Tuerny atajwa kama mwanamke mwenye mvuto zaidi Tanzania!

Tuerny atajwa kama mwanamke mwenye mvuto zaidi Tanzania!

Comments zitaniuwa🤣🤣🤣🤣

Ndo huyu alikuwa anadeti na baddest?
 
Wa "Nigeria" hawa hawa wa huko Ojuelegba ?, hii list ya kihuni tu 😤😤
 
Jamaa anampigia promo amepaniki kinyama, relax youngman watunwashaona zaidi ya huyo after all beauty lies to the beholder.
 
Acheni uongo, huyu demu anafanya kazi kituo cha masaj
 
Acha kupotosha watu huyu mtoto anakua tunamuona tulibahatika kula mbususu mapema akiwa bado hajaingia kwenye soko huru,mtoto wa magomeni huyu English yenyewe kajifunzia kwenye series na movies hakuna cha CPA wala Masters ata ya chini ya mti lakini yuko smart sana kichwani anauwezo wakucaught up vitu haraka ndio sifa yake kuu.
Mkuu, pokela kongole zangu kwako. Wasiomjua huyu wanahadaika sana.
Mleta mada muongo maana hata huko alipo shetani anaogopa kwa fix za mwamba hapo.
 
Akina nan hao wamemchagua kama mwanamke mwenye Mvuto???


Kwa taarifa yako, Leo nmekutana na mwanamke ,nimejikuta yaan Sura yangu inajawa na Huruma, huzuni, nikashindwa pumua vizuri, nikachoka,nikashindwa hata kumsalimia


Nahisi alikua JINI ,sio Kwa uzuri ule .
 
Back
Top Bottom