Tufikie hatua tutumie akili na tuambiane ukweli. Wazungu wanatuua kirahisi tu

Tufikie hatua tutumie akili na tuambiane ukweli. Wazungu wanatuua kirahisi tu

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Hivi ni kweli kwamba wazungu wametaka kutuua na kutufanya tusizaane kwa kupitia chanjo ya Korona?

Sidhani.

Watoto wetu nasi toka tunakuwa tumepata chanjo za tetenasi, pepopunda, sulua/surua n.k kwa miaka mingi. Na ushahidi wa chanjo ya Ndui upo begani mwa kila Mtanzania. Hizi chanjo sisi tunatengeneza wapi? Ili tuanzie hapo kwanza.

Chanjo hizi zote zinatoka Ulaya na Marekani na Madawa mengine mengi India. Kama kutufanya tuwe tasa wangetumia chanjo moja kati ya hizo wala hawana haja ya kutumia Corona.

Ni vitu vingapi tunatumia toka kwao? Asilimia 80 ya dawa zinatoka kwao.kwa nini wasituwekee humo virusi au bacteria ambao wana madhara?why waje kuhangaika sasa kwa kutumia Corona?

Tulienda nunua dawa ya Corona Madagascar kwa Kondoo/Ndama wenzetu. Maana hatukutaka za Mabeberu. Je matokeo yake imekuaje mpaka hii leo? Tuambiane ukweli.

Miaka yote matibabu hawa wakubwa wanaenda tibiwa nje ya nchi kwa nini wasidhurike huko? Wengine wana vifaa kwenye mioyo,wengine wamefanyiwa transplant, wengine wametibiwa kansa, tezi dume n.k why wasidhuriwe huko?

Mi nadhani ichukuliwe hiyo chanjo wapewe wataalam wetu wakaifanyie utafiti then waje watoe majibu ya kuonesha kuna hila kwenye hizo chanjo.

Mimi ningekuwa Beberu ngesisitiza waafrika, watanzania wazaliane sana ili tuzidi kupata soko la bidhaa zetu.population kubwa ya afrika ni mtaji kwa wafanya biashara huko kwao.

Lakini la kujiuliza lini afrika imeanza kuwa tishio kiasi cha wazungu kutaka teketeza au angamiza kizazi cha afrika? Mambo mengine tuwe na uhalisia jamani. Tusiwe tunaongea tu kama laymen.

Hawa wazungu walishakuna wakatutawala hapa hapa kwetu.wakatuchukua utumwani.wakachoka nasi wakaacha kututawala na kutuchukua utumwani. Wametuacha tuwe watumwa huku huku tuliko.

Sasa kuwaonesha sisi ni watu huru tupinge chanjo zao kitaalamu na kuonesha kasoro zilizopo kwenye chanjo zao.

Mi nakwambia wazungu wakitaka kutuua ni rahisi. Nenda kabatini kwako. Kaangalie dawa asilimia kubwa unazotumia. Angalia za kienyeji ni ngapi.

Kasome kwenye kadi yako chanjo alizopata mwanao. Kaulize tiba asili ni zipi kati ya hizo. Ukiumwa malaria,kifua,mafua,kuhara,kipindu pindu,dengue, typhoid. Uliza hosp wanakupa dawa zipi. Omba wakupe za tiba asilia kama wanazo.

Tufikie hatua tutumie akili kujenga hoja na si kunena vioja.
 
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾👍🏽
 
Wewe unapenda kuandika ila muvivu wa kusoma.chanjo ya korona ina madhara makubwa, google side effect utaona. Live long JPM
 
Wewe unapenda kuandika ila muvivu wa kusoma.chanjo ya korona ina madhara makubwa,google side effect utaona
Ndo hayo tuyaandike kitaalamu. Mbona sijakukatalia kuleta pingamizi. Weka hapa madhara kitaalamu ambayo madaktari wetu wamesema. Maana unaweza kuta pia ni madhara ambayo yanatajwa na mabeberu hao hao ktk biznez zao na tiba.
 
Akili na mawazo yako ni finyu sana ktk hili! Namna rahisi zaidi ya biological intervention kirahisi na uhakikika ni kupitia chanzo la lazima kwa watu wote! Hizo njia zingine siyo za uhakika hasa kama unailenga Africa! Au huamini kuwa ubaguzi wa rangi bado upo!?
 
Akili na mawazo yako ni finyu sana ktk hili! Namna rahisi zaidi ya biological intervention kirahisi na uhakikika ni kupitia chanzo la lazima kwa watu wote! Hizo njia zingine siyo za uhakika hasa kama unailenga Africa! Au huamini kuwa ubaguzi wa rangi bado upo!?
Hapo mkononi una chanjo ya ndui... mbona hawakukumaliza kipindi hicho ambacho hata teknologia kwetu huku ilikua ni majanga? Sasa africa tukimalizwa nani atanunua bidhaa feki na rahisi za mchina??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Napenda saaana kusikiliza speech za shekh mazinge kwa jinsi anavo elezea kwa namna gan haya majamaa hutumia anti Christ kufanya visivyo wezekana hapa duniani,

Tambua sasa hata maendeleo yao kuwa huwa yana strong correlation with the so called anti christ kupitia free mason group, illuminate,, wao ni watekelezajitu,,

Wahitaji wakuue marangapi mkuu?? Leo hii tuna ukimwi ulotengenezwa maabara na tukapukutika kwanza weeeeee af wakaja na solution to the problem sahv sisi ni masoko ya hizo dawa,

In biological fight there is the so called problem, reaction and solution hivyo bas hawa jamaa hutengeneza tatizo na kuangalia madhara af wanakuja na suruhisho.

Sisi waafrica tusha uawa sanatu sematu mungu bado anatupenda sana, pia hawa jamaa wanatufanya masoko ya bidhaa zao tangia mwisho wa the so called direct colonization,

666 haitomuacha mtu salama,

Japo najua wengi hapa mta toa povu sana ila ukweli ndo huo, kila kitu kipo monitored vyema na hawa watu.

Mungu tunakuomba utulinde watanzania
 

Hivi ni kweli kwamba wazungu wametaka kutuua na kutufanya tusizaane kwa kupitia chanjo ya Korona?


Sidhani.
Watoto wetu nasi toka tunakuwa tumepata chanjo za tetenasi, pepopunda,sulua/surua n.k kwa miaka mingi. Na ushahidi wa chanjo ya Ndui upo begani mwa kila Mtanzania. Hizi chanjo sisi tunatengeneza wapi? Ili tuanzie hapo kwanza.

Chanjo hizi zote zinatoka Ulaya na Marekani na Madawa mengine mengi India. Kama kutufanya tuwe tasa wangetumia chanjo moja kati ya hizo wala hawana haja ya kutumia Corona.

Lakini. Ni vitu vingapi tunatumia toka kwao?asilimia 80 ya dawa zinatoka kwao.kwa nini wasituwekee humo virusi au bacteria ambao wana madhara?why waje kuhangaika sasa kwa kutumia Corona?

Tulienda nunua dawa ya Corona Madagascar kwa Kondoo/Ndama wenzetu. Maana hatukutaka za Mabeberu. Je matokeo yake imekuaje mpaka hii leo? Tuambiane ukweli.

Miaka yote matibabu hawa wakubwa wanaenda tibiwa nje ya nchi kwa nini wasidhurike huko? Wengine wana vifaa kwenye mioyo,wengine wamefanyiwa transplant, wengine wametibiwa kansa, tezi dume n.k why wasidhuriwe huko?

Mi nadhani ichukuliwe hiyo chanjo wapewe wataalam wetu wakaifanyie utafiti then waje watoe majibu ya kuonesha kuna hila kwenye hizo chanjo.

Mimi ningekuwa Beberu ngesisitiza waafrika, watanzania wazaliane sana ili tuzidi kupata soko la bidhaa zetu.population kubwa ya afrika ni mtaji kwa wafanya biashara huko kwao.

Lakini la kujiuliza lini afrika imeanza kuwa tishio kiasi cha wazungu kutaka teketeza au angamiza kizazi cha afrika? Mambo mengine tuwe na uhalisia jamani. Tusiwe tunaongea tu kama laymen.

Hawa wazungu walishakuna wakatutawala hapa hapa kwetu.wakatuchukua utumwani.wakachoka nasi wakaacha kututawala na kutuchukua utumwani. Wametuacha tuwe watumwa huku huku tuliko.

Sasa kuwaonesha sisi ni watu huru tupinge chanjo zao kitaalamu na kuonesha kasoro zilizopo kwenye chanjo zao.

Mi nakwambia wazungu wakitaka kutuua ni rahisi. Nenda kabatini kwako. Kaangalie dawa asilimia kubwa unazotumia. Angalia za kienyeji ni ngapi.

Kasome kwenye kadi yako chanjo alizopata mwanao. Kaulize tiba asili ni zipi kati ya hizo. Ukiumwa malaria,kifua,mafua,kuhara,kipindu pindu,dengue, typhoid. Uliza hosp wanakupa dawa zipi. Omba wakupe za tiba asilia kama wanazo.

Tufikie hatua tutumie akili kujenga hoja na si kunena vioja.
 
Huyu mchato anajifaragua tu. Wazungu wakitaka hata kumuua yeye kwa madawa ama vitu anavyotumia toka majuu ni dakika moja tu.
Na hapo ndipo unapo weza kujikuta unawalaumu wazungu! Hayo maamuzi ya dakika tu, wanakwama wapiiiii?!
 
Napenda saaana kusikiliza speech za shekh mazinge kwa jinsi anavo elezea kwa namna gan haya majamaa hutumia anti Christ kufanya visivyo wezekana hapa duniani,

Tambua sasa hata maendeleo yao kuwa huwa yana strong correlation with the so called anti christ kupitia free mason group, illuminate,, wao ni watekelezajitu,,

Wahitaji wakuue marangapi mkuu?? Leo hii tuna ukimwi ulotengenezwa maabara na tukapukutika kwanza weeeeee af wakaja na solution to the problem sahv sisi ni masoko ya hizo dawa,

In biological fight there is the so called problem, reaction and solution hivyo bas hawa jamaa hutengeneza tatizo na kuangalia madhara af wanakuja na suruhisho.

Sisi waafrica tusha uawa sanatu sematu mungu bado anatupenda sana, pia hawa jamaa wanatufanya masoko ya bidhaa zao tangia mwisho wa the so called direct colonization,

666 haitomuacha mtu salama,

Japo najua wengi hapa mta toa povu sana ila ukweli ndo huo, kila kitu kipo monitored vyema na hawa watu.

Mungu tunakuomba utulinde watanzania
Hivi hao tunaowasomesha kwa kodi zetu jamani wako wapi? Mbona tunanyanyasika hivi? Wabobezi wetu wanashindwa wapi kutukomboa na majanga haya yanayosemekana kutengenezwa na wazungu ili kututesa waafrika? Hivi magonjwa haya ya ajabu ajabu yanatutesa waafrika peke yetu tu?
 
Back
Top Bottom