Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jarida kubwa huko Nigeria limemtaja Tuerny kama mwanamke mwenye mvuto zaidi nchini Tanzania na kwa africa akiwa namba 7 yaani yupo top 10. Hivo kwa sasa mrembo mwenye mvuto na muonekano wake TZ kwa sasa ni Tuerny hilo halina ubishi ukibisha utakuwa mchawi! Tuerny ana masters ya Accounting pamoja na CPA alipata huko oxford UINGEREZAView attachment 2194947View attachment 2194949View attachment 2194948
Uyonya?angalia usije jing'ata ulimiLips tu anazidiwa haya na Irene uyonya
Mkeo ana masters ya nini?Mbona wa kawaida sana tu ...
Huyu hata wife wangu anampiga chini mala 100
Bure kabisa
Sio kila mwanamke mrembo wa mjini umuite mdangaji amekuzidi kwa pesa mbali sana!Hizi threads za wadangaji zimekuwa nyingi siku hizi za karibuni,mara fulani ana mvuto mara pisi kali au ndio madalali mmehamia na huku JF kupromote malaya wenu kwani kazi zao hao wanawake hapa mjini tunazijua.
Kwani humu JF tuaweka acc zetu za bank au hati za nyumba au kadi za magari kujua nina kiasi gani. Labda kama anakuzidi ww sawa ila sio mimi, ila humo hamna kitu kwani huyo ni malaya na mdangaji wa mjini.Sio kila mwanamke mrembo wa mjini umuite mdangaji amekuzidi kwa pesa mbali sana!
Mkuu kafuatilie vizuri ndio utajua Tuerny is damn rich!Kwani humu JF tuaweka acc zetu za bank au hati za nyumba au kadi za magari kujua nina kiasi gani. Labda kama anakuzidi ww sawa ila sio mimi, ila humo hamna kitu kwani huyo ni malaya na mdangaji wa mjini.
Stupid kabisa yaani Wanaijeria watupangie sisi mtu mwenye mvuto?Wewe ndio unaona hana mvuto ila kwa Tanzania ndio anaongoza