Tuendeleeni tu kulifanyia Mzaha hili Suala la Timu zinazomilikiwa na Mawaziri Waandamizi kuwapa Kiholela Uraia Wachezaji wao

Tuendeleeni tu kulifanyia Mzaha hili Suala la Timu zinazomilikiwa na Mawaziri Waandamizi kuwapa Kiholela Uraia Wachezaji wao

Tafuta kazi ya kufanya
Kama hiyo yako ya Usemaji wa hiyo Klabu yako (isiyo na Ofisi) yenye Wapiga Miluzi wengi wakiongozwa nawe Mpiga Mluzi ambao hata Mshahara wako wenyewe unaupata kwa Kupiga Mluzi?

Endelea kudhani kuwa Sikujui..............sawa?P
 
Sasa kwa huu Umasikini wako mkubwa wa Akili unadhani hata tukikuandikia uyatayo utaelewa chochote?
kuandika insha yako kama hii na kutokutoa hoja ya msingi kuhusu ulalamikaji wako na kutoa lawama kwa taasisi nyeti kama hzo bila kuwa sababu za kusema hvo, huo ni uropokaji wa maandishi mkuu. akili sina ndiyo but jiulize kwann nimeuliza swali ambalo ni zuri tu na umeshindwa kulijibu?
 
kuandika insha yako kama hii na kutokutoa hoja ya msingi kuhusu ulalamikaji wako na kutoa lawama kwa taasisi nyeti kama hzo bila kuwa sababu za kusema hvo, huo ni uropokaji wa maandishi mkuu. akili sina ndiyo but jiulize kwann nimeuliza swali ambalo ni zuri tu na umeshindwa kulijibu?
Yaani Mwerevu Mimi kabisa nikufafanulie Juha Wewe?
 
Yaani wachezaji wasipewe ila nyie mkienda nchi za watu kutafuta maisha mpewe uraia sio? Mnaona hao wachezaji wa singida watafaidi sana sio? Acheni wivu acha watu watafute maisha
 
Yaani Mwerevu Mimi kabisa nikufafanulie Juha Wewe?
acha mbwembwe mkuu ndo mana wewe mwerevu unalalamikia mambo ambayo yameshapitishwa na wenzio na hayawez kubadilishwa mana hata ukiitwa ueleza xbb ya kupinga hao raia huna kazi kujisifu mara mwerevu mara nini yaani ni uhaya mtupu. NYUMBU
 
Yaani wachezaji wasipewe ila nyie mkienda nchi za watu kutafuta maisha mpewe uraia sio? Mnaona hao wachezaji wa singida watafaidi sana sio? Acheni wivu acha watu watafute maisha
Usipende kubalance kila kitu. Kunasababu kwanini ni sawa wachezaji wetu kwenda kupata michongo nje ila wa mataifa jirani kuja kwetu kuwa ni risky.
 
Andikeni madhara ya hao wahamiaji bhc mbn naona porojo tu.
Waovu watapitia njia hiyo hiyo
Kuna yule mchezaji wa Arsenal Mrusi ilikuja kujulikana badae ni jasusi la Urusi. Bado sisi tutakuja kushtuka tumewapa uraia majasusi ya Rwanda na Kenya. Nchi ya hovyo kabisa hii
Maadui na Mamluki wanaweza wakatumia mwanya huo huo kujipenyeza, na hata vizazi vyao pia wataweza kujipenyeza na kuweza kushika nyadhifa za juu za maaumuzi katika nchi. Then after hatari yake itaweza kujidhihirisha dhahiri kabisa.

Wakili Madelea wakati fulani aliwahi kutoa taarifa moja hivi kuhusiana na kigogo mmoja hivi huko ndani ya Jeshi la Uhamiaji
 

Attachments

  • FB_IMG_1705984051949.jpg
    FB_IMG_1705984051949.jpg
    52.3 KB · Views: 1
Usipende kubalance kila kitu. Kunasababu kwanini ni sawa wachezaji wetu kwenda kupata michongo nje ila wa mataifa jirani kuja kwetu kuwa ni risky.
Basi futeni hiyo sheria ya kumpa mgeni uraia, haina maana yoyote kuwa na sheria inayomruhusu mgeni kuomba uraia huku hamko tayari kuwapa uraia
 
Maadui na Mamluki wanaweza wakatumia mwanya huo huo kujipenyeza, na hata vizazi vyao pia wataweza kujipenyeza na kuweza kushika nyadhifa za juu za maaumuzi katika nchi. Then after hatari yake itaweza kujidhihirisha dhahiri kabisa.

Wakili Madelea wakati fulani aliwahi kutoa taarifa moja hivi kuhusiana na kigogo mmoja hivi huko ndani ya Jeshi la Uhamiaji
Ndicho nachokiona pia lakini hapa kwetu hilo sio geni wapo viongozi sio wazawa wa hapa.
 
Wachezaji wenyewe waliopewa uraia sasa hawana maajabu yoyote wa kawaida sana kama yule Keyeke anamzidi nini Farid Musa au Chasambi?. Na huku wajuzi wa mambo wanatutonya kuwa hatuwezi kuwatumia kwenye timu ya Taifa mpaka baada ya miaka mitano hii si hasara mara mbili maana na pesa ya vibali na tozo mbali mbali hatuwezi kukusanya kutoka kwa hao wachezaji.

Kesi ya Morison iliisimamisha Dar na taifa zima kwa takriban wiki nzima hiyo itakuwa cha mtoto sasa itakayokuja itakuwa balaa iwapo kati ya mmojawapo Simba au Yanga atakosa ubingwa kwa sababu alipoteza mechi au alitoka sare na Singida Black Stars. Kama kuna kiongozi wa serikali anayeona mbali basi ni vyema akawajulisha wenzake wazuie hili zoezi haraka lisije likafika mahali likawa halirekebishiki na likaleta madhara makubwa kwani mpira ni mchezo wa hisia sana.

Ni mtizamo tu
 
Kuna vigezo vya mtu kuwa raia kwenye nchi za kiafrika Huwa naona ni lazima uwe umeishi kwenye nchi husika pengine hata miaka kumi.
 
Back
Top Bottom