Tufanyeje ili wanasiasa wenye agenda zao wasiingilie michezo? Ni wavugaji wanaoua michezo

Yaani yanakera mpira zamani haukua na haya maujinga.. watu tulijua furaha yetu imebaki kwenye soka lakini nako matapeli ya siasa yamevamia
 
Hofu ya kushindwa wakati wameshapokea mabilion ya watu
 
Uliza hayo mabango yamegharimu Bei gani sasa๐Ÿคฌ
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ