaupata kwa Kupiga Mluzi?

Endelea kudhani kuwa Sikujui..............sawa?
 
Kama hiyo yako ya Usemaji wa hiyo Klabu yako (isiyo na Ofisi) yenye Wapiga Miluzi wengi wakiongozwa nawe Mpiga Mluzi ambao hata Mshahara wako wenyewe unaupata kwa Kupiga Mluzi?

Endelea kudhani kuwa Sikujui..............sawa?
Tafuta kazi ya kufanya
 
Back
Top Bottom