Tufikie hatua tutumie akili na tuambiane ukweli. Wazungu wanatuua kirahisi tu

Tufikie hatua tutumie akili na tuambiane ukweli. Wazungu wanatuua kirahisi tu

Napenda saaana kusikiliza speech za shekh mazinge kwa jinsi anavo elezea kwa namna gan haya majamaa hutumia anti Christ kufanya visivyo wezekana hapa duniani,

Tambua sasa hata maendeleo yao kuwa huwa yana strong correlation with the so called anti christ kupitia free mason group, illuminate,, wao ni watekelezajitu,,

Wahitaji wakuue marangapi mkuu?? Leo hii tuna ukimwi ulotengenezwa maabara na tukapukutika kwanza weeeeee af wakaja na solution to the problem sahv sisi ni masoko ya hizo dawa,

In biological fight there is the so called problem, reaction and solution hivyo bas hawa jamaa hutengeneza tatizo na kuangalia madhara af wanakuja na suruhisho.

Sisi waafrica tusha uawa sanatu sematu mungu bado anatupenda sana, pia hawa jamaa wanatufanya masoko ya bidhaa zao tangia mwisho wa the so called direct colonization,

666 haitomuacha mtu salama,

Japo najua wengi hapa mta toa povu sana ila ukweli ndo huo, kila kitu kipo monitored vyema na hawa watu.

Mungu tunakuomba utulinde watanzania
We we utakua msabato
 
Haitakaa itokee wazungu wamalize wa Africa, sasa dampo la vifaa vyao feki, mitumba, watauza wapi
 
Hivi ni kweli kwamba wazungu wametaka kutuua na kutufanya tusizaane kwa kupitia chanjo ya Korona?

Sidhani.

Watoto wetu nasi toka tunakuwa tumepata chanjo za tetenasi, pepopunda, sulua/surua n.k kwa miaka mingi. Na ushahidi wa chanjo ya Ndui upo begani mwa kila Mtanzania. Hizi chanjo sisi tunatengeneza wapi? Ili tuanzie hapo kwanza.

Chanjo hizi zote zinatoka Ulaya na Marekani na Madawa mengine mengi India. Kama kutufanya tuwe tasa wangetumia chanjo moja kati ya hizo wala hawana haja ya kutumia Corona.

Ni vitu vingapi tunatumia toka kwao? Asilimia 80 ya dawa zinatoka kwao.kwa nini wasituwekee humo virusi au bacteria ambao wana madhara?why waje kuhangaika sasa kwa kutumia Corona?

Tulienda nunua dawa ya Corona Madagascar kwa Kondoo/Ndama wenzetu. Maana hatukutaka za Mabeberu. Je matokeo yake imekuaje mpaka hii leo? Tuambiane ukweli.

Miaka yote matibabu hawa wakubwa wanaenda tibiwa nje ya nchi kwa nini wasidhurike huko? Wengine wana vifaa kwenye mioyo,wengine wamefanyiwa transplant, wengine wametibiwa kansa, tezi dume n.k why wasidhuriwe huko?

Mi nadhani ichukuliwe hiyo chanjo wapewe wataalam wetu wakaifanyie utafiti then waje watoe majibu ya kuonesha kuna hila kwenye hizo chanjo.

Mimi ningekuwa Beberu ngesisitiza waafrika, watanzania wazaliane sana ili tuzidi kupata soko la bidhaa zetu.population kubwa ya afrika ni mtaji kwa wafanya biashara huko kwao.

Lakini la kujiuliza lini afrika imeanza kuwa tishio kiasi cha wazungu kutaka teketeza au angamiza kizazi cha afrika? Mambo mengine tuwe na uhalisia jamani. Tusiwe tunaongea tu kama laymen.

Hawa wazungu walishakuna wakatutawala hapa hapa kwetu.wakatuchukua utumwani.wakachoka nasi wakaacha kututawala na kutuchukua utumwani. Wametuacha tuwe watumwa huku huku tuliko.

Sasa kuwaonesha sisi ni watu huru tupinge chanjo zao kitaalamu na kuonesha kasoro zilizopo kwenye chanjo zao.

Mi nakwambia wazungu wakitaka kutuua ni rahisi. Nenda kabatini kwako. Kaangalie dawa asilimia kubwa unazotumia. Angalia za kienyeji ni ngapi.

Kasome kwenye kadi yako chanjo alizopata mwanao. Kaulize tiba asili ni zipi kati ya hizo. Ukiumwa malaria,kifua,mafua,kuhara,kipindu pindu,dengue, typhoid. Uliza hosp wanakupa dawa zipi. Omba wakupe za tiba asilia kama wanazo.

Tufikie hatua tutumie akili kujenga hoja na si kunena vioja.
Umetelekeza ule uzi wako wa visa vya kichawi kwa kisingizio unaumwa ugonjwa wa corona umekuja kuanzisha uzi mwingine huku. Wewe jamaa kweli mwongo...

Post in thread 'Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo' Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo
 
Kuna la kutafakari hapa[emoji116]

Ina maana korona iliyoko Canada, USA na ULAYA Ni tofauti na hii iliyoko uku ulimwengu wa tatu?
JamiiForums301560517.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingekuwa hivyo hayo ma chanzo yoote tangu zamani si wangesha tumaliza?
 
Ni sawa na kuwa na jirani very potential ambaye ni same age na wewe - sasa badala ya kumtumia ili na wewe unyenyuke wewe unamnunia mwanzo mwisho - kisa tu eti anaishi kwenye jumba la kifahari, gari nzuri Ford Ranger wakati wewe una ka used japan IST na eti kwamba anajidai bure tu na hela za wizi na mikopo benki

Ndiyo sisi sasa, Kama umeachwa nyuma umeachwa tu kuwa mpole - dunia ni kijiji, kujitenga na umaskini wako hautakusaidia kitu ndugu
 
Kuna la kutafakari hapa[emoji116]

Ina maana korona iliyoko Canada, USA na ULAYA Ni tofauti na hii iliyoko uku ulimwengu wa tatu?View attachment 1688865

Sent using Jamii Forums mobile app
kiwanda lazima kiwe na codes za bidhaa zake !! sasa kama hujui faida ya hii kitu siwezi kukusaidia - nenda kwa wenye viwanda vikubwa vinavyosambaza bidhaa zake dunia nzima watakulelezea !!
 
kiwanda lazima kiwe na codes za bidhaa zake !! sasa kama hujui faida ya hii kitu siwezi kukusaidia - nenda kwa wenye viwanda vikubwa vinavyosambaza bidhaa zake dunia nzima watakulelezea !!
Naunga mkono hoja
 
Hivi ni kweli kwamba wazungu wametaka kutuua na kutufanya tusizaane kwa kupitia chanjo ya Korona?

Sidhani.

Watoto wetu nasi toka tunakuwa tumepata chanjo za tetenasi, pepopunda, sulua/surua n.k kwa miaka mingi. Na ushahidi wa chanjo ya Ndui upo begani mwa kila Mtanzania. Hizi chanjo sisi tunatengeneza wapi? Ili tuanzie hapo kwanza.

Chanjo hizi zote zinatoka Ulaya na Marekani na Madawa mengine mengi India. Kama kutufanya tuwe tasa wangetumia chanjo moja kati ya hizo wala hawana haja ya kutumia Corona.

Ni vitu vingapi tunatumia toka kwao? Asilimia 80 ya dawa zinatoka kwao.kwa nini wasituwekee humo virusi au bacteria ambao wana madhara?why waje kuhangaika sasa kwa kutumia Corona?

Tulienda nunua dawa ya Corona Madagascar kwa Kondoo/Ndama wenzetu. Maana hatukutaka za Mabeberu. Je matokeo yake imekuaje mpaka hii leo? Tuambiane ukweli.

Miaka yote matibabu hawa wakubwa wanaenda tibiwa nje ya nchi kwa nini wasidhurike huko? Wengine wana vifaa kwenye mioyo,wengine wamefanyiwa transplant, wengine wametibiwa kansa, tezi dume n.k why wasidhuriwe huko?

Mi nadhani ichukuliwe hiyo chanjo wapewe wataalam wetu wakaifanyie utafiti then waje watoe majibu ya kuonesha kuna hila kwenye hizo chanjo.

Mimi ningekuwa Beberu ngesisitiza waafrika, watanzania wazaliane sana ili tuzidi kupata soko la bidhaa zetu.population kubwa ya afrika ni mtaji kwa wafanya biashara huko kwao.

Lakini la kujiuliza lini afrika imeanza kuwa tishio kiasi cha wazungu kutaka teketeza au angamiza kizazi cha afrika? Mambo mengine tuwe na uhalisia jamani. Tusiwe tunaongea tu kama laymen.

Hawa wazungu walishakuna wakatutawala hapa hapa kwetu.wakatuchukua utumwani.wakachoka nasi wakaacha kututawala na kutuchukua utumwani. Wametuacha tuwe watumwa huku huku tuliko.

Sasa kuwaonesha sisi ni watu huru tupinge chanjo zao kitaalamu na kuonesha kasoro zilizopo kwenye chanjo zao.

Mi nakwambia wazungu wakitaka kutuua ni rahisi. Nenda kabatini kwako. Kaangalie dawa asilimia kubwa unazotumia. Angalia za kienyeji ni ngapi.

Kasome kwenye kadi yako chanjo alizopata mwanao. Kaulize tiba asili ni zipi kati ya hizo. Ukiumwa malaria,kifua,mafua,kuhara,kipindu pindu,dengue, typhoid. Uliza hosp wanakupa dawa zipi. Omba wakupe za tiba asilia kama wanazo.

Tufikie hatua tutumie akili kujenga hoja na si kunena vioja.
Kwanza Kama unajua ubaguz wa rangi bado upo hasa kwa ss weus ungepunguza mihemuko. Halafu kama unafuatilia siasa za kimataifa, fuatilia vzr what happened in Libya utaelewa kwann ( ukianza kuchomoza kwa kas ndo unakuwa targeted) ila Kama umesinzia hawana shida na wew,
 
Wewe unapenda kuandika ila muvivu wa kusoma.chanjo ya korona ina madhara makubwa, google side effect utaona. Live long JPM
Jibu hojo acha upoyoyo wako. Dawa mlizokwenda kuzichukua Madagascar mbona hamtoi mrejesho??
 
Hapo mkononi una chanjo ya ndui... mbona hawakukumaliza kipindi hicho ambacho hata teknologia kwetu huku ilikua ni majanga? Sasa africa tukimalizwa nani atanunua bidhaa feki na rahisi za mchina??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kukumaliza siyo lazima wakuue kabisa! Zipo njia nyingi ya mtu kumalizwa! Usitolee mfano kipindi cha nyuma ambako watu wengi walikuwa na maadaili yao! Sasa hivi ni wakora tupu ndio wanaendesha mashirika ya makubwa kama WHO nk! ! Unategemea nini hapo! Akili yako imeganda kwenye biashara ya vitu feki tu! Hapo ndio imeishia, pole!
 
Mkuu chai yako uliyotupa kuhusu utajiri ndo umeitelekeza au?
 
Kuna la kutafakari hapa[emoji116]

Ina maana korona iliyoko Canada, USA na ULAYA Ni tofauti na hii iliyoko uku ulimwengu wa tatu?View attachment 1688865

Sent using Jamii Forums mobile app
Lengo lingekuwa kukuua hata hilo neno wasingeliweka. Kuna dawa zinakuwa subsidized kutumika mahali flani, yani ni sawa na mbolea inayobidi wapewe bure wakulima wadogo hainabudi kuchukuliwa na matajiri.
 
Hivi ni kweli kwamba wazungu wametaka kutuua na kutufanya tusizaane kwa kupitia chanjo ya Korona?

Sidhani.

Watoto wetu nasi toka tunakuwa tumepata chanjo za tetenasi, pepopunda, sulua/surua n.k kwa miaka mingi. Na ushahidi wa chanjo ya Ndui upo begani mwa kila Mtanzania. Hizi chanjo sisi tunatengeneza wapi? Ili tuanzie hapo kwanza.

Chanjo hizi zote zinatoka Ulaya na Marekani na Madawa mengine mengi India. Kama kutufanya tuwe tasa wangetumia chanjo moja kati ya hizo wala hawana haja ya kutumia Corona.

Ni vitu vingapi tunatumia toka kwao? Asilimia 80 ya dawa zinatoka kwao.kwa nini wasituwekee humo virusi au bacteria ambao wana madhara?why waje kuhangaika sasa kwa kutumia Corona?

Tulienda nunua dawa ya Corona Madagascar kwa Kondoo/Ndama wenzetu. Maana hatukutaka za Mabeberu. Je matokeo yake imekuaje mpaka hii leo? Tuambiane ukweli.

Miaka yote matibabu hawa wakubwa wanaenda tibiwa nje ya nchi kwa nini wasidhurike huko? Wengine wana vifaa kwenye mioyo,wengine wamefanyiwa transplant, wengine wametibiwa kansa, tezi dume n.k why wasidhuriwe huko?

Mi nadhani ichukuliwe hiyo chanjo wapewe wataalam wetu wakaifanyie utafiti then waje watoe majibu ya kuonesha kuna hila kwenye hizo chanjo.

Mimi ningekuwa Beberu ngesisitiza waafrika, watanzania wazaliane sana ili tuzidi kupata soko la bidhaa zetu.population kubwa ya afrika ni mtaji kwa wafanya biashara huko kwao.

Lakini la kujiuliza lini afrika imeanza kuwa tishio kiasi cha wazungu kutaka teketeza au angamiza kizazi cha afrika? Mambo mengine tuwe na uhalisia jamani. Tusiwe tunaongea tu kama laymen.

Hawa wazungu walishakuna wakatutawala hapa hapa kwetu.wakatuchukua utumwani.wakachoka nasi wakaacha kututawala na kutuchukua utumwani. Wametuacha tuwe watumwa huku huku tuliko.

Sasa kuwaonesha sisi ni watu huru tupinge chanjo zao kitaalamu na kuonesha kasoro zilizopo kwenye chanjo zao.

Mi nakwambia wazungu wakitaka kutuua ni rahisi. Nenda kabatini kwako. Kaangalie dawa asilimia kubwa unazotumia. Angalia za kienyeji ni ngapi.

Kasome kwenye kadi yako chanjo alizopata mwanao. Kaulize tiba asili ni zipi kati ya hizo. Ukiumwa malaria,kifua,mafua,kuhara,kipindu pindu,dengue, typhoid. Uliza hosp wanakupa dawa zipi. Omba wakupe za tiba asilia kama wanazo.

Tufikie hatua tutumie akili kujenga hoja na si kunena vioja.
Kipofu akimwongoza kipofu mwenzie mwisho wake watatumbukia shimoni wote wawili mwongozaji na anayeongozwa hayo yapo kwa saana awamu ya tano kwa sababu sifa zimetufanya tuwe vipofu.
 
Hivi lazima uelewe nikuulize nani aliyezaliwa 1970hadi 1980 hadi 1990 mwanamke gani kazaa wototo 7 hadi 10
Cha ajabu utakuta wawili ,watatu, au wanne kazidi sana watano na ugumba wa wanawake wengi umeanzia baada ya madawa mengi ya kizungu kuingia
 
Huyu mwenyewe alinyweshwa sumu akakimbinzwa Ujerumani kwa wazungu. Shukrani ya punda ni mateke. Bila wajerumani ikute tungekuwa tushamshau. Yaani huyu jamaa ni fyatu. Kuna neurons hazifanyi kazi huko kwenye ubongo wake. Tuna almost billion 87 neurons kwenye ubongo. Ukute yeye anazo 20 tu.
 
Kuna la kutafakari hapa[emoji116]

Ina maana korona iliyoko Canada, USA na ULAYA Ni tofauti na hii iliyoko uku ulimwengu wa tatu?View attachment 1688865

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye marketing ya Dawa Tuna vitu vyaitwa Brand names na Generic names au Proprietary names na International Non Proprietary names so basically Remdesivir ni Generic USA na Canada zipo tu ila Brand hiyo ya Cipla haina kibali kuuzwa nchi 2 hizo na bara Ulaya sababu zipo nyingi za kutoiuza sana sana ni bei na sio eti sio salama ni somo pana kwa wasiojua! Binafsi nina wiki 1 since nimepata chanjo na kwangu haikuleta shida yoyote siku 21 zijazo naenda kuchoma dose ya pili
 
Back
Top Bottom