Tufanyeje ili wanasiasa wenye agenda zao wasiingilie michezo? Ni wavugaji wanaoua michezo

Tufanyeje ili wanasiasa wenye agenda zao wasiingilie michezo? Ni wavugaji wanaoua michezo

Yanga kuna lijinga limoja lilikuwa pale chini, kashika picha ya Samia. Alipotugeuzia tukaiona tulimuonyesha kwa ishara ya toka hapa na lipicha lako. Akakoma kugeuza mpaka mpira ukaisha. Watuache tuenjoy mpira jamani. Kwani shida nini? Mbona nguvu nyingi sana inatumika?
Yaani yanakera mpira zamani haukua na haya maujinga.. watu tulijua furaha yetu imebaki kwenye soka lakini nako matapeli ya siasa yamevamia
 
Yanga kuna lijinga limoja lilikuwa pale chini, kashika picha ya Samia. Alipotugeuzia tukaiona tulimuonyesha kwa ishara ya toka hapa na lipicha lako. Akakoma kugeuza mpaka mpira ukaisha. Watuache tuenjoy mpira jamani. Kwani shida nini? Mbona nguvu nyingi sana inatumika?
Hofu ya kushindwa wakati wameshapokea mabilion ya watu
 
downloadfile-1.jpg
 
Uliza hayo mabango yamegharimu Bei gani sasa🤬
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
JamiiForums-1769471325.jpeg
 
Back
Top Bottom