joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Nimuonee Wivu malaya ili iweje tatizo lako hatembei, ila sisi kazi zetu za kushinda site huyo demu wa kawaida nishazunguka sana Tanzania, hicho kwangu ni kituko.Mkuu wivu utakuua kisa huna demu mkali kama yeye!
Make hapo kwanza nchekeUjamuoana manzi wangu wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Kiukweli mwanamke asipokuwa na mguu mzuri wenye unene kidogo huwa namwonq wakawaida sana.
Nina imani huna demu mkali na mwenye mvuto kuliko huyo maana imekuuma sana kusikia ndio anaongoza Tz na ni msomi na mbaya zaidi ana hela za kukulisha wewe na kizazi chako mpaka cha 20!Nimuonee Wivu malaya ili iweje tatizo lako hatembei, ila sisi kazi zetu za kushinda site huyo demu wa kawaida nishazunguka sana Tanzania, hicho kwangu ni kituko.
Iniume kwa huyo malaya wewe kama umeamua kuwa dalali wake endelea ila hiko kituko hamna kitu.Nina imani huna demu mkali na mwenye mvuto kuliko huyo maana imekuuma sana kusikia ndio anaongoza Tz na ni msomi na mbaya zaidi ana hela za kukulisha wewe na kizazi chako mpaka cha 20!
Mi binafsi cjawahi ona mwanaume anamwonea wivu manzi we ndio wakwanza!Iniume kwa huyo malaya wewe kama umeamua kuwa dalali wake endelea ila hiko kituko hamna kitu.
Kama kukulisha atakulisha ww na kizazi chako, halafu sijui jinsia yako kama mwanamke sawa ila kama mwanaume, inawezekana ukawa ushaisaliti jinsia yako, acha udalali wa hao malaya.
Yaani ni muonee wivu kwani anakulipa kiasi gani kumpigia promo?Mi binafsi cjawahi ona mwanaume anamwonea wivu manzi we ndio wakwanza!
Wewe fala endelea kuhadaika na huyo, mzuri kwako, mimi kwangu wa kawaida.Mkuu hukubali kushindwa kila mtu amekubali ni mrembo kweli na anamvuto wewe ni muha wa kigoma nini!
Kuwadi.We jamaa ni mbishi alaf una kiroho cha jealousy!
Sio kila mwanamke mrembo wa mjini umuite mdangaji amekuzidi kwa pesa mbali sana!