Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo elimu lisa ameipata lini?Vigezo vilivotumika ni elimu, umbo la sura, umbo la mwili, assets alizonazo na demand ya soko kwa sasa!
Amesoma saa ngapi na kudanga amuachie nan. Labda kama umemjua leoAlipokuwa busy kusoma!
Hahaha ni jarida kubwa sana kama vile vogue na esquire magazine n.kHizo kura alipiga nani? What was the sample size? Halafu kujiweka uchi uchi ndio mvuto?? Bure kabisa huyu haingii hata kidogo kwa aisha kidawa wangu wa kigamboni ambae mtaa wenye watu zaidi ya 400 wote wanamkubali
Siwafuatili ukiona mtu na mfuatilia mara nyingi ana ni-inspire au role model katika field yangu.Mkuu kafuatilie vizuri ndio utajua Tuerny is damn rich!
Hajatumia ulimi kuandika hapa katumia Dole gumbaUyonya?angalia usije jing'ata ulimi
Poker 👆👆Amesoma saa ngapi na kudanga amuachie nan. Labda kama umemjua leo
Malaya huyo wasomi utawajua kwa kazi zao na hata ushauri wanautoa katika field zao.Ila we mkuu huwa nakuonaga msomi unashindwa kutambua wasomi wenzako kama kina Tuerny!
itakua ni weweAmesoma ndio oxford UINGEREZA au roho inakuuma juu ya elimu yake!
Vp wewe taco lako ni laini?itakua ni wewe
Weka mawasiliano watu wakufikie
Ila kwa urembo Bado Sana Kuna wengi tu wamekuzidi
Kwanza hakunaga mrembo mfupi, kingine kichwa kimekua kikubwa kuliko mwili, filter zimesaidia uonekane, lipsi hazieleweki, Hilo Tako ni gumu balaa (mabaharia tunaelewa )
Ukibisha nitakuchambua zaidi
Ni Mwanaume Tako Sina mkuVp wewe taco lako ni laini?